Nateswa sana na jini mahaba

Nateswa sana na jini mahaba

Kaka either kweli umeshikwa pabaya AU una tutania.

Maana kuna kitu kinanijia rohoni juu yako, lakini anyway KWA YESU KRISTO NDIYO MWISHO WA MATATIZO.

Upo tayari kumtafuta Mungu wa Haki akupe Haki yako na Kurejesha Furaha na Amani kwako?
 
Pole kwa matatizo ndugu yangu kila kiumbe kimeumbwa kwa haki sawa iwe kinaonekana au hakionekani iwe kinashkika au hakishikiki wote tumeumbwa kwa Muumba mmoja kwa namna moja ama nyingine matatizo kama hayo mara nyingi huwa kwenye ukoo na kuna chanzo na si kila kiumbe kisichoonekana ni jini hali yoyote pia unaweza ikataa wewe mwenyewe kwa njia yoyote utayoamua kutumia zamani mambo yalikua rahisi sababu hatukuaminishwa kwenye mizimu ya warabu na wazungu ila tuliamini katika mizimu ya koo zetu. Ulizia kwa wakubwa wako hilo jambo utapata suluhisho utahangaika kwa kuhama makanisa na misikiti na vilinge hutaondokana nalo sababu kuna siri kubwa katika hizo sehemu na haziaminiani kila mmoja anamuona mwenzie muongo hivyo jikite kwenye unachokiamini lakini Muumba aliweka miti kama tiba kwa viumbe vyote. Anzia kwenye shina ukoo wako.
 
Habari za muda huu ndugu zangu.

Mimi ni kijana Me 26 nimekulia maisha yenye furaha sana mpaka nilipofikia umri wa miaka 24 na kugundua mwili wangu haupo sawa. Yani nasumbuliwa na kiumbe aitwa jini mahaba apo awali nilikuwa nahisi furaha kupata ndoto ya jima na mwanamke ila hasara za huyu kiumbe nimeziona nilipoingia kwenye mahusiano na binti mcha mungu sana.

Ni miaka miwili sasa nateseka kwa aliewahi kupata tatizo langu ni rahisi kunielewa. Nimezungu kwa waganga wa jadi wengi sana wenye uweledi ila nimekuwa nikilitatua tatizo langu kwa kipindi kifupi na kurudi. Tokea nimemtambua uyu kiumbe na kuanza vita nae amezidi kuniandama na kufunga mpaka riziki zangu. Nimefukuzwa kazi, nakataliwa na watu, nadhulumiwa kwenye jasho langu nimekuwa mtu wa kulia sana na kuomba lakini wapi.

Sifahamu ametokea wapi au ametumwa na nani? Ngoja niwaelezee kidogo kuhusu uyu kiumbe na mateso yake kwangu...Uyu kiumbe sio kama mashwetani wa kawaida ukisema akiitwa atazungumza na kueleza dhamira yake. uyu kiumbe anapoona kuna makali ya kumuumiza mfano maombi au dua hutoka na kuondoka na baada ya dawa kuisha hurudi hiyo ndio sababu kubwa ya kushindikana kuondoka kwa huyu kiumbe.

Baada ya kufuatilia mlolongo wa maisha yangu ya nyuma baada ya kutambua nina kiumbe huyu ndani mwangu nimegundua, mwanamke hunipenda ila mimi sitompenda nitamtumia na mwishowe nitamuachia huzuni ya kumuacha, kosa kubwa ni mimi nikimpenda mwanamke zitafanyika hila zozote za kunifanya nishindwane na huyo mwanamke, mfano nitashindwa kumuingilia uyo mwanamke kila nikitaka kufanya hivyo uume hutoweza kufanya lolote ila nikienda kwa mwanamke mwingine naweza niliwahi kuambiwa ni kwamba anapata wivu ndio sababu ya kuniharibia "nimewapoteza bila sababu wengi sana niliokuwa nawapenda nimeumia sana" nipo na mwanamke mcha mungu amekuwa akiniombea na ni strong nadhan ndio moja ya sababu kumshindwa kiumbe huyu

