Natangaza ndoa

Hizi picha mbona zaelekea kama ni za Nigeria?????????????????????????????????? Kule Niger...................................
 
Mama yangu..........
Ulikuwa bibi harusi huna taarifa, weka bayana tuhudhurie harusi hiyo fasta.
 
Kila la heri kwa Bibi&Bwana Arusi Watarajiwa.
Asante sana Br. Finest kwa michango yako kwa wanandoa watarajiwa.
 
Weka wazi utafunga hiyo ndoa na nani ili tujue ili kama kuna pingamizi tuweze kutoa.
Maana tutawezaje kutoa pingamizi kwa watu tusiowajua??????????????
 
haya ngoja nikatafute
dawa yangu ya depression
halafu ntarudi ..
maana kwa sasa nina
Kizungu zungu na Kiafica frica..
siamini macho yangu ...mmmhhhhhh

Hivi mie naota au ni kweli naombeni mnifinye niamke kama naota..
 


Ukihitaji designs za suti za harusi nishtue tunaweza piga kama hizo halafu na wanawake wakapiga kama hizo
 
Anafunga na AFRODENZ. Weka mapingamiz haraka manake 2ko kwnye maduka ya shela ili km vp 2ahrishe manunuzi.
Weka wazi utafunga hiyo ndoa na nani ili tujue ili kama kuna pingamizi tuweze kutoa.
Maana tutawezaje kutoa pingamizi kwa watu tusiowajua??????????????
 
Bi haruc mtarajiwa 2weke waz tfdhal, manake 2meanza kutoa michango ye2. Ndoa ipo au haipo?
haya ngoja nikatafute
dawa yangu ya depression
halafu ntarudi ..
maana kwa sasa nina
Kizungu zungu na Kiafica frica..
siamini macho yangu ...mmmhhhhhh

Hivi mie naota au ni kweli naombeni mnifinye niamke kama naota..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…