Nateswa sana na jini mahaba

Nateswa sana na jini mahaba

Tambua kwamba mwili wako si nyumba ya mashetani na majini mwili wako ni hekalu la Mungu,usi deal na huyo jini wala shetani gani deal na mwili wako,safisha hekalu la Mungu,unajua unaweza lalamika kwanini Mende hawaishi ndani kwako na kila siku unaweka dawa? shida sio dawa

unazoweka zakuzuia mende,shida ni CHANZO kinachosababsha mende kuja ndani kwako Yawezekana jikoni ndani kwako kuna uchafu na masalia ya vyakula kila iitwapo LEO kamwe mende hawawezi isha nyumbani kwako,utatumia kila dawa ila Mende waturudi tu,KWANINI? kwasababu uchafu ndio misingi ya nyumba yako.

SASA BASI achana kudeal na majini au mashetani Tuanze na jambo 1 tu ambalo kufanya usafi wa hekalu la bwana (huo mwili wako) Acha kila kitu unachotumia kisichompendeza Mungu.

Jisafishe,Jitakase kuwa serious katika hili,Kwenye maombi yako usitamke "Mungu namkataa huyu jini" nk nk wewe wakati unaomba mwambie "Mungu safisha mwili wangu,hili ni hekalu lako" mahali pako pa kupumzikia, nisafishe BABA nitakase..

Omba toba,omba utakaso,omba roho mtakatifu aingie ndani yako (yani fanya kama humjui jini) wewe deal na mwili wako komaa eneo hilo,Ukishampokea roho mtakatifu akakushukia maana yake Utakua safi.

sasa baada ya kumpokea roho mtakatifu,Dunda na Mia zako tuone huyo jini mahaba ataingia nyumba ipi wakati mwenye nyumba yupo ndani anatawala,Ajaribu bahati yake aone kitachomkuta.

Brother unapambana vita ya kiroho sio ya kimwili,lazima ukubali kuacha kila takataka ya dunia ili alie juu (roho mtakatifu) aweze kukushukia akusaidie, vita sio vyetu vita ni vya alie juu.

Ndio mana nimekwambia hata kwenye maombi usimpe kiki kwa kumtaja "jini mahaba sijui" usimpe showtime kabisa komaa na maombi ya utakaso,jiweke safi Nakuhakikishia ukishakua safi Hayo mengine unayoyataka yatakua Automaticaly tu.

Hamnaga Mende nyumba safi,hamnaga Panya nyumba safi ukiona hao viumbe jua kuna shida mahali shda si wao shda ni "wewe" na hata ktk hili mimi nina ujasiri kukwambia shda sio "jini mahaba" shida ni wewe. Badilika chukua hatua.
 
Habari za muda huu ndugu zangu.

Mimi ni kijana Me 26 nimekulia maisha yenye furaha sana mpaka nilipofikia umri wa miaka 24 na kugundua mwili wangu haupo sawa. Yani nasumbuliwa na kiumbe aitwa jini mahaba apo awali nilikuwa nahisi furaha kupata ndoto ya jima na mwanamke ila hasara za huyu kiumbe nimeziona nilipoingia kwenye mahusiano na binti mcha mungu sana.

Ni miaka miwili sasa nateseka kwa aliewahi kupata tatizo langu ni rahisi kunielewa. Nimezungu kwa waganga wa jadi wengi sana wenye uweledi ila nimekuwa nikilitatua tatizo langu kwa kipindi kifupi na kurudi. Tokea nimemtambua uyu kiumbe na kuanza vita nae amezidi kuniandama na kufunga mpaka riziki zangu. Nimefukuzwa kazi, nakataliwa na watu, nadhulumiwa kwenye jasho langu nimekuwa mtu wa kulia sana na kuomba lakini wapi.

Sifahamu ametokea wapi au ametumwa na nani? Ngoja niwaelezee kidogo kuhusu uyu kiumbe na mateso yake kwangu...Uyu kiumbe sio kama mashwetani wa kawaida ukisema akiitwa atazungumza na kueleza dhamira yake. uyu kiumbe anapoona kuna makali ya kumuumiza mfano maombi au dua hutoka na kuondoka na baada ya dawa kuisha hurudi hiyo ndio sababu kubwa ya kushindikana kuondoka kwa huyu kiumbe.

