Digitaldreamer
Senior Member
- Jun 11, 2022
- 121
- 43
Acha uzinzi dogoKama ni sumu mbona sifi na kila siku namtafuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uzinzi dogoKama ni sumu mbona sifi na kila siku namtafuna
Hii hali inakoelekea najiona kabisa nipo ktk msongo wa mawazo maana huyu mwanamke nimeanza kutembea nae tangu mme wake alipoondoka akaenda South Afrika na huu ni mwaka wa tatu sasa. Huwa anakuja na kuondoka ila ajabu ni kuwa sijui mpuuzi gn kamwambia huyu jamaa kuwa huku mke wako mpwayungu village anamtafuna.