mdundo ngoma sana
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,002
- 955
hiii thread imenifanya nicheke hadi machozi yananitoka na jinsi mnavyochangia mnanifurahisha.kweli watanzania wote ni comedian
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha ya nini sasa hapa?Weka picha
Mbona tuko wengiWadau hii hali inanikuta nikitaka kutema yai sijui kwa nini tena nikiwa kwenye kadamnasi napata ubaridi zaidi. Msaada jamani naaibika mwenzenu.
[emoji23] [emoji23] [emoji109]Dawa yake ni konyagi tu, yaani wewe ukiona unataka kugonga yai kwenye kadamnasi tafuta mzinga moja, tatizo litaisha, tatizo likiendelea waone BRITISH COUNCIL.
Nifafanulie wameunganisha na ipiHah..hah..hah...sham_ok naona moderator wameunganisha ID zako...teh..teh..teh... JamiiForums raha sana.
Si tuone unavyo vaibret?Picha ya nini sasa hapa?
Ni tatizo la watu wengi mkuu, Mimi huwa napata kiu, njaa na usingizi kwa wakati mmoja pale ninapothubutu kuzungumza kwa hiyo lugha tunayoijadili (sitaki hata kuitaja)
Ni tatizo la watu wengi mkuu, Mimi huwa napata kiu, njaa na usingizi kwa wakati mmoja pale ninapothubutu kuzungumza kwa hiyo lugha tunayoijadili (sitaki hata kuitaja)
Nifafanulie wameunganisha na ipi
Vele gudi adivaisi. I lavu tanzania is mai kauntriTatizo lako unataka kuongea kingereza cha darasani ... Yani utumie sarufi we gonga yai kama unavyoongea kiswahili
Umesababisha nicheke sana!! Duuuh!duuu tatizo langu ni lako sasa mimi hadi jasho linanitoka sasa sijui kiingereza kina jiko la gesi au vipi
Na mm huo ndo ulikua ushauri wanguJiunge na Mfalme kwa Ras Simba.