Katumbasongwe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,017
- 1,138
Hay wake up, that is bad nightmare, it's likely to destroy your Brain,[emoji24][emoji1787][emoji1787]First of all, London siyo Nchi,pili anza Kwanza kupafahamu hata dar tu then njoo huku Zimbabwe ndiyo uanze kufikiria hizoMimi nafanya kazi wizara x kama head of department ya kitengo fulani kwahiyo kutokana na achievement yangu ambayo nimeipata kama hapa karibuni kuna wizarani ambayo inasisifiwa sana basi ujue ni mimi huyo aisee kwahiyo nimeambiwa nichague kati ya London au New York niende wapi? Ila mimi akili yangu ipo ipo London kwasababu nimesomea kule degree yangu ya kwanza kwahiyo kuna marafiki wengi sana kama Elizabeth Hudson na wengi wengi
Kuhusu siti ya ndege nimekatiwa economy class si unajua sie watu wenye akili na mipesa mingi ndiyo site zetu hizo? Kwahiyo wazee nawaageni muda wowote nitakuwa hewani juu mawinguni# London i' m coming#