Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Acha pombe na bangiMke wangu ni elineema shayo mtoto wa kibopa,msomi wa ngazi ya shahada ya uzamili na mwanamke au katika wanawake wenye akili kuwahi kuishi nae maisha yangu sijui kwanini nimechelewa kumpata ila japo ni single mother lakini ananipenda sana na kunijali kwenye shida na raha
kuhusu ukwasi Nina ukwasi hasa kwanza namiliki bmw 3,ranger rover 2 na harrier tako la nyani 3 na naishi kwenye apartment upanga nalipia 3 milioni kwa mwezi na pia namiliki biashara kadha wa kadha london,Nairobi,Kiev,Tehran,a Texas na majiji kadha wa kadha so wakuu nawakalibisha kwenye harusi yangu
Watu wenye akili kama wewe nahisi wamenielewaSema hapa kuna code za kutosha ukikurupuka umeliwa kichwa🤔🤔
Home of great thinkersWe una akili sana
Watu wenye akili kama wewe nahisi wamenielewa
Serious mental health crisisMke wangu ni Elineema Shayo mtoto wa kibopa,msomi wa ngazi ya shahada ya uzamili na mwanamke au katika wanawake wenye akili kuwahi kuishi nae maisha yangu sijui kwanini nimechelewa kumpata ila japo ni single mother lakini ananipenda sana na kunijali kwenye shida na raha
Elineema shayo alinikuta mie ni mfanyakazi wa benki moja kimataifa humu nchini,kiukweli kuhusu ukwasi Nina ukwasi hasa kwanza namiliki bmw 3, ranger rover 2 na harrier tako la nyani 3 na naishi kwenye apartment upanga nalipia 3 milioni kwa mwezi na pia namiliki biashara kadha wa kadha london, Nairobi, Kiev, Tehran,a Texas na majiji kadha wa kadha so wakuu nawakalibisha kwenye harusi yangu
Eli neema - Mungu mwenye neema majina ya hiv mara nyingi ni majina yanatumika pnde zote , kma riziki au bahati.Elineema mbona jina la kiume?
Anaoa single mother ngoja yamkuteDah wanaume tuko wachache sana, na bado wengine wanazidi kuaga uanachama