Sasa mbona ccm wanaivunja hiyo amaniSawa tu muhimu amani.
Kwahiyo umuhimu wao kama chama ni nini kama hawawezi ku-mobilize umma.Chadema haina zana za kivita. Nguvu ya chadema ni hasira na msukumo wa raia. Sasa kama raia wanachukulia poa uporwaji wa haki zao, unataka chadema ifanye nini?
Familillah!!
Tatizo walio mstari wa mbele kwenye mobilization wanatekwa na kuuawa., Mfano mzee Kibao.Kwahiyo umuhimu wao kama chama ni nini kama hawawezi ku-mobilize umma.
Hivi hadi muda huu mbona Lema hajatoa tamko?- Yaliyopita yamepita tumwachie Mungu.
- Uchaguzi umekwisha tujipange kwa uchaguzi ujao.
- Wanachama wa Chadema tunawaomba mshirikiane na viongozi waliochaguliwa.
Asanteni kwa kunisikiliza.
Expect same shit from the same goons.
Rest In Peace Comred Maalim Seif, if you were you today, tungesikia,
Hatutashirikiana kwa namna yeyote ile na wahuni waliopora uchaguzi, iwe kwenye sherehe, magengeni, visimani hata kwenye mazishi.
View attachment 3164889
Kama hamuwezi kususia uchaguzi, susieni basi hata matendo yao, sherehe zao za kitaifa, mialiko yao, 4Rs zao, kataeni misaada yao, kifupi msishirikiane na mahasimu wenu kwa namna yeyote ile.
Sorry kwan red brigade waliendanga wp?Chadema haina zana za kivita. Nguvu ya chadema ni hasira na msukumo wa raia. Sasa kama raia wanachukulia poa uporwaji wa haki zao, unataka chadema ifanye nini?
Familillah!!
Mbowe bado yupo sanaSuluhisho ni moja tu.
Mwenyekiti Freeman Mbowe ang'atuke, apishe nguvu mpya, akili mpya na mtizamo mpya.
Vinginevyo itazidi kukiporomoa Chama, hadi sasa mvuto wa Chama na ushawishi umepotea.
nabii ameshatoa tamko kuwa walioshinda wote wanaanza kufa mmoja baada ya mwingine hivyo amewataka wajiuzuruHivi hadi muda huu mbona Lema hajatoa tamko?
yote haya mbona hayawezekaniChadema ije na mikakati ifuatayo:-
1. Kuwashughulikia wanaccm, watendaji kata, na viongozi wote wa ccm kaya kwa kaya.
2. Kuharibu miundombinu ya umma kama shule, madaraka na vituo vya polisi.
3. Kususia mikutano na vikao vyote vya viongozi wa serikali hii.
Wakiwaita kwenye maandamano mtatokea ?- Yaliyopita yamepita tumwachie Mungu.
- Uchaguzi umekwisha tujipange kwa uchaguzi ujao.
- Wanachama wa Chadema tunawaomba mshirikiane na viongozi waliochaguliwa.
Asanteni kwa kunisikiliza.
Expect same shit from the same goons.
Rest In Peace Comred Maalim Seif, if you were you today, tungesikia,
Hatutashirikiana kwa namna yeyote ile na wahuni waliopora uchaguzi, iwe kwenye sherehe, magengeni, visimani hata kwenye mazishi.
View attachment 3164889
Kama hamuwezi kususia uchaguzi, susieni basi hata matendo yao, sherehe zao za kitaifa, mialiko yao, 4Rs zao, kataeni misaada yao, kifupi msishirikiane na mahasimu wenu kwa namna yeyote ile.