Natarajia ugeni mzito sikukuu hii kutoka jf (manzi)

Natarajia ugeni mzito sikukuu hii kutoka jf (manzi)

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu nimecheka hiyo story yako ila mwanaume kutokujua kupika siyo aibu kiasi hicho kama unavyoelezea bhana tofauti na kwetu sisi wanawake, just take your time jifunze taratibu tu utajua.
Ahsante.

Nina imani nitakuwa vizuri angalau. Ngoja nipambane.
 
Back
Top Bottom