NATANGAZA NIA YANGU YA KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI IFIKAPO 2025 PANAPO MAJALIWA YA MUNGU.

NATANGAZA NIA YANGU YA KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI IFIKAPO 2025 PANAPO MAJALIWA YA MUNGU.

ndo vile

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2023
Posts
443
Reaction score
296
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu,ni haki yangu kikatiba,nina elimu ya kutosha,umri unaruhusu,hivyo kwa mapenzi yangu makubwa na nchi yangu ya Tanzania ,na kwa kiu yangu kubwa ya kutaka kuiona Tanzania inapiga hatua za kimaendeleo katika kila nyanja,nimeona ifikapo mwakani na mm nichukue fomu ya kugombea nafasi ya urais kupitia chama changu cha mapinduzi lakini fomu hii nitayochukua ni kwa ajili ya kumchukulia Dr.Samia Suluhu Hasani aweze kupeperusha bendera yetu ya chama cha mapinduzi.
Samia mitano tena.
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu,ni haki yangu kikatiba,nina elimu ya kutosha,umri unaruhusu,hivyo kwa mapenzi yangu makubwa na nchi yangu ya Tanzania ,na kwa kiu yangu kubwa ya kutaka kuiona Tanzania inapiga hatua za kimaendeleo katika kila nyanja,nimeona ifikapo mwakani na mm nichukue fomu ya kugombea nafasi ya urais kupitia chama changu cha mapinduzi lakini fomu hii nitayochukua ni kwa ajili ya kumchukulia Dr.Samia Suluhu Hasani aweze kupeperusha bendera yetu ya chama cha mapinduzi.
Samia mitano tena.

Lucas anajua hili au umesema bila kumuhusisha? Uzuri ni kwamba jinsi mambo yanavyoenda, Mwenyezi Mungu anazidi kunyoosha mkono wake.
Tutapata yule anayemtaka. Sio machawa na wanaogombania fursa ya kuila nchi kwa upole wanataka nini
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu,ni haki yangu kikatiba,nina elimu ya kutosha,umri unaruhusu,hivyo kwa mapenzi yangu makubwa na nchi yangu ya Tanzania ,na kwa kiu yangu kubwa ya kutaka kuiona Tanzania inapiga hatua za kimaendeleo katika kila nyanja,nimeona ifikapo mwakani na mm nichukue fomu ya kugombea nafasi ya urais kupitia chama changu cha mapinduzi lakini fomu hii nitayochukua ni kwa ajili ya kumchukulia Dr.Samia Suluhu Hasani aweze kupeperusha bendera yetu ya chama cha mapinduzi.
Samia mitano tena.
Masikini ccm
 
Back
Top Bottom