Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Kwani hamjijui? Mbona mmeshakaribiana, nawaona watatu hapo!
Mie sipendiii halafu ndio nina matumizi mabaya ya vyombo basi taabu tupu[emoji134][emoji134]
Uje uwe unaosha.
Mimi pia sijawahi kuchukia kuosha vyombo. Happy Easter
Kwa kweli mwenyewe hakuna kazi siipendi kama kusugua masufuria japo nyumbani mie ndiyo nasifika kwa kusugua masufuria vizuri, yaani mie kazi nyingi sizipendi ila nikifanya nafanya kweli maana huwa sipendi kulipua.
Zimefika Anko [emoji120][emoji120]
Uwe na Pasaka njema.
Kuna sehemu numbwene Heaven Sent, gumponiege...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mapenzi tu hayo.Sasa hayo mapenzi au mateso?
Pasaka njema kwako pia anko, Heaven Sent yupo ila kapotea yaani kuja kwake JF ni hadi umuite tena wakati unamtag usikosee hata spelling katika jina lake vinginevyo haoni comment yako. [emoji16][emoji16]
Nimepika dear, tena pilau langu linakuwaga tamu [emoji85][emoji85]
[emoji23][emoji23] haya unaona sasaJamani jamani....inawezekana lakini kila mtu na taste yake.
App naendaga kumfukunyua mtu/ ID maana kwa browser haiwezekani
Nimepika dear, tena pilau langu linakuwaga tamu [emoji85][emoji85]
Ha ha ha.. Ile picha ya Mguu Ikwapi?Taratibu tutaelewana tu..chuma kipo mda tuView attachment 1417651
Sent using Jamii Forums mobile app
Davet kuna comment yako moja ndio imeniingiza hapa ghafla imenipotea
#UsikuWaKusuuza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasema kweli [emoji16][emoji16] chakula chochote nikipika mwenyewe siinjoi...kasoro pilauKujisifia huko kunanitia shaka. Nyie mapishi yenu ni ile mikate ya ngano
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
View attachment 1417704
Mmhh mimi makande sijui hata yapikweje tu yaani, ila mahindi ya kuchoma ndiyo sijawahi yakinahi na sijui kama nitayakinahi kirahisi.Kande la mahindi makavu yale yamekobolewa? We yale matamu. Ya kuchoma nilikula sana mwaka Jana mpaka nimekinai now Hata nikiyaona mate hayachezi.
Kwaresma ya mwaka jana yote kila nikienda church wakati wa kutoka yananikoma, kuna mazaa alikuwa opposite na IAA aliniteka vibaya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji15][emoji15] wee sema mtume[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitakuja tena , ujue me nilisoma Buza secondary? So napaelewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmhh, kamba hii.Hahah! Baada ya kuonekana wazee wanapata tabu na Browser ndio wakaamua waje na app kama mkombozi wao