Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye mali ana wivu hadi huku, sijui utaniiba kwa staili gani ili asijueMi nakuiba ki JF JF...
Mwambie afanye haraka. Napenda sana kuibiwa...
Sawa ngoja nikae chonjo kwa lolote litakalotokeaSubiri utaona staili yangu[emoji3]
Fact smart I always tell you.. naile juzi si uliona hata wale walisalute???? khakhakhaaaaaaa..
Leo mapema sana natia timu... chochote wewe nifanye tu yani CHOCHOTE kile .. am here just for uuuuuu handsome ! wewe teiiiiinaaaaaaaaa!! sema Kingine
Yuko moooooddddddd tehteh...
Wangu ukimkwapua simuachii ng'ooUmeonaee...nakwapua...
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakuu,
Nimekuwa nikiona watu wana mabeb zao humu kwa muda mrefu...
Sasa nimekuwa mpweke humu JF kwa muda mrefu!
Sasa natangaza vita kwa watu wenye mabeb zenu kuwa nakwapua mimi.
Hasa wewe Smart @Mahondow Demiss Mshana Jr mnaringa sana.
Ngoja niangalie nani nimwibie ili kelele zenu ziishe ha ha haaa...
Nasema hivii...sijui nimuibie Daby au ngoja nimuibie Shunie..
Bado nipo nawaza hapa nimchukue wa nani...ila kama kuna ambae hana beb humu ajiunge nami tukwapue hahahaa...
Akili za asubuhi za kiporo na chai[emoji3] [emoji125]
Kama ulijua vileHahahahahaha iba tu
Watu wengi humu wako single bana
Mtani kwema?[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila wewe khaaaaSasa wakati wa masika unataka nikajisitiri wapi....