Natangaza rasmi kuihama Yanga

Sijajua ni kwanini mpaka Leo Yanga Huwa hafanyi Vizuri Mapinduzi..
 
wewe bure kabisa
Sio mimi Mkuu. Kuna jinga la Mikia ndio lilikuwa linapost huo utumbo. Baadhi nishazifuta. Unajua aliomba laptop na nilikuwa nimecheck keep sign in. Kanikera sana. Hapa ashapata adhabu ambayo hatokuja kuisahau maishani mwake
 
Sasa kama unajua matokeo hayo siyo mageni, nini sasa kinakuwasha?
 
Unawashwa wewe. Mimi nashangaa mmejua kuna matokeo hayo baada ya kulambishwa koni. Kabla ya hapo lugha za mpira unadunda mlikuwa hamzitumii. Baada ya 4G akili zimewarudia.
 
Januari 7 2012 Azam 3 Yanga 0
Januari 7 2017 Azam 4 Yanga 0
Mbona imeanza kuwa tabia kwenye kombe la Mapinduzi.
 
Huko kusini mwa Tanzania wanasema "chuma chikoli moto "kwa mujibu wa mtangazaji wa Azam TV. Jiji kimyaaa migongo wazi hoiiiii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…