<p></p>
<p> </p>
heeeh!kama ndo huyo basi na mie nna shock yako.utafute mtu wa karibu na ukae kitako manake usife wimawima.ukiwa tayari niweke hapa hadharani manake najua pm hutasoma!
Mmh yaani watu mnazimiana kwa mafeki nemu yenu hii kazi bwiiii
Muombe mungu msiwe ndugu esp kama kaka na dada
Kwi kwi kwiiiii
Nini tatzo afrodenzi???Mama yangu..........
acha kunitafutia balaa mkuu ,isitoshe nina mdogo wangu wa kike mmoja tu na yupo chuo
Kila kitu kipo mkuu
Mh! bado thread za maumivu zitaanza. Ni mchumba wako toka lini. Nakushauri kama huna zaidi ya 5yrs ya maangalio wala usioe. Utakuja niambia kama siyo kilio kabisa.
We jitumbukize kwenye moto.
Ivuga unavyojitetea??? PM bdo haija2mwa tu?? Au anasubir mpk shela inunuliwe ndo alete hlo pingamizi? Mambo gn ku2wekea bwna haruc mtarajiwa roho juu?
Kumbe b'haruc mtarajiwa hana habr juu ya hili???wewe unafanya mchezo na suprise nini
Kumbe b'haruc mtarajiwa hana habr juu ya hili???
Si ndio maandalizi mapema tena na kanisa hilo hapo unaliona lol
mimi sina