Baada ya kufuatilia mlolongo wa maisha yangu ya nyuma baada ya kutambua nina kiumbe huyu ndani mwangu nimegundua, mwanamke hunipenda ila mimi sitompenda nitamtumia na mwishowe nitamuachia huzuni ya kumuacha, kosa kubwa ni mimi nikimpenda mwanamke zitafanyika hila zozote za kunifanya nishindwane na huyo mwanamke, mfano nitashindwa kumuingilia uyo mwanamke kila nikitaka kufanya hivyo uume hutoweza kufanya lolote ila nikienda kwa mwanamke mwingine naweza niliwahi kuambiwa ni kwamba anapata wivu ndio sababu ya kuniharibia "nimewapoteza bila sababu wengi sana niliokuwa nawapenda nimeumia sana" nipo na mwanamke mcha mungu amekuwa akiniombea na ni strong nadhan ndio moja ya sababu kumshindwa kiumbe huyu

Nimemuingiza katika vita sababu ya upendo wake anapambana sana na mimi katika vita hii, anapata mandoto usiku ya kumtisha anaona wanawake wanamjia na kumwambia umeamua kumfanya unavyotaka sio, baada ya kuwa natumia gharama nyingi kwa waganga kwa ajili ya tatizo langu aliamua kufunga riziki zangu nisipate hata 100 ili nisiweze kufanya jitihada zozote za kumuondoa. Nimeachishwa kazi bila sababu. Apa nilipo sina hata senti.

Vihoja vya mateso kwenye maisha yangu ni vingi sana hata kukumbuka nashindwa nimekuwa kwenye kifungo kikubwa sana nimeenda madhabau mengi na tofauti kanisani, kwa mashekh, kwa waganga ila sijapata auheni zaidi ya uyu kiumbe kuzidi kunipatia mateso. Hivi ninanyoandika nimechoka na kuishi kwa sasa ni mwanamke wangu ambae sina imani katika safari yangu kama nitafika nae.

Nateseka nateseka haswa. Siku uyu binadamu wa karibu yangu pekee atakapo kata tamaa na mimi basi na mimi sitokuwa na budi kuiacha dunia na kupata pumziko la milele, sioni faida ya kuishi apa nilipo nmeuza mali zangu nyingi nilizokuwa nazo ila napota ela bila kujua kufahamu. huu ni moja ya mfano mmoja kati ya mingi ya ajabu iliyonikumba niliwahii kuchukua simu ya mtu nimelekee mteja ili niipaate elf20 ya udalal ila nilienda kushikwa na kuambiwa nimeiiba ile simu na kuwekwa ndani ila baada ya siku2 iligundulika ile simu sio ya wizi imefananishwa nikaachiwa, niliwahi kuitwa interview nilizunguka saa nzima naupita mlango wa chumba cha inteview mpak mda ukaisha.

Katika ndoto usiku naambiwa nawaona wanawake wananiambia wewe si mbishi tutakuonyesha. Nimechoka nahitaji msaada kwa njia yoyote ile inatosha naitaka amani, kuna wakati nalia sana usiku nakuomba...Mwili wangu ni wa nyama vita yang ni ya kiroho Mungu wangu ameniacha. Kuna wakati nawaangalia watu fulani na kutamani kuwa wao na kujiona mimi ni mkosi...Maisha yangu ni ya kulia tuu barabarani, nyumbani, kanisani.

Ewe binadamu unaefahamu msaada wa tatizo langu naomba unisaidie kutoka kufungoni Kwa namna yoyote. Na mungu atakubariki sana.

Asante sana
Halafu Kiranga atakuja kubisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikupe ushauri utakaomaliza shida yako, majini, mapepo na roho zote za shetani huwatesa watu pale wanapokuwa nauhalali. Dhambi humpa uhalali pepo kumtesa mtu.
Ukimwamini Yesu, unasamehewa dhambi zako na zaidi unapewa uwezo wa kuishi maisha matakatifu (uwezo wa kushinda dhambi).
Unapoombewa, jini hutoka na kwenda mahali kwa muda, baadae huja kuangalia kama bado kuna njia (mlango) wa kukuingia tena. Na kama kuna mlango huingia tena, na ikibidi huja na majini wengine kukaa humo.

Suluhisho ni kumwamini Yesu, akuokoe. Halafu ufanyiwe maombi ya ukombozi (kufunguliwa). Halafu acha dhambi.

Soma 1Yohana 3:8.
 
Dah pole sana mkuu!

Kwa uzoefu wangu majini mahaba yapo na yanatusumbua sana hasa sisi wanaume na hata wanawake pia, katika kila binaadamu kumi jawakosi watano wanasumbuliwa na hiyo kiumbe japo wengi wetu hatujui sababu za matatizo zinazotuandama, jini mahaba hatoki ki urahisi kama mapepo wengine, ni mbishi kuliko ubishi wenyewe, hutoka na kurudi na akirufi lazma akushikishe adabu maana wewe unakiwa kama hekalu lake, naomba nikuulize maswali mawili matatu

1: kipinfi uko mdogo ( ama wakati wa balehe ) ulikuwa ukipenda kuwinda? Kuogelea kwenye mito mabwawa ama baharini? Kucheza pembeni ya majalala pia.

2: huwa unajisikia usingizi baada ya kuamka asubuhi? Mfano umeamka saa 12 asubuhi, ikifika saa 3 unajisikia hali flani ya usingizi?

3: unakuwa ukipanga kufanya jambo flani la kimaendeleo lakini hulit3kelezi? Unadharau ile sauti ya ndani mwako?

4: majini mahaba ka amekaa ndani ya mwili wako kwa mida mrefu hiwa wanajidhihirisha, wanajionyesha, ushawahi kuhisi ama kuona? Maswali haya machache yatakuongoza kujua kama una jini mahaba ama una kiumbe kingine, duniani kuna viumbe vingi sana, sisi huita majini lakini kuna viumbe zaidi ya majini kama utaamia kufuatilia mamno kwa undani zaidi.


Hapa chini nakupa kisa cha jini mmoja alikuwa akinisumbia sana, nahisi bado tunasumbuana lakini kwa sasa ni yeye ndiye anapata taabu kirudi kwenye jumba ambalo yeye alinifanya mm ni makazi yake..mwisho siku amefeli yeye..sitoeleza yoote kutokana na nafadi niliyonayo hapa nitakuoelekeza jinsi huyo mpuuzi alivyokuwa akijifhihirisha kwangu.. ushuhuda ntaweka mmoja tu ama miwili.

Mara ya kwanza ilikuwa morogoro, ilipokuwa stand ya daladala ya zamani, kule town kwa wenyeji watakuwa wanapaelewa.

Siku hiyo nilikuwa naelekea mazimbu ndani, hivyo nikaenda pale kupanda daladala la mazimbu kupitia tumbaku( modeco ) nilikuta lile daladala linakaribia kujaza kasoro seat mbili tu, diti ya kwanza iliyopo mlangoni, yaan ukikaa pale unakuwa jirani na makalio ya konda, na ya pile ni ile seat ya bench, ile unaangalia nyuma, seat hizi zilikuwa zikitazamana, yaani mkikaa lazma mppishanishe miguu nadhani hapo tumeelewana.

Baada ya mimi kukalia ile seat ya benchi nikiwa naangaliana na abiria wenzangu, ilibaki seat moja ambayo atakayekuja kukaa lazma tupishanishe miguu, basi kwa mbaali nikaanza sikia harufu nzuuti ya marashi kama yale wayatumiayo wanawake wa kiarabu, kisha nikamuona mwanamke mmoja mzuri sana, nakiri ni mzuri haswaa, mweupe kama muarabu lakini alikuwa amevaa blauz ya pink na mauwa mauwa na amevaa kimini kimoja cha haja, mapaja yake manene yakawa yakionekana kunivutia ,akaja akakaa katika ile seat, tukapishanisha miguu, akanisalimia ( Asallam aleykum, nikaitikia, sasa lile joto la mappaja yake likawa linapenya mpaka ndani ya [emoji158] yangu, ila kuna fasta nikaanza hisi kichwa kikiniuma kwa mbaali, kwa uzoefu wangu moja kwa moja nikahisi huyu si kiumbe wa kawaida, na nilikuwa sahihi sababu wakati namkazia macho, kuna vitu nilikuwa naona ktk mboni zake, kwanza mboni zake ni za kijivu alaf kwa mbaali kama **** wekundu na ukijani, pia lililonodtua zaidi ni pale alipokuja jamaa( abiria mwingine akaja akakaa kwenye ile seat aliyokaa yule mwanamke, yaani amekaa kama amekalia seat tupu wakati ile seat kuna mwanamke kakaa, basi akamkalia, dijui niseme akakaa kwenue ile seat na safari ikaanza, jamaa ka relax kabisa hana noma, huye mwanamke nae namuona pia, yaani yule mwanamke kawa kama seat, kamvaa sijui hata sielewi, basi baada ya gari kutoka, pale mbele kuna round about, yule mwanamke nguo zake zikaanza kubadilika kutoka pink na kuwa za rangi ya blue, wakati tunafika masika zikawa za zambarau, akawa anabadilika badilika na tuko tunaangaliana na jamaa aliyemkalia hana anachojua kama kuna kiumbe pale alipokaa, tumeenda mpaka pale idara ya maji moruwasa, daladala likasimama, bila kudimamishwa, kwenye ile bums pale, konda akafungua mlango yule mwanamke akashukia pale ikabidi na mimi nishukie pale nikalipa nikaanza mfuata nyuma, akili yangu kawaida ni mbovu siku zote, nikasema huyu leo ntaujua mwisho wake, badi yeye mbele mimi nyuma, sasa tunapandisha kile kimwinuko cha kuelekea njia panda ya kushoto ambayo inaelekea msikiti wa mungu mmoja kule, yeye mbele mimi nyuma, tukakunja ile njia ya mafiga nipo nyumba anaenda kwa madaha mwenyewe na bado anabadilisha tu rangi, he likatokea zee moja ata sijui limetokea wapi bwana ananijua si akanisalimia? Kasimama kabisa, vipi kijana habari za madiku umepotea sijui maneno kibao, mi nikawa namjibu short short tu ili ajikatae, mwisho yule mwanamke nikaona kakata kona kanipotea, ikabifi na mimi nitoke nduki mpaka pale alipokata kona wallah sikumwona kanipotea, nilizunguka yale maeneo kama nusu saa lakini sikumuona, ikabidi nighail na mazimbu sikwenda tena, nikaenda msamvu, nikakata tiketi ya bus, nakumbuka ilikuwa ni Abood, nikapata seat ya kwanza kabisa ukiingia mlangoni, nikakaa hapo. Bus likaza kama baada ya dakika 40 45 hivi, wakati tunatoka pale geti kwa mbele ambapo trafki huwa wanaingia ktk bus na kuwaambia abiria wafunge mikanda naye yule mwanamke akapanda akamwingia yule trafki akatokea kwa mbele yake, akatabasamu mbele yangu alaf akasema shauri zako. Huyoo akaenda kumuingia mtu seat namba 3. Chuma hiyoo ikaanza safari, dikufika hata mikese, boonge la usingizi likanipitia, nakuja stuka tupo bwanawi, akashukia hapo na akaniaga kwa jina..

Hayo madubwana yapo ila ukitaka kuyatoa kwanza hakuna anayeweza kuyatoa zaidi ya wewe mwenyewe, unaweza pia kuonana nae ukimwita na mkaongea ikiwemo kumfukiza kama unajua namna gani ya kumtoa, lakini kulitoa jini amabalo liko na wewe kwa zaidi ya miaka 20 huko si kazi ndogo ila inawezekana kwa imani yako na kwa nguvu tulizonazo ndani ya miili yetu.
Katka maisha yangu sitokuja kisahau hawa viumbe walivyonitesa. Miaka ya 2016 Nilikuwa naamka saa tisa ya usiku naenda kanisani kuimba mapambio, kamwe sitokuja kusahau.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za muda huu ndugu zangu.

Mimi ni kijana Me 26 nimekulia maisha yenye furaha sana mpaka nilipofikia umri wa miaka 24 na kugundua mwili wangu haupo sawa. Yani nasumbuliwa na kiumbe aitwa jini mahaba apo awali nilikuwa nahisi furaha kupata ndoto ya jima na mwanamke ila hasara za huyu kiumbe nimeziona nilipoingia kwenye mahusiano na binti mcha mungu sana.

Ni miaka miwili sasa nateseka kwa aliewahi kupata tatizo langu ni rahisi kunielewa. Nimezungu kwa waganga wa jadi wengi sana wenye uweledi ila nimekuwa nikilitatua tatizo langu kwa kipindi kifupi na kurudi. Tokea nimemtambua uyu kiumbe na kuanza vita nae amezidi kuniandama na kufunga mpaka riziki zangu. Nimefukuzwa kazi, nakataliwa na watu, nadhulumiwa kwenye jasho langu nimekuwa mtu wa kulia sana na kuomba lakini wapi.

Sifahamu ametokea wapi au ametumwa na nani? Ngoja niwaelezee kidogo kuhusu uyu kiumbe na mateso yake kwangu...Uyu kiumbe sio kama mashwetani wa kawaida ukisema akiitwa atazungumza na kueleza dhamira yake. uyu kiumbe anapoona kuna makali ya kumuumiza mfano maombi au dua hutoka na kuondoka na baada ya dawa kuisha hurudi hiyo ndio sababu kubwa ya kushindikana kuondoka kwa huyu kiumbe.

Baada ya kufuatilia mlolongo wa maisha yangu ya nyuma baada ya kutambua nina kiumbe huyu ndani mwangu nimegundua, mwanamke hunipenda ila mimi sitompenda nitamtumia na mwishowe nitamuachia huzuni ya kumuacha, kosa kubwa ni mimi nikimpenda mwanamke zitafanyika hila zozote za kunifanya nishindwane na huyo mwanamke, mfano nitashindwa kumuingilia uyo mwanamke kila nikitaka kufanya hivyo uume hutoweza kufanya lolote ila nikienda kwa mwanamke mwingine naweza niliwahi kuambiwa ni kwamba anapata wivu ndio sababu ya kuniharibia "nimewapoteza bila sababu wengi sana niliokuwa nawapenda nimeumia sana" nipo na mwanamke mcha mungu amekuwa akiniombea na ni strong nadhan ndio moja ya sababu kumshindwa kiumbe huyu

Nimemuingiza katika vita sababu ya upendo wake anapambana sana na mimi katika vita hii, anapata mandoto usiku ya kumtisha anaona wanawake wanamjia na kumwambia umeamua kumfanya unavyotaka sio, baada ya kuwa natumia gharama nyingi kwa waganga kwa ajili ya tatizo langu aliamua kufunga riziki zangu nisipate hata 100 ili nisiweze kufanya jitihada zozote za kumuondoa. Nimeachishwa kazi bila sababu. Apa nilipo sina hata senti.

Vihoja vya mateso kwenye maisha yangu ni vingi sana hata kukumbuka nashindwa nimekuwa kwenye kifungo kikubwa sana nimeenda madhabau mengi na tofauti kanisani, kwa mashekh, kwa waganga ila sijapata auheni zaidi ya uyu kiumbe kuzidi kunipatia mateso. Hivi ninanyoandika nimechoka na kuishi kwa sasa ni mwanamke wangu ambae sina imani katika safari yangu kama nitafika nae.

Nateseka nateseka haswa. Siku uyu binadamu wa karibu yangu pekee atakapo kata tamaa na mimi basi na mimi sitokuwa na budi kuiacha dunia na kupata pumziko la milele, sioni faida ya kuishi apa nilipo nmeuza mali zangu nyingi nilizokuwa nazo ila napota ela bila kujua kufahamu. huu ni moja ya mfano mmoja kati ya mingi ya ajabu iliyonikumba niliwahii kuchukua simu ya mtu nimelekee mteja ili niipaate elf20 ya udalal ila nilienda kushikwa na kuambiwa nimeiiba ile simu na kuwekwa ndani ila baada ya siku2 iligundulika ile simu sio ya wizi imefananishwa nikaachiwa, niliwahi kuitwa interview nilizunguka saa nzima naupita mlango wa chumba cha inteview mpak mda ukaisha.

Katika ndoto usiku naambiwa nawaona wanawake wananiambia wewe si mbishi tutakuonyesha. Nimechoka nahitaji msaada kwa njia yoyote ile inatosha naitaka amani, kuna wakati nalia sana usiku nakuomba...Mwili wangu ni wa nyama vita yang ni ya kiroho Mungu wangu ameniacha. Kuna wakati nawaangalia watu fulani na kutamani kuwa wao na kujiona mimi ni mkosi...Maisha yangu ni ya kulia tuu barabarani, nyumbani, kanisani.

Ewe binadamu unaefahamu msaada wa tatizo langu naomba unisaidie kutoka kufungoni Kwa namna yoyote. Na mungu atakubariki sana.

Asante sana
Wewe muumini wa dini yoyote? Au dhehebu gani?
Ni huruma ya Mwenyezi Mungu pekee ndio inayo sambaratisha mashetani. Sio kuloga
 
Kwanin unaimani za hovyo namna hio mkuu...

Mimi naishi nikiamin..

No shetan
No majin
Nikifeli lazima nijue tatizo na Mara nyingi inakuwa kutokuwa makini..

Kukataliwa na watu I don't care kwan huwez pendwa na kila MTU hapa duniani ..

Acha kuwa na mawazo ya kigiza giza
Sipingi unachokiamini bt nahc hujakutwa na tatizo la hko kiumbe pia mshukuru sir god kwa hvyo ulivyo.
 
Kwanin unaimani za hovyo namna hio mkuu...

Mimi naishi nikiamin..

No shetan
No majin
Nikifeli lazima nijue tatizo na Mara nyingi inakuwa kutokuwa makini..

Kukataliwa na watu I don't care kwan huwez pendwa na kila MTU hapa duniani ..

Acha kuwa na mawazo ya kigiza giza
Uko sahihi kabisa. Shetani, jini nk ni wewe mwenyewe na mawazo yako unaeviumba. Kiuhalisia havipo.
 
Nikupe ushauri utakaomaliza shida yako, majini, mapepo na roho zote za shetani huwatesa watu pale wanapokuwa nauhalali. Dhambi humpa uhalali pepo kumtesa mtu.
Ukimwamini Yesu, unasamehewa dhambi zako na zaidi unapewa uwezo wa kuishi maisha matakatifu (uwezo wa kushinda dhambi).
Unapoombewa, jini hutoka na kwenda mahali kwa muda, baadae huja kuangalia kama bado kuna njia (mlango) wa kukuingia tena. Na kama kuna mlango huingia tena, na ikibidi huja na majini wengine kukaa humo.

Suluhisho ni kumwamini Yesu, akuokoe. Halafu ufanyiwe maombi ya ukombozi (kufunguliwa). Halafu acha dhambi.

Soma 1Yohana 3:8.
Ushauri mzuri sana
 
Habari za muda huu ndugu zangu.

Mimi ni kijana Me 26 nimekulia maisha yenye furaha sana mpaka nilipofikia umri wa miaka 24 na kugundua mwili wangu haupo sawa. Yani nasumbuliwa na kiumbe aitwa jini mahaba apo awali nilikuwa nahisi furaha kupata ndoto ya jima na mwanamke ila hasara za huyu kiumbe nimeziona nilipoingia kwenye mahusiano na binti mcha mungu sana.

Ni miaka miwili sasa nateseka kwa aliewahi kupata tatizo langu ni rahisi kunielewa. Nimezungu kwa waganga wa jadi wengi sana wenye uweledi ila nimekuwa nikilitatua tatizo langu kwa kipindi kifupi na kurudi. Tokea nimemtambua uyu kiumbe na kuanza vita nae amezidi kuniandama na kufunga mpaka riziki zangu. Nimefukuzwa kazi, nakataliwa na watu, nadhulumiwa kwenye jasho langu nimekuwa mtu wa kulia sana na kuomba lakini wapi.

Sifahamu ametokea wapi au ametumwa na nani? Ngoja niwaelezee kidogo kuhusu uyu kiumbe na mateso yake kwangu...Uyu kiumbe sio kama mashwetani wa kawaida ukisema akiitwa atazungumza na kueleza dhamira yake. uyu kiumbe anapoona kuna makali ya kumuumiza mfano maombi au dua hutoka na kuondoka na baada ya dawa kuisha hurudi hiyo ndio sababu kubwa ya kushindikana kuondoka kwa huyu kiumbe.

