Natarajia ugeni mzito sikukuu hii kutoka jf (manzi)

Natarajia ugeni mzito sikukuu hii kutoka jf (manzi)

Msitufanyie hivyo jamani.

Kumbuka kuna mapadri, mashoga,impotent jalafu muongezeke na nyie wa kugive up itakuwaje sasa[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji38][emoji38][emoji38]Wenzenu wanaponza Sasa
Me Nikipenda Napenda haswa(sijisifu[emoji23])
Kun Mmoja hivi alinibadirikia eti Amekua mtu wa Misimamo Anasoma soma mavitabu haya ya Inspiration vimemharibu kama hakun la maana nisipige simu na blaah blaah kama hzo
.
Kabla ya huyo Kuna demu aliniwekwa mchepuko[emoji35][emoji35] jamaa yake alikut text zang akaleta Noma tukakutana yakaisha
Nikagundua niliwekwa mchepuko dadeq
.
Hakuna nyimbo naipenda Kama Naenjoy ya Aslay [emoji38][emoji38][emoji38]
 
[emoji38][emoji38][emoji38]Wenzenu wanaponza Sasa
Me Nikipenda Napenda haswa(sijisifu[emoji23])
Kun Mmoja hivi alinibadirikia eti Amekua mtu wa Misimamo Anasoma soma mavitabu haya ya Inspiration vimemharibu kama hakun la maana nisipige simu na blaah blaah kama hzo
.
Kabla ya huyo Kuna demu aliniwekwa mchepuko[emoji35][emoji35] jamaa yake alikut text zang akaleta Noma tukakutana yakaisha
Nikagundua niliwekwa mchepuko dadeq
.
Hakuna nyimbo naipenda Kama Naenjoy ya Aslay [emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ili dhahabu iwe dhahabu inapaswa ipitie kwenye moto kwanza.
 
Back
Top Bottom