Natarajia ugeni mzito sikukuu hii kutoka jf (manzi)

Natarajia ugeni mzito sikukuu hii kutoka jf (manzi)

Yaani life isnt fair kabisa, tuendelee tu kutafuta vibarua mpendwa. Tusikate tamaa.
[emoji38][emoji38][emoji38] hapa napigwa za mbavu kimya kimya Nakwambia kibarua kwangu kipo unasema Tuendelee kusaka[emoji26][emoji26]
Wacha Niendelee tu kugive Up [emoji124][emoji124][emoji124]
 
Unafikiri! Naandika kwa vile sijulikani kiuhalisiya ila kiukweli ni aibu sana.

Kupika ugali sijui, wali ukinipa jiko sijui labda msaada wa rice cooker...
Nisiende mbali sana ninachojua kupika ni kuchemsha mihogo, viazi vitamu na kuvikaanga. Kukaanga na kuchemsha mayai na kuyapika. Tambi za kupika.

Nipo training ya YouTube mapishi sasa hivi. Halafu napenda vyakula vizuri balaa..
Kazana sana..hakuna aliyezaliwa anajua.
Nilicheka ulivyosema chakula utakachopika hakuna anayeweza kula labda wewe tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom