- Yaliyopita yamepita tumwachie Mungu.
- Uchaguzi umekwisha tujipange kwa uchaguzi ujao.
- Wanachama wa Chadema tunawaomba mshirikiane na viongozi waliochaguliwa.
Asanteni kwa kunisikiliza.
Expect same shit from the same goons.
Rest In Peace Comred Maalim Seif, if you were you today, tungesikia,
Hatutashirikiana kwa namna yeyote ile na wahuni waliopora uchaguzi, iwe kwenye sherehe, magengeni, visimani hata kwenye mazishi.
Kama hamuwezi kususia uchaguzi, susieni basi hata matendo yao, sherehe zao za kitaifa, mialiko yao, 4Rs zao, kataeni misaada yao, kifupi msishirikiane na mahasimu wenu kwa namna yeyote ile.
- Uchaguzi umekwisha tujipange kwa uchaguzi ujao.
- Wanachama wa Chadema tunawaomba mshirikiane na viongozi waliochaguliwa.
Asanteni kwa kunisikiliza.
Expect same shit from the same goons.
Rest In Peace Comred Maalim Seif, if you were you today, tungesikia,
Hatutashirikiana kwa namna yeyote ile na wahuni waliopora uchaguzi, iwe kwenye sherehe, magengeni, visimani hata kwenye mazishi.
Kama hamuwezi kususia uchaguzi, susieni basi hata matendo yao, sherehe zao za kitaifa, mialiko yao, 4Rs zao, kataeni misaada yao, kifupi msishirikiane na mahasimu wenu kwa namna yeyote ile.