Nateseka sana na complicated U.T.I. Naelekea kukata tamaa, nisaidieni niondokane na mateso haya

Nateseka sana na complicated U.T.I. Naelekea kukata tamaa, nisaidieni niondokane na mateso haya

Habari za leo wapendwa?

Mwenzenu niko njia panda hata future yangu siioni! Kwa ujumla naelekea kukata tamaa kabisa. Mimi ni mgonjwa, nahitaji ufumbuzi wa tatizo langu lakini pamoja na juhudi zote mpaka sasa sijapata mwanga nalimalizaje mie! Ni mwaka sasa tangu nimeanza kuteseka na tatizo hili. Mimi ni mwanaume, umri wangu miaka 50. Nina tatizo katika njia ya mkojo ambalo daktari wangu amelitambua kuwa ni COMPLICATED U.T.I.

DALILI ZAKE:

1. Mkojo kuuma sana wakati wa kukojoa mpaka muda mfupi baada ya kukojoa.
2. Muwasho na maumivu eneo zima la kinena, mapajani kwa ndani na njia ya haja kubwa.
3. Ninapokaa nahisi kama nimekalia kitu katikati ya makalio (eneo kati ya uume na njia ya haja kubwa).
4. Maumivu makali wakati wa ejaculation (kutoa mbegu za uzazi).

N.B: Pamoja na mkojo kuuma, mkojo unatoka kawaida na unaisha kwenye kibofu.

JUHUDI ZA KUSAKA TIBA:
Nilianza kupata huduma katika hospitali ya wilaya huku kwetu mkoani ikionekana nasumbuliwa na U.T.I. lakini sikuwahi kupata nafuu yoyote. Hatimaye nilipewa rufaa kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili ambako nilipata vipimo mbalimbali (ikiwa ni pamoja na ULTRASOUND SCAN, VIPIMO VYA DAMU NA MKOJO).

Baada ya vipimo, Daktari Bingwa wa njia ya mkojo (Urologist) aliniambia kuwa tatizo langu linaitwa COMPLICATED U.T.I. Ni U.T.I. ambayo imesababisha maambukizi kwenye Tezi Dume. Tezi dume haijangezeka (not enlarged) lakini imevimba (inflamed) ndio sababu ya hisia ya kukalia kitu katikati ya makalio. Alinambia kuwa tiba yake haihitaji upasuaji kwa kuwa tezi haijaongezeka. Nitapewa dawa za kuondoa maambukizi (infection) na hali yangu itaimarika.

Nilipewa dozi ya LEVOFLOXACIN 500mg mara moja kwa siku kwa muda wa siku 30 lakini hata baada ya kutumia dawa hiyo kwa ukamilifu sikupata nafuu yoyote. Kwa sasa nipo nyumbani huku mkoani. Changamoto niliyonayo ni kukosa fedha ya kurudi Muhimbili kufuatilia tiba zaidi ukizingatia sina bima ya afya.

SABABU YA KULILETA HAPA JAMVINI:
Natambua kuwa JamiiForums imejaa wabobezi wa fani na taaluma mbalimbali. Nimelileta hapa nikiomba msaada wa ushauri kwa madaktari mliomo humu juu ya tiba zaidi ninayoweza kutumia bila kulazimika kurudi Muhimbili baada ya LEVOFLOXACIN kufeli ukizingatia tatizo tayari linafahamika.

Mniwie radhi kwa post ndefu. Nimejaribu kuandika hivi ili maelezo yatosheleze bila kuacha maswali mengi na hivyo kurahisisha upatikanaji wa msaada kutoka kwenu.

Natanguliza shukrani nikisubiri msaada wenu!
Mkuu pole sana kwa maradhi yako ya UTI .Kwa dawa za Hospitali huwezi kupona hata kama utatumia mwaka mzima kwani UTı ya siku hizi ni UTI Sugu haisikii kabisa kwa dawa kizungu lakini kwa dawa za Asili ukitibiwa utapona baada ya siku 21 tangu umetumia dawa za Asili huo ndio ushauri wangu.
 
