Natarajia kumuoa mke wangu Elineema Shayo

Et Kyiv,,,,nimecheka.
 
Harrier tako la nyani unamiliki kwani ndio unaanza maisha? Magari ya watoto wanaoanza maisha. Ukute huna hela hata ya kushonea ndala ikikatika
 
Umekula?
 

Man down
 
Unamiliki biashara zote hizo na bado umepanga apartment ya 3ml aisee hama haraka hapo
 
Sijui anandeleaje huko alipo.
Hizi showoff za mapenzi kujiona umepatia sana kupenda lazima zilete maumivu baadae.
Jamani kuna haha ya kiwafucha wapenzi wahuni sio watu wazuri mhe nae alijisahau ahaaa na ule urefu wake thathaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