Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko tulishapigwa bora twende na Hydropower bwawa na Mwalimu Nyerere linaweza kuzalisha Mg21000 likikamilika Gas ya Mkwere ya nn tenaMimi kwa mtazamo wangu niliona kama sekta ya mafuta na gesi Tanzania ilikuwa imelala kabisa.
Hivyo matarajio yangu makubwa ni kwamba ujio wa Makamba pengine unaweza kuifufua sekta hii.
Karibu Makamba.
Hiyo hajui anachosema subiri kuna muda tutamkumbuka LeonardChamuliho sio pazito kwake, Chamuliho kabla yakuwa Waziri hapo alikuwa Katibu mkuu wizara hiyohiyo