"UTI in men is always considered complicated and treatment should be targeted at the likely bacteria".

Nenda hospital kapime kipimo cha urine culture kujua ni bacteria gani wanakusumbua ili upate dawa sahihi. Pia utaongezea na Doxycyline tabs.
 
Mkuu pole sana kwa amradhi yako ya UTI .Kwa dawa za Hospitali huwezi kupona hata kama utatumia mwaka mzima kwani UTı ya siku hizi ni UTI Sugu haisikii kabisa kwa dawa kizungu lakini kwa dawa za Asiliukitibiwa utapona baada ya siku 21 tangu umetumia dawa za Asili huo ndio ushauri wangu.
Changamoto ni namna ya kupata dawa hiyo ya asili ya kufaa maana siku hizi wauza dawa feki wengi ajabu.
 
"UTI in men is always considered complicated and treatment should be targeted at the likely bacteria".

Nenda hospital kapime kipimo cha urine culture kujua ni bacteria gani wanakusumbua ili upate dawa sahihi. Pia utaongezea na Doxycyline tabs.
Asante sana rafiki.
 
mkuu anza hii dose kuchukua mchaichai mbichi uchemshe kisha uwe unakunywa kwa siku mara 3 glass 1, ingawa inapelesha kiasi ila ni dawa nzuri sana kwa UTI (hapa kiwepesi chemsha mwingi jaza kwenye jagi weka kwa friji.( hii dawa pia ina shusa sana sukari, hivyo kama unasukari ya kushuka usitumie)

Pia kama ukiweza uwe unasaga kitunguu swaumu punje 4 hadi 5 kisha unachanganya na baking soda nusu hadi kijiko kimoja kwenye glass ya maji unakunywa asubuhi na usiku ukitaka kulala! hii asubuhi tu ukikojoa utajua kuna dawa umekunywa kila la kheri !
utaanza sikilizia matokeo baada ya siku 5.
 
Tatizo hujasema uko wapi tukusaidie,kwa hospitali tu utameza hizo antibiotics hadi gunia hakuna kitu,tiba za asili ndio mpango mzima wiki moja utaona badiliko.
 
mkuu anza hii dose kuchukua mchaichai mbichi uchemshe kisha uwe unakunywa kwa siku mara 3 glass 1, ingawa inapelesha kiasi ila ni dawa nzuri sana kwa UTI (hapa kiwepesi chemsha mwingi jaza kwenye jagi weka kwa friji.( hii dawa pia ina shusa sana sukari, hivyo kama unasukari ya kushuka usitumie)

Pia kama ukiweza uwe unasaga kitunguu swaumu punje 4 hadi 5 kisha unachanganya na baking soda nusu hadi kijiko kimoja kwenye glass ya maji unakunywa asubuhi na usiku ukitaka kulala! hii asubuhi tu ukikojoa utajua kuna dawa umekunywa kila la kheri !
utaanza sikilizia matokeo baada ya siku 5.
Asante ndugu
 
Tatizo, kuna vitu watu mnafanya halafu mnapokuja kuomba ushauri huwa mnaongea kama haya maradhi yamewakuta tu......

Naomba nikuulize, huwa hauli nyuma yaani kula mwanamke hata mwanaume kinyume na maumbile haujawahi fanya hiyo kitu?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Njia ya vumbi na yenyewe husababisha u.t.i sugu..Kama unapenda kupita njia hiyo Basi ukiacha itasaidia sana.kumaliza tatzo


KWA MPALANGE.
 
Habari za leo wapendwa?

