KUNA HAWA WALOKOLE hawa wanajifanya wajuaji sana humu yamejazana yanajifanya yanamjua sana Mungu et yanamshaur mtoa mada amshike yesu sjui atende matendo mema, aisee guys kama hujawai pitia shida hizi usiwe mwepes kukomenti upuuz wa imani yako.
majini ni viumbe wa rohoni walio ktk kundi la pepo yaan uzao wao ni asili ya watu wakale kwa muingiliano wa fallen angels, yaan malaika waliohasi pamoja na shetan baazi yao walizaa na watu wa mwanzo ndpo mchnganyiko huo ukaleta uzao mpya wa demon/mapepo(majini,mizimu,vibwengo) .
na mapepo hawa walikuwa na miili, lkn walikuja kupotezwa ktk uso wa dunia baada ya Muumba kuwaangamiza ktk gharika, miili yao ilikufa, lkn roho zao zipo na ndizo hizi pepo zinaranda randa dunian kwa kuwaingilia watu, na kwakuwa walikuwa kama watu hivyo basi wana hisia zote kama za mtu, isipokuwa hawana miili, lkn kwa nguv zao wanauwezo wa kujibadil kuja ktk mwl wa ubinadam ambao asili yao ni watu weupe, yaani jamii za kizungu na mataifa yote ya watu weupe, ndiomaana ktk visa vyote vya watu waliokutana na majini husema kuwa wanaonekana kama waarabu/wahindi/wazungu, na huo ndyo muonekano wao wa asili na asili yao ndyo hiyo,
ujue kuwa roho ina mwili wa rohoni ambyo ni reflection ya mwil wake kabla ya gharika, lkn wanapokuja dunian huweza vaa umbo lolote, maana roho haina mipaka ya utendaji kazi ktk appearance,
wew kama mtu unaesumbuliwa unatakiwa ujuwe kuwa unazo nguvu zakuwaamlisha hao viumbe wafuate matakwa yako bila pingamizi, au ukitaka kukubaliana nao ni wew, lkn kimamlaka unazo nguvu kuwashinda.
kiroho kiumbe anaeumbwa leo anakuwa na nguvu kulko yule atakayeumbwa kesho, na ndvyo ilivyo watu waliumbwa kabla ya mapepo kutokea,
ujue kuwa mapepo hayajaumbwa, bali yaliibuka baada ya malaika wahasi kuzaa na watu ndipo ukatokea uzao wa wanadamu, na wanadamu ni jamii zote nje ya mtu mweusi, yaan white races zote, na ktk hiz racea, ndpo yalikotokea makundi ya hawa viumbe wenye nguvu kama za wazaz wao yaan malaika, lkn haibadili ukwel kuwa mapepo kimamlka yako chini ya kiumbe aliyewatanguliwa kuja duniani.
ukwel huu ukiujua hakuna pepo wala shetan la aina yoyote litakalokuja kukutesa, na huwa nawaeleza humu watu lkn mnazarau, na madhara yake ndyo hayo.
na mambo kama haya waganga&manabii hawawaambii na hawatokuja kuwaambia maana nao ni sehem ya biashara chafu ya kuwatesa watu, ujue kutofautisha kati ya mtu na mwanadamu,
pepo hana nguvu kukushinda ujuwe hili kwanzia leo, ukitaka akushinde sasa niwew kuamua kujitesa kuangaika kuwafuata hao matapel waganga, mashehe na wachungaji hawa wote hawana uwezo wakutoa pepo zaid ya kultuliza kwa muda,
jiulize tangu manabii na mashehe wameanza kufanya maombi yao mbona matatizo hayaishi? jibu ni kuwa wao pia wanafanya kazi pamoja na hao viumbe kwakujua ama kutokujua.
note:-
[emoji117]rudi ktk asili yako, tumia vyakula vya asili
[emoji117]zingatia ndoto zako zoote uotazo muda wowote
[emoji117]vita uanzia rohono, na vita yako ianze ktk ndoto maana hakuna njia utakayoweza kuongia rohoni kama huna nguvu izo isipokuwa njia rahisi ya ndoto, namaanisha anza kmshinda huyo kiumbe ukiwa ndoton, jarbu kujitambua ukiwa ndotoni na umkemee mkiwa ktk matendo hayo ya ngono, ujue kuwa ukiwa ndotoni unauwezo wa kushinda by 99% moja inayobak uzinguwe wew kwa kutojitambua, kiumbe chochote kinapokujia ndoton nikama kimeingia ktk nyumba yako ambayo una kila aina ya siraha za kumshinda ivyo jarbu kupamban nae, ndiomaana tuma washauri kuzi control ndoto zote uotazo.
the one who control dream, the someone who control the physical world (nenda kafuatilie masomo ya lucid dream)
ukijua kucontrol ndoto, utajuwa kuwashinda wachawi na mashetan wenye nguvu za aina yoyote ile,
[emoji117]usiogope vitisho wakufanyiavyo, pamban mpka mwsho wa ndoto na uhakikishe wew ndye mshindi
Elimu hii hutowai pata kwa nabii wala shehe, zaid utapata kwa watu waliojitambua tu. hivyo hii nakupa mbiny ya mwisho, ukishindwa basi ujuwe umekosea niliyokuelekeza...nakutakia ushindi mwema....