Natarajia ugeni mzito sikukuu hii kutoka jf (manzi)

Jamani jamani....inawezekana lakini kila mtu na taste yake.
App naendaga kumfukunyua mtu/ ID maana kwa browser haiwezekani
[emoji23][emoji23] haya unaona sasa
 
Mmhh mimi makande sijui hata yapikweje tu yaani, ila mahindi ya kuchoma ndiyo sijawahi yakinahi na sijui kama nitayakinahi kirahisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…