Mwenzenu niko njia panda hata future yangu siioni! Kwa ujumla naelekea kukata tamaa kabisa. Mimi ni mgonjwa, nahitaji ufumbuzi wa tatizo langu lakini pamoja na juhudi zote mpaka sasa sijapata mwanga nalimalizaje mie! Ni mwaka sasa tangu nimeanza kuteseka na tatizo hili. Mimi ni mwanaume, umri wangu miaka 50. Nina tatizo katika njia ya mkojo ambalo daktari wangu amelitambua kuwa ni COMPLICATED U.T.I.

DALILI ZAKE:

1. Mkojo kuuma sana wakati wa kukojoa mpaka muda mfupi baada ya kukojoa.
2. Muwasho na maumivu eneo zima la kinena, mapajani kwa ndani na njia ya haja kubwa.
3. Ninapokaa nahisi kama nimekalia kitu katikati ya makalio (eneo kati ya uume na njia ya haja kubwa).
4. Maumivu makali wakati wa ejaculation (kutoa mbegu za uzazi).

N.B: Pamoja na mkojo kuuma, mkojo unatoka kawaida na unaisha kwenye kibofu.

JUHUDI ZA KUSAKA TIBA:
Nilianza kupata huduma katika hospitali ya wilaya huku kwetu mkoani ikionekana nasumbuliwa na U.T.I. lakini sikuwahi kupata nafuu yoyote. Hatimaye nilipewa rufaa kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili ambako nilipata vipimo mbalimbali (ikiwa ni pamoja na ULTRASOUND SCAN, VIPIMO VYA DAMU NA MKOJO).

Baada ya vipimo, Daktari Bingwa wa njia ya mkojo (Urologist) aliniambia kuwa tatizo langu linaitwa COMPLICATED U.T.I. Ni U.T.I. ambayo imesababisha maambukizi kwenye Tezi Dume. Tezi dume haijangezeka (not enlarged) lakini imevimba (inflamed) ndio sababu ya hisia ya kukalia kitu katikati ya makalio. Alinambia kuwa tiba yake haihitaji upasuaji kwa kuwa tezi haijaongezeka. Nitapewa dawa za kuondoa maambukizi (infection) na hali yangu itaimarika.

Nilipewa dozi ya LEVOFLOXACIN 500mg mara moja kwa siku kwa muda wa siku 30 lakini hata baada ya kutumia dawa hiyo kwa ukamilifu sikupata nafuu yoyote. Kwa sasa nipo nyumbani huku mkoani. Changamoto niliyonayo ni kukosa fedha ya kurudi Muhimbili kufuatilia tiba zaidi ukizingatia sina bima ya afya.

SABABU YA KULILETA HAPA JAMVINI:
Natambua kuwa JamiiForums imejaa wabobezi wa fani na taaluma mbalimbali. Nimelileta hapa nikiomba msaada wa ushauri kwa madaktari mliomo humu juu ya tiba zaidi ninayoweza kutumia bila kulazimika kurudi Muhimbili baada ya LEVOFLOXACIN kufeli ukizingatia tatizo tayari linafahamika.

Mniwie radhi kwa post ndefu. Nimejaribu kuandika hivi ili maelezo yatosheleze bila kuacha maswali mengi na hivyo kurahisisha upatikanaji wa msaada kutoka kwenu.

Natanguliza shukrani nikisubiri msaada wenu!
Maumbile ya mwanamke anapotawaza hakikisha kinyesi kisiingie kwenye k, ukiweza ku control basi u.t.i utapona kabisa
 
Wanaume huwa hawapati UTI kirahisi ila shida inaanza miaka ikienda kama hiyo uliyonayo. Ikitokea umeanza kuwekea mirija ya kukojolea ndiyo tatizo huongezeka zaidi.

Maambukizi kwenye tezi dume (prostatitis) huwa ni kazi sana kuyatoa na mara nyingi husababisha UTI ya kujirudiarudia husababisha hata ukiitibu.
Hapo nashauri ubadilishe dawa. Hizi levofloxacin na wenzake ciprofloxacin zimepata sana na usugu wa wadudu. Jaribu kutumia azithromycin.
 
