Nataraji kwenda nje ya nchi kwa mapumziko kidogo, nimechagua kwenda London

Nataraji kwenda nje ya nchi kwa mapumziko kidogo, nimechagua kwenda London

Phobia

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2021
Posts
1,156
Reaction score
1,819
Mimi nafanya kazi wizara x kama head of department ya kitengo fulani kwahiyo kutokana na achievement yangu ambayo nimeipata kama hapa karibuni kuna wizarani ambayo inasisifiwa sana basi ujue ni mimi huyo aisee kwahiyo nimeambiwa nichague kati ya London au New York niende wapi? Ila mimi akili yangu ipo ipo London kwasababu nimesomea kule degree yangu ya kwanza kwahiyo kuna marafiki wengi sana kama Elizabeth Hudson na wengi wengi

Kuhusu siti ya ndege nimekatiwa economy class si unajua sie watu wenye akili na mipesa mingi ndiyo site zetu hizo? Kwahiyo wazee nawaageni muda wowote nitakuwa hewani juu mawinguni# London i' m coming#
 
Mimi nafanya kazi wizara x kama head of department ya kitengo fulani kwahiyo kutokana na achievement yangu ambayo nimeipata kama hapa karibuni kuna wizarani ambayo inasisifiwa sana basi ujue ni mimi huyo aisee kwahiyo nimeambiwa nichague kati ya London au New York niende wapi? Ila mimi akili yangu ipo ipo London kwasababu nimesomea kule degree yangu ya kwanza kwahiyo kuna marafiki wengi sana kama Elizabeth Hudson na wengi wengi

Kuhusu siti ya ndege nimekatiwa economy class si unajua sie watu wenye akili na mipesa mingi ndiyo site zetu hizo? Kwahiyo wazee nawaageni muda wowote nitakuwa hewani juu mawinguni# London i' m coming#
[emoji477][emoji477][emoji477]
FB_IMG_1674918463408_1.jpg
 
Mimi nafanya kazi wizara x kama head of department ya kitengo fulani kwahiyo kutokana na achievement yangu ambayo nimeipata kama hapa karibuni kuna wizarani ambayo inasisifiwa sana basi ujue ni mimi huyo aisee kwahiyo nimeambiwa nichague kati ya London au New York niende wapi? Ila mimi akili yangu ipo ipo London kwasababu nimesomea kule degree yangu ya kwanza kwahiyo kuna marafiki wengi sana kama Elizabeth Hudson na wengi wengi

Kuhusu siti ya ndege nimekatiwa economy class si unajua sie watu wenye akili na mipesa mingi ndiyo site zetu hizo? Kwahiyo wazee nawaageni muda wowote nitakuwa hewani juu mawinguni# London i' m coming#
Hakukuwa na haja wewe kwenda UK ungetafuta sehemu upate exposure ya kwingine.
 
Mimi nafanya kazi wizara x kama head of department ya kitengo fulani kwahiyo kutokana na achievement yangu ambayo nimeipata kama hapa karibuni kuna wizarani ambayo inasisifiwa sana basi ujue ni mimi huyo aisee kwahiyo nimeambiwa nichague kati ya London au New York niende wapi? Ila mimi akili yangu ipo ipo London kwasababu nimesomea kule degree yangu ya kwanza kwahiyo kuna marafiki wengi sana kama Elizabeth Hudson na wengi wengi

Kuhusu siti ya ndege nimekatiwa economy class si unajua sie watu wenye akili na mipesa mingi ndiyo site zetu hizo? Kwahiyo wazee nawaageni muda wowote nitakuwa hewani juu mawinguni# London i' m coming#
Hongera sana
 
Mimi nafanya kazi wizara x kama head of department ya kitengo fulani kwahiyo kutokana na achievement yangu ambayo nimeipata kama hapa karibuni kuna wizarani ambayo inasisifiwa sana basi ujue ni mimi huyo aisee kwahiyo nimeambiwa nichague kati ya London au New York niende wapi? Ila mimi akili yangu ipo ipo London kwasababu nimesomea kule degree yangu ya kwanza kwahiyo kuna marafiki wengi sana kama Elizabeth Hudson na wengi wengi

Kuhusu siti ya ndege nimekatiwa economy class si unajua sie watu wenye akili na mipesa mingi ndiyo site zetu hizo? Kwahiyo wazee nawaageni muda wowote nitakuwa hewani juu mawinguni# London i' m coming#
Badilisha heading, London siyo nchi.
 
Mimi nafanya kazi wizara x kama head of department ya kitengo fulani kwahiyo kutokana na achievement yangu ambayo nimeipata kama hapa karibuni kuna wizarani ambayo inasisifiwa sana basi ujue ni mimi huyo aisee kwahiyo nimeambiwa nichague kati ya London au New York niende wapi? Ila mimi akili yangu ipo ipo London kwasababu nimesomea kule degree yangu ya kwanza kwahiyo kuna marafiki wengi sana kama Elizabeth Hudson na wengi wengi

Kuhusu siti ya ndege nimekatiwa economy class si unajua sie watu wenye akili na mipesa mingi ndiyo site zetu hizo? Kwahiyo wazee nawaageni muda wowote nitakuwa hewani juu mawinguni# London i' m coming#
Amka bro usije ukalibwanda
 
Mimi nafanya kazi wizara x kama head of department ya kitengo fulani kwahiyo kutokana na achievement yangu ambayo nimeipata kama hapa karibuni kuna wizarani ambayo inasisifiwa sana basi ujue ni mimi huyo aisee kwahiyo nimeambiwa nichague kati ya London au New York niende wapi? Ila mimi akili yangu ipo ipo London kwasababu nimesomea kule degree yangu ya kwanza kwahiyo kuna marafiki wengi sana kama Elizabeth Hudson na wengi wengi

Kuhusu siti ya ndege nimekatiwa economy class si unajua sie watu wenye akili na mipesa mingi ndiyo site zetu hizo? Kwahiyo wazee nawaageni muda wowote nitakuwa hewani juu mawinguni# London i' m coming#

Amka ukakojoe usije kulowesha mashuka
 
Mimi nafanya kazi wizara x kama head of department ya kitengo fulani kwahiyo kutokana na achievement yangu ambayo nimeipata kama hapa karibuni kuna wizarani ambayo inasisifiwa sana basi ujue ni mimi huyo aisee kwahiyo nimeambiwa nichague kati ya London au New York niende wapi? Ila mimi akili yangu ipo ipo London kwasababu nimesomea kule degree yangu ya kwanza kwahiyo kuna marafiki wengi sana kama Elizabeth Hudson na wengi wengi

Kuhusu siti ya ndege nimekatiwa economy class si unajua sie watu wenye akili na mipesa mingi ndiyo site zetu hizo? Kwahiyo wazee nawaageni muda wowote nitakuwa hewani juu mawinguni# London i' m coming#
Huu mwandiko ni wa degree ya kwanza makumira
 
Back
Top Bottom