Nategemea kwenda Shinyanga kwa pikipiki aina ya Boxer, CC 125

Nategemea kwenda Shinyanga kwa pikipiki aina ya Boxer, CC 125

Ok sawa sawa mkuu aisee very nice kuhusu kupumzika vituo vilikiwa vingapi na Kila baada ya mda gani unaliamsha tena aiseee hapa Kuna shule na umakini na usalama nimeipenda
 
Barabara ulipitia ipi Ile ya mkata , korogwe, same, Moshi, Arusha, babati, singida, igunga, nzega, tinde, then shy?
 
Back
Top Bottom