dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Et Kyiv,,,,nimecheka.Mke wangu ni Elineema Shayo mtoto wa kibopa,msomi wa ngazi ya shahada ya uzamili na mwanamke au katika wanawake wenye akili kuwahi kuishi nae maisha yangu sijui kwanini nimechelewa kumpata ila japo ni single mother lakini ananipenda sana na kunijali kwenye shida na raha
Elineema shayo alinikuta mie ni mfanyakazi wa benki moja kimataifa humu nchini,kiukweli kuhusu ukwasi Nina ukwasi hasa kwanza namiliki bmw 3, ranger rover 2 na harrier tako la nyani 3 na naishi kwenye apartment upanga nalipia 3 milioni kwa mwezi na pia namiliki biashara kadha wa kadha london, Nairobi, Kiev, Tehran,a Texas na majiji kadha wa kadha so wakuu nawakalibisha kwenye harusi yangu
Kwahiyo we unasemaje?
Umekula?Mke wangu ni Elineema Shayo mtoto wa kibopa,msomi wa ngazi ya shahada ya uzamili na mwanamke au katika wanawake wenye akili kuwahi kuishi nae maisha yangu sijui kwanini nimechelewa kumpata ila japo ni single mother lakini ananipenda sana na kunijali kwenye shida na raha
Elineema shayo alinikuta mie ni mfanyakazi wa benki moja kimataifa humu nchini,kiukweli kuhusu ukwasi Nina ukwasi hasa kwanza namiliki bmw 3, ranger rover 2 na harrier tako la nyani 3 na naishi kwenye apartment upanga nalipia 3 milioni kwa mwezi na pia namiliki biashara kadha wa kadha london, Nairobi, Kiev, Tehran,a Texas na majiji kadha wa kadha so wakuu nawakalibisha kwenye harusi yangu
Mke wangu ni Elineema Shayo mtoto wa kibopa,msomi wa ngazi ya shahada ya uzamili na mwanamke au katika wanawake wenye akili kuwahi kuishi nae maisha yangu sijui kwanini nimechelewa kumpata ila japo ni single mother lakini ananipenda sana na kunijali kwenye shida na raha
Elineema shayo alinikuta mie ni mfanyakazi wa benki moja kimataifa humu nchini,kiukweli kuhusu ukwasi Nina ukwasi hasa kwanza namiliki bmw 3, ranger rover 2 na harrier tako la nyani 3 na naishi kwenye apartment upanga nalipia 3 milioni kwa mwezi na pia namiliki biashara kadha wa kadha london, Nairobi, Kiev, Tehran,a Texas na majiji kadha wa kadha so wakuu nawakalibisha kwenye harusi yangu
Hivi anaendeleaje? Maumivu yatakuwa yamepungua kwa mhe?Usije kuwa kama nikki wa pili
Sijui anandeleaje huko alipo.Hivi anaendeleaje? Maumivu yatakuwa yamepungua kwa mhe?
wakuu nawakalibisha kwenye harusi yangu
Huyu anatakiwa awe kule masaki kwenye apartment za 10M, hapo sio size yake😂Unamiliki biashara zote hizo na bado umepanga apartment ya 3ml aisee hama haraka hapo
Jamani kuna haha ya kiwafucha wapenzi wahuni sio watu wazuri mhe nae alijisahau ahaaa na ule urefu wake thathaaSijui anandeleaje huko alipo.
Hizi showoff za mapenzi kujiona umepatia sana kupenda lazima zilete maumivu baadae.