Natetemeka/Kigugumizi nikiongea Kiingereza

Mi nashangaa napata wepesi sana kuandika ngeli kuliko kuiongea, huwa nakosa mtiririko sijui nini kimenitokea siku hizi ila kipindi nilipokuwa shule ya msingi nilikuwa nyoko!
 
xxa mkwele n kingereza wap n wap.... ila ndo kjua hko... jribu n kichna
 
Wewe una lako, wala sio kwamba una shida.
 
hahaha ...mkuu ulitisha sana...
 
Dawa yake ni konyagi tu, yaani wewe ukiona unataka kugonga yai kwenye kadamnasi tafuta mzinga moja, tatizo litaisha, tatizo likiendelea waone BRITISH COUNCIL.
British Council gharama zao kiasi gani?
 
Nenda kwa RAS Simba usipopona anza kutumia Konyagi
 
Si bora ww mkuu unatetemeka wengine hadi kubwa inagonga, ILA shida ya nini kuwa mzalendo kama UNCLE thamini cha nyumban achana na utumwa
 
Dawa yake ni konyagi tu, yaani wewe ukiona unataka kugonga yai kwenye kadamnasi tafuta mzinga moja, tatizo litaisha, tatizo likiendelea waone BRITISH COUNCIL.
Mkuu wewe humpendi huyu akifuata ushauri wako halafu akashindwa kukiongea ataishia kulia kwa sauti
 
How to learn any language in six months | Chris Lonsdale | TEDxLingnanUniversity
Source: TEDs Talks
 

nmecheka sana mamaee ilishawah nitokea kama ivyoo nikaongea kingeleza haraka haraka nikachanganya na maneno ya kiswahili had mzungu katapika
 

Practice English conversation


Published on 12 Dec 2015
Oxford English Daily Conversation Episode 1

Source: English is fun
 
Practice English conversation
Oxford English Daily Conversation Episode 2

Source: English is Fun
 
Practice English conversation
Oxford English Daily Conversation Episode 3

Source: English is Fun
 
Ah ah ah ah uhiii nipo mtaani nimecheka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…