Habari za leo wapendwa?

Mwenzenu niko njia panda hata future yangu siioni! Kwa ujumla naelekea kukata tamaa kabisa. Mimi ni mgonjwa, nahitaji ufumbuzi wa tatizo langu lakini pamoja na juhudi zote mpaka sasa sijapata mwanga nalimalizaje mie! Ni mwaka sasa tangu nimeanza kuteseka na tatizo hili. Mimi ni mwanaume, umri wangu miaka 50. Nina tatizo katika njia ya mkojo ambalo daktari wangu amelitambua kuwa ni COMPLICATED U.T.I.

DALILI ZAKE:

1. Mkojo kuuma sana wakati wa kukojoa mpaka muda mfupi baada ya kukojoa.
2. Muwasho na maumivu eneo zima la kinena, mapajani kwa ndani na njia ya haja kubwa.
3. Ninapokaa nahisi kama nimekalia kitu katikati ya makalio (eneo kati ya uume na njia ya haja kubwa).
4. Maumivu makali wakati wa ejaculation (kutoa mbegu za uzazi).

N.B: Pamoja na mkojo kuuma, mkojo unatoka kawaida na unaisha kwenye kibofu.

JUHUDI ZA KUSAKA TIBA:
Nilianza kupata huduma katika hospitali ya wilaya huku kwetu mkoani ikionekana nasumbuliwa na U.T.I. lakini sikuwahi kupata nafuu yoyote. Hatimaye nilipewa rufaa kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili ambako nilipata vipimo mbalimbali (ikiwa ni pamoja na ULTRASOUND SCAN, VIPIMO VYA DAMU NA MKOJO).

Baada ya vipimo, Daktari Bingwa wa njia ya mkojo (Urologist) aliniambia kuwa tatizo langu linaitwa COMPLICATED U.T.I. Ni U.T.I. ambayo imesababisha maambukizi kwenye Tezi Dume. Tezi dume haijangezeka (not enlarged) lakini imevimba (inflamed) ndio sababu ya hisia ya kukalia kitu katikati ya makalio. Alinambia kuwa tiba yake haihitaji upasuaji kwa kuwa tezi haijaongezeka. Nitapewa dawa za kuondoa maambukizi (infection) na hali yangu itaimarika.

Nilipewa dozi ya LEVOFLOXACIN 500mg mara moja kwa siku kwa muda wa siku 30 lakini hata baada ya kutumia dawa hiyo kwa ukamilifu sikupata nafuu yoyote. Kwa sasa nipo nyumbani huku mkoani. Changamoto niliyonayo ni kukosa fedha ya kurudi Muhimbili kufuatilia tiba zaidi ukizingatia sina bima ya afya.

SABABU YA KULILETA HAPA JAMVINI:
Natambua kuwa JamiiForums imejaa wabobezi wa fani na taaluma mbalimbali. Nimelileta hapa nikiomba msaada wa ushauri kwa madaktari mliomo humu juu ya tiba zaidi ninayoweza kutumia bila kulazimika kurudi Muhimbili baada ya LEVOFLOXACIN kufeli ukizingatia tatizo tayari linafahamika.

Mniwie radhi kwa post ndefu. Nimejaribu kuandika hivi ili maelezo yatosheleze bila kuacha maswali mengi na hivyo kurahisisha upatikanaji wa msaada kutoka kwenu.

Natanguliza shukrani nikisubiri msaada wenu!
Unaishi na mke? Je, ulishampeleka kwa madakatar bingwa kupimwa yeye kama ana infections njia us uzaz?


NB: mwanamke anaweza kuwa na infections za hzo UTI bila kuonekana rahis zaid ya mwaka,unajikuta unakarbia kupona,unakutana nae,unawachukua wadudu
 
Back
Top Bottom