Nimemuingiza katika vita sababu ya upendo wake anapambana sana na mimi katika vita hii, anapata mandoto usiku ya kumtisha anaona wanawake wanamjia na kumwambia umeamua kumfanya unavyotaka sio, baada ya kuwa natumia gharama nyingi kwa waganga kwa ajili ya tatizo langu aliamua kufunga riziki zangu nisipate hata 100 ili nisiweze kufanya jitihada zozote za kumuondoa. Nimeachishwa kazi bila sababu. Apa nilipo sina hata senti.

Vihoja vya mateso kwenye maisha yangu ni vingi sana hata kukumbuka nashindwa nimekuwa kwenye kifungo kikubwa sana nimeenda madhabau mengi na tofauti kanisani, kwa mashekh, kwa waganga ila sijapata auheni zaidi ya uyu kiumbe kuzidi kunipatia mateso. Hivi ninanyoandika nimechoka na kuishi kwa sasa ni mwanamke wangu ambae sina imani katika safari yangu kama nitafika nae.

Nateseka nateseka haswa. Siku uyu binadamu wa karibu yangu pekee atakapo kata tamaa na mimi basi na mimi sitokuwa na budi kuiacha dunia na kupata pumziko la milele, sioni faida ya kuishi apa nilipo nmeuza mali zangu nyingi nilizokuwa nazo ila napota ela bila kujua kufahamu. huu ni moja ya mfano mmoja kati ya mingi ya ajabu iliyonikumba niliwahii kuchukua simu ya mtu nimelekee mteja ili niipaate elf20 ya udalal ila nilienda kushikwa na kuambiwa nimeiiba ile simu na kuwekwa ndani ila baada ya siku2 iligundulika ile simu sio ya wizi imefananishwa nikaachiwa, niliwahi kuitwa interview nilizunguka saa nzima naupita mlango wa chumba cha inteview mpak mda ukaisha.

Katika ndoto usiku naambiwa nawaona wanawake wananiambia wewe si mbishi tutakuonyesha. Nimechoka nahitaji msaada kwa njia yoyote ile inatosha naitaka amani, kuna wakati nalia sana usiku nakuomba...Mwili wangu ni wa nyama vita yang ni ya kiroho Mungu wangu ameniacha. Kuna wakati nawaangalia watu fulani na kutamani kuwa wao na kujiona mimi ni mkosi...Maisha yangu ni ya kulia tuu barabarani, nyumbani, kanisani.

Ewe binadamu unaefahamu msaada wa tatizo langu naomba unisaidie kutoka kufungoni Kwa namna yoyote. Na mungu atakubariki sana.

Asante sana
Kula nyama ya Nguruwe kila siku Mkabidhi Yesu maisha yako umeshapona
 
Naliona tatzo la ugonjwa wa akil hapa

Nenda muhimbil kuna kitengo maalu. Watakusaidia
Yawezekana ila Kama ni msomaji was vitabu vya MUNGU bibilia Ina maelezo mengi ya viumbe hivyo. Mf. Yesu aliwaagiza majini waende wakawaingie nguruwe ili mwamwache jamaa mmoja Alie jiita jina la majeshi, Suleiman alijenga hekalu wafaya kazi au mafundi was jengo Hilo wengine walikuwa majini walio pishana zamu na binadamu katika ujenzi wa hekalu, sikila Jambo ni kulipinga na kejeli.
 
Asante, ni kwel nilishawah ota kuhusu ndoa ila nishaanza maombi naamini nitapona kwa jina la yes, ilikuchukua mda gan mpka kupona kwako mtumishi kabisa
Siku tatu tu za maombi zilitosha ila yanatabia ya kurudi rudi kupima kama umesimama..ukilegea yanarudi kama yote. Ukishafunguliwa simama katika maombi na utakatifu..period. neno ndio hilizi yako!
 
KUNA HAWA WALOKOLE hawa wanajifanya wajuaji sana humu yamejazana yanajifanya yanamjua sana Mungu et yanamshaur mtoa mada amshike yesu sjui atende matendo mema, aisee guys kama hujawai pitia shida hizi usiwe mwepes kukomenti upuuz wa imani yako.

majini ni viumbe wa rohoni walio ktk kundi la pepo yaan uzao wao ni asili ya watu wakale kwa muingiliano wa fallen angels, yaan malaika waliohasi pamoja na shetan baazi yao walizaa na watu wa mwanzo ndpo mchnganyiko huo ukaleta uzao mpya wa demon/mapepo(majini,mizimu,vibwengo) .

na mapepo hawa walikuwa na miili, lkn walikuja kupotezwa ktk uso wa dunia baada ya Muumba kuwaangamiza ktk gharika, miili yao ilikufa, lkn roho zao zipo na ndizo hizi pepo zinaranda randa dunian kwa kuwaingilia watu, na kwakuwa walikuwa kama watu hivyo basi wana hisia zote kama za mtu, isipokuwa hawana miili, lkn kwa nguv zao wanauwezo wa kujibadil kuja ktk mwl wa ubinadam ambao asili yao ni watu weupe, yaani jamii za kizungu na mataifa yote ya watu weupe, ndiomaana ktk visa vyote vya watu waliokutana na majini husema kuwa wanaonekana kama waarabu/wahindi/wazungu, na huo ndyo muonekano wao wa asili na asili yao ndyo hiyo,

ujue kuwa roho ina mwili wa rohoni ambyo ni reflection ya mwil wake kabla ya gharika, lkn wanapokuja dunian huweza vaa umbo lolote, maana roho haina mipaka ya utendaji kazi ktk appearance,

wew kama mtu unaesumbuliwa unatakiwa ujuwe kuwa unazo nguvu zakuwaamlisha hao viumbe wafuate matakwa yako bila pingamizi, au ukitaka kukubaliana nao ni wew, lkn kimamlaka unazo nguvu kuwashinda.

kiroho kiumbe anaeumbwa leo anakuwa na nguvu kulko yule atakayeumbwa kesho, na ndvyo ilivyo watu waliumbwa kabla ya mapepo kutokea,

ujue kuwa mapepo hayajaumbwa, bali yaliibuka baada ya malaika wahasi kuzaa na watu ndipo ukatokea uzao wa wanadamu, na wanadamu ni jamii zote nje ya mtu mweusi, yaan white races zote, na ktk hiz racea, ndpo yalikotokea makundi ya hawa viumbe wenye nguvu kama za wazaz wao yaan malaika, lkn haibadili ukwel kuwa mapepo kimamlka yako chini ya kiumbe aliyewatanguliwa kuja duniani.

ukwel huu ukiujua hakuna pepo wala shetan la aina yoyote litakalokuja kukutesa, na huwa nawaeleza humu watu lkn mnazarau, na madhara yake ndyo hayo.

na mambo kama haya waganga&manabii hawawaambii na hawatokuja kuwaambia maana nao ni sehem ya biashara chafu ya kuwatesa watu, ujue kutofautisha kati ya mtu na mwanadamu,

pepo hana nguvu kukushinda ujuwe hili kwanzia leo, ukitaka akushinde sasa niwew kuamua kujitesa kuangaika kuwafuata hao matapel waganga, mashehe na wachungaji hawa wote hawana uwezo wakutoa pepo zaid ya kultuliza kwa muda,

jiulize tangu manabii na mashehe wameanza kufanya maombi yao mbona matatizo hayaishi? jibu ni kuwa wao pia wanafanya kazi pamoja na hao viumbe kwakujua ama kutokujua.

note:-
[emoji117]rudi ktk asili yako, tumia vyakula vya asili
[emoji117]zingatia ndoto zako zoote uotazo muda wowote
[emoji117]vita uanzia rohono, na vita yako ianze ktk ndoto maana hakuna njia utakayoweza kuongia rohoni kama huna nguvu izo isipokuwa njia rahisi ya ndoto, namaanisha anza kmshinda huyo kiumbe ukiwa ndoton, jarbu kujitambua ukiwa ndotoni na umkemee mkiwa ktk matendo hayo ya ngono, ujue kuwa ukiwa ndotoni unauwezo wa kushinda by 99% moja inayobak uzinguwe wew kwa kutojitambua, kiumbe chochote kinapokujia ndoton nikama kimeingia ktk nyumba yako ambayo una kila aina ya siraha za kumshinda ivyo jarbu kupamban nae, ndiomaana tuma washauri kuzi control ndoto zote uotazo.

the one who control dream, the someone who control the physical world (nenda kafuatilie masomo ya lucid dream)

ukijua kucontrol ndoto, utajuwa kuwashinda wachawi na mashetan wenye nguvu za aina yoyote ile,

[emoji117]usiogope vitisho wakufanyiavyo, pamban mpka mwsho wa ndoto na uhakikishe wew ndye mshindi

Elimu hii hutowai pata kwa nabii wala shehe, zaid utapata kwa watu waliojitambua tu. hivyo hii nakupa mbiny ya mwisho, ukishindwa basi ujuwe umekosea niliyokuelekeza...nakutakia ushindi mwema....
 
KUNA HAWA WALOKOLE hawa wanajifanya wajuaji sana humu yamejazana yanajifanya yanamjua sana Mungu et yanamshaur mtoa mada amshike yesu sjui atende matendo mema, aisee guys kama hujawai pitia shida hizi usiwe mwepes kukomenti upuuz wa imani yako.

majini ni viumbe wa rohoni walio ktk kundi la pepo yaan uzao wao ni asili ya watu wakale kwa muingiliano wa fallen angels, yaan malaika waliohasi pamoja na shetan baazi yao walizaa na watu wa mwanzo ndpo mchnganyiko huo ukaleta uzao mpya wa demon/mapepo(majini,mizimu,vibwengo) .

na mapepo hawa walikuwa na miili, lkn walikuja kupotezwa ktk uso wa dunia baada ya Muumba kuwaangamiza ktk gharika, miili yao ilikufa, lkn roho zao zipo na ndizo hizi pepo zinaranda randa dunian kwa kuwaingilia watu, na kwakuwa walikuwa kama watu hivyo basi wana hisia zote kama za mtu, isipokuwa hawana miili, lkn kwa nguv zao wanauwezo wa kujibadil kuja ktk mwl wa ubinadam ambao asili yao ni watu weupe, yaani jamii za kizungu na mataifa yote ya watu weupe, ndiomaana ktk visa vyote vya watu waliokutana na majini husema kuwa wanaonekana kama waarabu/wahindi/wazungu, na huo ndyo muonekano wao wa asili na asili yao ndyo hiyo,

ujue kuwa roho ina mwili wa rohoni ambyo ni reflection ya mwil wake kabla ya gharika, lkn wanapokuja dunian huweza vaa umbo lolote, maana roho haina mipaka ya utendaji kazi ktk appearance,

wew kama mtu unaesumbuliwa unatakiwa ujuwe kuwa unazo nguvu zakuwaamlisha hao viumbe wafuate matakwa yako bila pingamizi, au ukitaka kukubaliana nao ni wew, lkn kimamlaka unazo nguvu kuwashinda.

kiroho kiumbe anaeumbwa leo anakuwa na nguvu kulko yule atakayeumbwa kesho, na ndvyo ilivyo watu waliumbwa kabla ya mapepo kutokea,

ujue kuwa mapepo hayajaumbwa, bali yaliibuka baada ya malaika wahasi kuzaa na watu ndipo ukatokea uzao wa wanadamu, na wanadamu ni jamii zote nje ya mtu mweusi, yaan white races zote, na ktk hiz racea, ndpo yalikotokea makundi ya hawa viumbe wenye nguvu kama za wazaz wao yaan malaika, lkn haibadili ukwel kuwa mapepo kimamlka yako chini ya kiumbe aliyewatanguliwa kuja duniani.

ukwel huu ukiujua hakuna pepo wala shetan la aina yoyote litakalokuja kukutesa, na huwa nawaeleza humu watu lkn mnazarau, na madhara yake ndyo hayo.

na mambo kama haya waganga&manabii hawawaambii na hawatokuja kuwaambia maana nao ni sehem ya biashara chafu ya kuwatesa watu, ujue kutofautisha kati ya mtu na mwanadamu,

pepo hana nguvu kukushinda ujuwe hili kwanzia leo, ukitaka akushinde sasa niwew kuamua kujitesa kuangaika kuwafuata hao matapel waganga, mashehe na wachungaji hawa wote hawana uwezo wakutoa pepo zaid ya kultuliza kwa muda,

jiulize tangu manabii na mashehe wameanza kufanya maombi yao mbona matatizo hayaishi? jibu ni kuwa wao pia wanafanya kazi pamoja na hao viumbe kwakujua ama kutokujua.

note:-
[emoji117]rudi ktk asili yako, tumia vyakula vya asili
[emoji117]zingatia ndoto zako zoote uotazo muda wowote
[emoji117]vita uanzia rohono, na vita yako ianze ktk ndoto maana hakuna njia utakayoweza kuongia rohoni kama huna nguvu izo isipokuwa njia rahisi ya ndoto, namaanisha anza kmshinda huyo kiumbe ukiwa ndoton, jarbu kujitambua ukiwa ndotoni na umkemee mkiwa ktk matendo hayo ya ngono, ujue kuwa ukiwa ndotoni unauwezo wa kushinda by 99% moja inayobak uzinguwe wew kwa kutojitambua, kiumbe chochote kinapokujia ndoton nikama kimeingia ktk nyumba yako ambayo una kila aina ya siraha za kumshinda ivyo jarbu kupamban nae, ndiomaana tuma washauri kuzi control ndoto zote uotazo.

the one who control dream, the someone who control the physical world (nenda kafuatilie masomo ya lucid dream)

ukijua kucontrol ndoto, utajuwa kuwashinda wachawi na mashetan wenye nguvu za aina yoyote ile,

[emoji117]usiogope vitisho wakufanyiavyo, pamban mpka mwsho wa ndoto na uhakikishe wew ndye mshindi

Elimu hii hutowai pata kwa nabii wala shehe, zaid utapata kwa watu waliojitambua tu. hivyo hii nakupa mbiny ya mwisho, ukishindwa basi ujuwe umekosea niliyokuelekeza...nakutakia ushindi mwema....
Jentaaa
 
Kutokana na mada ilinibidi niwe almost wa kwanza ku'share kitu fulani, lakini ni ngumu tena, dooh !

Niseme tuu hauko peke yako, i will be back.
Tupo wengi aiseee...waliofanikiwa kupona WAKITUMIA njia gani
 
Hilo jini mahaba anataka nini kwako kwani?

Ova
 
KUNA HAWA WALOKOLE hawa wanajifanya wajuaji sana humu yamejazana yanajifanya yanamjua sana Mungu et yanamshaur mtoa mada amshike yesu sjui atende matendo mema, aisee guys kama hujawai pitia shida hizi usiwe mwepes kukomenti upuuz wa imani yako.

majini ni viumbe wa rohoni walio ktk kundi la pepo yaan uzao wao ni asili ya watu wakale kwa muingiliano wa fallen angels, yaan malaika waliohasi pamoja na shetan baazi yao walizaa na watu wa mwanzo ndpo mchnganyiko huo ukaleta uzao mpya wa demon/mapepo(majini,mizimu,vibwengo) .

na mapepo hawa walikuwa na miili, lkn walikuja kupotezwa ktk uso wa dunia baada ya Muumba kuwaangamiza ktk gharika, miili yao ilikufa, lkn roho zao zipo na ndizo hizi pepo zinaranda randa dunian kwa kuwaingilia watu, na kwakuwa walikuwa kama watu hivyo basi wana hisia zote kama za mtu, isipokuwa hawana miili, lkn kwa nguv zao wanauwezo wa kujibadil kuja ktk mwl wa ubinadam ambao asili yao ni watu weupe, yaani jamii za kizungu na mataifa yote ya watu weupe, ndiomaana ktk visa vyote vya watu waliokutana na majini husema kuwa wanaonekana kama waarabu/wahindi/wazungu, na huo ndyo muonekano wao wa asili na asili yao ndyo hiyo,

ujue kuwa roho ina mwili wa rohoni ambyo ni reflection ya mwil wake kabla ya gharika, lkn wanapokuja dunian huweza vaa umbo lolote, maana roho haina mipaka ya utendaji kazi ktk appearance,

wew kama mtu unaesumbuliwa unatakiwa ujuwe kuwa unazo nguvu zakuwaamlisha hao viumbe wafuate matakwa yako bila pingamizi, au ukitaka kukubaliana nao ni wew, lkn kimamlaka unazo nguvu kuwashinda.

kiroho kiumbe anaeumbwa leo anakuwa na nguvu kulko yule atakayeumbwa kesho, na ndvyo ilivyo watu waliumbwa kabla ya mapepo kutokea,

ujue kuwa mapepo hayajaumbwa, bali yaliibuka baada ya malaika wahasi kuzaa na watu ndipo ukatokea uzao wa wanadamu, na wanadamu ni jamii zote nje ya mtu mweusi, yaan white races zote, na ktk hiz racea, ndpo yalikotokea makundi ya hawa viumbe wenye nguvu kama za wazaz wao yaan malaika, lkn haibadili ukwel kuwa mapepo kimamlka yako chini ya kiumbe aliyewatanguliwa kuja duniani.

ukwel huu ukiujua hakuna pepo wala shetan la aina yoyote litakalokuja kukutesa, na huwa nawaeleza humu watu lkn mnazarau, na madhara yake ndyo hayo.

na mambo kama haya waganga&manabii hawawaambii na hawatokuja kuwaambia maana nao ni sehem ya biashara chafu ya kuwatesa watu, ujue kutofautisha kati ya mtu na mwanadamu,

pepo hana nguvu kukushinda ujuwe hili kwanzia leo, ukitaka akushinde sasa niwew kuamua kujitesa kuangaika kuwafuata hao matapel waganga, mashehe na wachungaji hawa wote hawana uwezo wakutoa pepo zaid ya kultuliza kwa muda,

jiulize tangu manabii na mashehe wameanza kufanya maombi yao mbona matatizo hayaishi? jibu ni kuwa wao pia wanafanya kazi pamoja na hao viumbe kwakujua ama kutokujua.

note:-
[emoji117]rudi ktk asili yako, tumia vyakula vya asili
[emoji117]zingatia ndoto zako zoote uotazo muda wowote
[emoji117]vita uanzia rohono, na vita yako ianze ktk ndoto maana hakuna njia utakayoweza kuongia rohoni kama huna nguvu izo isipokuwa njia rahisi ya ndoto, namaanisha anza kmshinda huyo kiumbe ukiwa ndoton, jarbu kujitambua ukiwa ndotoni na umkemee mkiwa ktk matendo hayo ya ngono, ujue kuwa ukiwa ndotoni unauwezo wa kushinda by 99% moja inayobak uzinguwe wew kwa kutojitambua, kiumbe chochote kinapokujia ndoton nikama kimeingia ktk nyumba yako ambayo una kila aina ya siraha za kumshinda ivyo jarbu kupamban nae, ndiomaana tuma washauri kuzi control ndoto zote uotazo.

the one who control dream, the someone who control the physical world (nenda kafuatilie masomo ya lucid dream)

ukijua kucontrol ndoto, utajuwa kuwashinda wachawi na mashetan wenye nguvu za aina yoyote ile,

[emoji117]usiogope vitisho wakufanyiavyo, pamban mpka mwsho wa ndoto na uhakikishe wew ndye mshindi

Elimu hii hutowai pata kwa nabii wala shehe, zaid utapata kwa watu waliojitambua tu. hivyo hii nakupa mbiny ya mwisho, ukishindwa basi ujuwe umekosea niliyokuelekeza...nakutakia ushindi mwema....
Lakini yapo mengine yanatengenezwa na binadamu mkuu na Leng nikulipiza kisac
Usiombe utupiwe jini la kisasi utajuta
 
Tambua kwamba mwili wako si nyumba ya mashetani na majini mwili wako ni hekalu la Mungu,usi deal na huyo jini wala shetani gani deal na mwili wako,safisha hekalu la Mungu,unajua unaweza lalamika kwanini Mende hawaishi ndani kwako na kila siku unaweka dawa? shida sio dawa

unazoweka zakuzuia mende,shida ni CHANZO kinachosababsha mende kuja ndani kwako Yawezekana jikoni ndani kwako kuna uchafu na masalia ya vyakula kila iitwapo LEO kamwe mende hawawezi isha nyumbani kwako,utatumia kila dawa ila Mende waturudi tu,KWANINI? kwasababu uchafu ndio misingi ya nyumba yako.

SASA BASI achana kudeal na majini au mashetani Tuanze na jambo 1 tu ambalo kufanya usafi wa hekalu la bwana (huo mwili wako) Acha kila kitu unachotumia kisichompendeza Mungu.

Jisafishe,Jitakase kuwa serious katika hili,Kwenye maombi yako usitamke "Mungu namkataa huyu jini" nk nk wewe wakati unaomba mwambie "Mungu safisha mwili wangu,hili ni hekalu lako" mahali pako pa kupumzikia, nisafishe BABA nitakase..

Omba toba,omba utakaso,omba roho mtakatifu aingie ndani yako (yani fanya kama humjui jini) wewe deal na mwili wako komaa eneo hilo,Ukishampokea roho mtakatifu akakushukia maana yake Utakua safi.

sasa baada ya kumpokea roho mtakatifu,Dunda na Mia zako tuone huyo jini mahaba ataingia nyumba ipi wakati mwenye nyumba yupo ndani anatawala,Ajaribu bahati yake aone kitachomkuta.

Brother unapambana vita ya kiroho sio ya kimwili,lazima ukubali kuacha kila takataka ya dunia ili alie juu (roho mtakatifu) aweze kukushukia akusaidie, vita sio vyetu vita ni vya alie juu.

Ndio mana nimekwambia hata kwenye maombi usimpe kiki kwa kumtaja "jini mahaba sijui" usimpe showtime kabisa komaa na maombi ya utakaso,jiweke safi Nakuhakikishia ukishakua safi Hayo mengine unayoyataka yatakua Automaticaly tu.

Hamnaga Mende nyumba safi,hamnaga Panya nyumba safi ukiona hao viumbe jua kuna shida mahali shda si wao shda ni "wewe" na hata ktk hili mimi nina ujasiri kukwambia shda sio "jini mahaba" shida ni wewe. Badilika chukua hatua.
Respect let me do this
 
Pepo hawezi kumwingia mtu pasipo sababu, huyo Pepo mahaba alikuingia kwa sababu na hawezi kuondoka moja kwa moja hata kama unazunguka kwenye maombi bila kuondoa sababu iliyofanya akuingie.
 
Back
Top Bottom