Nateseka sana na complicated U.T.I. Naelekea kukata tamaa, nisaidieni niondokane na mateso haya

Nateseka sana na complicated U.T.I. Naelekea kukata tamaa, nisaidieni niondokane na mateso haya

Fanya kipimo cha Culture and Sensitivity kwenye Hospital kubwa utajua UTI yako inapaswa kutibiwa na Dawa Gani na Una Aina Gani ya Wadudu
 
Kutoka moyoni kabisa SIJAWAHI KUFANYA HIVYO iwe kwa mwanamke au kwa mwanaume. Ninahitaji sana msaada wa utatuzi,, ningekuwa nimeshawahi hata mara moja ningesema wazi maana nahitaji kupata ufumbuzi.
Mkuu upo mkoa gani nitakusaidia.Iwe Ni UTI sugu au ya majani ya chai au I we bawasiri ya iliyojificha n.k njoo in box tuhojiane In Sha Allah naamini nitakusaidia pole Sana.
 
Ndio naimalizia leo
Kagonge sindano 5 direct kwenye mshipa mkononi wiki tu unapona. Sijui inaitwaje dawa ila ukifika dispensary kokote wanajua. Wanapiga kwenye mshipa inaingia kazini wiki mwili sumu yote kwaheri.
 
Sio p
Nimeshapita hapo pia. Nilichoma Powercef kwenye mshipa kwa siku 5 mfululizo ikifuatiwa na capsules amoxycillin kwa siku 5 tena lakini sikuona tofauti yoyote. Yaani hata sielewi??
Sio powercef!!jina la iyo dawa ipo juu jamaa mmoja ameitaja
 
Hapo ni culture sensitivity

Ukiwa unahangaikia hiyo

Tumia dawa zitwa tazo

Metronidazole....

Doxycycline....

Cefixime.....
 
Hapo ni culture sensitivity

Ukiwa unahangaikia hiyo

Tumia dawa zitwa tazo

Metronidazole....

Doxycycline....

Cefixime.....
Hizo ndizo ambazo ukienda hospitali unaandikiwa au kupewa lakini HAZIMALIZI NG'O, niulize mimi

Na ndio ambazo zimepitishwa na wizara ya afya kuwa hata kama Mtumishi wa serikali akiumwa anaandikiwa hizo kuna mwongozo wake kwny kitabu na hapo moja ni lazima udungwe kwa sindano ila hizo haziui bakteria wote nakuhakikishia.
 
Hili tatizo lina linasumbua watu wengi sana mm ningeshaur utumie tiba lishe zinakusaidia unapona kabisa pia imesaidia watu wengi tafuta hio namba atakusaidia sana 0624149617
 
Back
Top Bottom