Baada ya kufuatilia mlolongo wa maisha yangu ya nyuma baada ya kutambua nina kiumbe huyu ndani mwangu nimegundua, mwanamke hunipenda ila mimi sitompenda nitamtumia na mwishowe nitamuachia huzuni ya kumuacha, kosa kubwa ni mimi nikimpenda mwanamke zitafanyika hila zozote za kunifanya nishindwane na huyo mwanamke, mfano nitashindwa kumuingilia uyo mwanamke kila nikitaka kufanya hivyo uume hutoweza kufanya lolote ila nikienda kwa mwanamke mwingine naweza niliwahi kuambiwa ni kwamba anapata wivu ndio sababu ya kuniharibia "nimewapoteza bila sababu wengi sana niliokuwa nawapenda nimeumia sana" nipo na mwanamke mcha mungu amekuwa akiniombea na ni strong nadhan ndio moja ya sababu kumshindwa kiumbe huyu

Nimemuingiza katika vita sababu ya upendo wake anapambana sana na mimi katika vita hii, anapata mandoto usiku ya kumtisha anaona wanawake wanamjia na kumwambia umeamua kumfanya unavyotaka sio, baada ya kuwa natumia gharama nyingi kwa waganga kwa ajili ya tatizo langu aliamua kufunga riziki zangu nisipate hata 100 ili nisiweze kufanya jitihada zozote za kumuondoa. Nimeachishwa kazi bila sababu. Apa nilipo sina hata senti.

Vihoja vya mateso kwenye maisha yangu ni vingi sana hata kukumbuka nashindwa nimekuwa kwenye kifungo kikubwa sana nimeenda madhabau mengi na tofauti kanisani, kwa mashekh, kwa waganga ila sijapata auheni zaidi ya uyu kiumbe kuzidi kunipatia mateso. Hivi ninanyoandika nimechoka na kuishi kwa sasa ni mwanamke wangu ambae sina imani katika safari yangu kama nitafika nae.

Nateseka nateseka haswa. Siku uyu binadamu wa karibu yangu pekee atakapo kata tamaa na mimi basi na mimi sitokuwa na budi kuiacha dunia na kupata pumziko la milele, sioni faida ya kuishi apa nilipo nmeuza mali zangu nyingi nilizokuwa nazo ila napota ela bila kujua kufahamu. huu ni moja ya mfano mmoja kati ya mingi ya ajabu iliyonikumba niliwahii kuchukua simu ya mtu nimelekee mteja ili niipaate elf20 ya udalal ila nilienda kushikwa na kuambiwa nimeiiba ile simu na kuwekwa ndani ila baada ya siku2 iligundulika ile simu sio ya wizi imefananishwa nikaachiwa, niliwahi kuitwa interview nilizunguka saa nzima naupita mlango wa chumba cha inteview mpak mda ukaisha.

Katika ndoto usiku naambiwa nawaona wanawake wananiambia wewe si mbishi tutakuonyesha. Nimechoka nahitaji msaada kwa njia yoyote ile inatosha naitaka amani, kuna wakati nalia sana usiku nakuomba...Mwili wangu ni wa nyama vita yang ni ya kiroho Mungu wangu ameniacha. Kuna wakati nawaangalia watu fulani na kutamani kuwa wao na kujiona mimi ni mkosi...Maisha yangu ni ya kulia tuu barabarani, nyumbani, kanisani.

Ewe binadamu unaefahamu msaada wa tatizo langu naomba unisaidie kutoka kufungoni Kwa namna yoyote. Na mungu atakubariki sana.

Asante sana
Unajichanganya kwa waganga na kwenye maombi, hata ningekua mimi jini sikuachi maana ni vuguvugu huelewi umesimama wapi, kama umeamua kumuamini Mungu simama upande huohuo usijichanganye, hao waganga wa kienyeji wanazidi kukuongezea majini na kuweka madhabahu za kipepo ndani ya mwili wako zinazompa huyo jini uhalali wa kuweka makazi yake ndani yako.

Kuna jambo moja ukilizingatia litakusaidia, huyo jini ana uhalali wa kukaa ndani ya mwili wako, ukiweza kupata maombi ya kuvunja hiyo madhabahu yake basi hatakua na mahali pa kukaa na ataondoka, unahitaji maombi ya deliverance tena yanayoambatana na sadaka, na baada ya hapo uache njia mbaya zote uishi katika njia zinazompendeza Mungu
 
Kwanin unaimani za hovyo namna hio mkuu...

Mimi naishi nikiamin..

No shetan
No majin
Nikifeli lazima nijue tatizo na Mara nyingi inakuwa kutokuwa makini..

Kukataliwa na watu I don't care kwan huwez pendwa na kila MTU hapa duniani ..

Acha kuwa na mawazo ya kigiza giza
Nafikir wewe ndo giza,lenyewe sasa
 
Back
Top Bottom