Nategemea tamko 'LAINI' kutoka Kamati Kuu ya CHADEMA

Nategemea tamko 'LAINI' kutoka Kamati Kuu ya CHADEMA

Unategemea huyu akupiganie kama Maalim Seif. Huyu anapigia bahasha.

Mageuzi nchi hii yataletwa na vijana wote wa kitanzania, wa vyama vyote na wasio na chama. Hakuna chama kimoja kinaweza kuleta mageuzi ya kisiasa. Human beings are just too corrupt,hasa Watanzania. Wake zao, vimada, ndugu wapo kwenye covid 19, maridhiano ya siri kuhusu nusu mkate, kumtunuku Samia na kumsifia kwa kila kitu toka Mbowe atoke jela ndio ulikuwa msimamo wa Chadema.

Hana moral authority kusimamia haki, Watanzania wanajua akipewa bahasha, ruzuku, akialikwa kwenye functions anasifu na kuabudu kwa kwenda mbele. Sina uhakika na Lissu kwanini aliunga mkono haya yote.
 
- Yaliyopita yamepita tumwachie Mungu.

- Uchaguzi umekwisha tujipange kwa uchaguzi ujao.

- Wanachama wa Chadema tunawaomba mshirikiane na viongozi waliochaguliwa.

Asanteni kwa kunisikiliza.

Expect same shit from the same goons.

Rest In Peace Comred Maalim Seif, if you were you today, tungesikia,

Hatutashirikiana kwa namna yeyote ile na wahuni waliopora uchaguzi, iwe kwenye sherehe, magengeni, visimani hata kwenye mazishi.

View attachment 3164889

Kama hamuwezi kususia uchaguzi, susieni basi hata matendo yao, sherehe zao za kitaifa, mialiko yao, 4Rs zao, kataeni misaada yao, kifupi msishirikiane na mahasimu wenu kwa namna yeyote ile.
Mnawalaumu watu ambao wamelipa gharama kubwa sana katika maisha yao, ulemavu, kufilisiwa, kufungwa, kuishi Kama digidigi nyinyi mpo majumbani mwenu mnakuna pumbu na kuropoka tu mbele ya keyboard.
Retards.
 
Chadema haina zana za kivita. Nguvu ya chadema ni hasira na msukumo wa raia. Sasa kama raia wanachukulia poa uporwaji wa haki zao, unataka chadema ifanye nini?

Familillah!!
Halafu keyboard warriors anakimbilia kuropoka mitandaoni kuwalaumu watu ambao wamesacrifice kwa kila kitu.
 
Mnawalaumu watu ambao wamelipa gharama kubwa sana katika maisha yao, ulemavu, kufilisiwa, kufungwa, kuishi Kama digidigi nyinyi mpo majumbani mwenu mnakuna pumbu na kuropoka tu mbele ya keyboard.

Kuna Mtanzania ambaye hajalipa gharama za CCM kuwa madarakani?

At least nyie mnapata ruzuku, kazi,kipato.

Nyerere, Mandela, Castro, Kenyatta wangekuwa upinzani leo wange-hehave kama huyu mwenyekiti wako? Ukuta mlipwaya, wakati wa Kibao mlipwaya mngeitisha maandamano wakati ule. Hamko serious.
 
Hivi maalim self aliwezaje.
Alikuwa anacommand eneo ambalo lina watu wachache kuliko hata Kijiji Cha Ikwiriri watu wanaishi mtaa mmoja wote hao utashindwa kuwaungamisha pamoja
Wafuasi asilimia 99 ni dini moja wanakutana msikitini kila siku.

ilikuwa rahisi kumobilize
 
Back
Top Bottom