Nataraji kwenda nje ya nchi kwa mapumziko kidogo, nimechagua kwenda London

Hay wake up, that is bad nightmare, it's likely to destroy your Brain,[emoji24][emoji1787][emoji1787]First of all, London siyo Nchi,pili anza Kwanza kupafahamu hata dar tu then njoo huku Zimbabwe ndiyo uanze kufikiria hizo
 
Hay wake up, that is bad nightmare, it's likely to destroy your Brain,[emoji24][emoji1787][emoji1787]First of all, London siyo Nchi,pili anza Kwanza kupafahamu hata dar tu then njoo huku Zimbabwe ndiyo uanze kufikiria hizo
Wapi nimesema London ni nchi?
 
Siku hizi huwa hawaweki kikombe..wanaweka mtu kabisa na kapu lake anavuna.
 
Washamba wengi sana humu mmesoma kozi ya ku type basi tu thread mnafungua zisizo hata na maana.
England na New York wenzio tunaenda kunywa chai na kurudi daily.
So kaa utulize akili kidogo we mbwiga
 
Ww ulisema umesoma hpa tz baada ya kumaliza ukapigwa kitumbo na mwalimu na mwalimu kuozea jela

Kma huna cha kuongea ni bora ukanyamaza tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…