Natembea na mke wa mtu, mume wake kanionya mara 3

Na wew mkanye kwamba akuache ule raha na mwanamke wako
 
Wanakuwa watamu sana halafu kila siku ananiletea chakula gheto yani hadi raha utamu [emoji39]
Kuna mmachinga mwenzangu hapa Posta naye alionywa hakusikia. Ila kuna siku alikuja mjini akawa anavua nguo anabaki uchi huku dudu limedinda. Anazurura huku na kule. Ilibidi ndugu zake wakampigie magoti mwenye mke asamehe.

Mpaka sasa jamaa amekoma na yuko vizuri hana hamu tena na wake za watu. Ukitaka kumuona njoo hapa Posta Dsm karibu na Sanamu la Askari mbele ya jengo linaitwa IPS.
 
Anaitwa Nani
 
We chizi kweli,yaani unamla shemeji yetu halafu unatuita sisi ngozi nyeusi ni wa hovyo............unachokitafuta utakipata tu kwa jamaa wa South Afrika
 
Hakuna tatizo cha msingi uwe unatembea na KY Jerry ili ukiingia kwenye 18 zoezi lisiwe gumu.

Vipi umeshaacha kujambajamba?
 
Ogopa Sana mtu anayekuonya kwa maneno mepesi zaidi ya Mara moja.
Vip mama j akiolewa utaachia ngazi?

Afu mwambie mama j alipotoa limbwata alokupa anipe connection kuna mtoto wa mama mkwe ananitesa.🤣🤣🤣🤣
 
Hakikisha muda wote una kikopo kidogo cha Rays au Vaseline
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kukupiga sio lazima atumie mikono yake anaweza akakupiga kwa kutumia hata watu, kua makini mzee, Kimbia kabla hujakuja na uzi mpya hapa "Yaliyo nikuta baada ya kutembea na mke wa mtu"
Hebu tupe kidogo mkuu ilikuwaje?
 
Kijana acha kuwa na roho ngumu mademu wako wengi achana na demu wa mtu, unahatarisha marinda yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…