Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhusu pesa, huyo manzi fukaraWanaume tunapitia magumu sana.
Unakuta mtoa mada, keshawahi kua Bamedi ,kawa mfanya masaji , kachoooka wee, papuchi imejiishiaa, sasa kaamua kutulia tuli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mtu anaokota, anapiga vigelegele nimepataaaaaa
Sawa Dada ata mbwa ana msambwandaMajuzi kati mie kichwaBOGA Mtoto mrembo toka familia ya kitajiri nilitangaza nia ya kuolewa..nshapokea maombi ka miatano ya wanaume,nimewavet nkagundua wote amna kitu wanataman msambwanda wangu na ela zangu tu,wote nimewapiga block kwanza sitaki mume tena adi ntakapotoa utaratibu mwingne...nimetongozwa adi na mbunge mstaafu akaaid kunipa nusu ya kiinua mgongo nimekataa mie najiamin
[emoji477][emoji477][emoji477][emoji477][emoji477][emoji477][emoji477][emoji477][emoji477][emoji16][emoji16][emoji477]Majuzi kati mie kichwaBOGA Mtoto mrembo toka familia ya kitajiri nilitangaza nia ya kuolewa..nshapokea maombi ka miatano ya wanaume,nimewavet nkagundua wote amna kitu wanataman msambwanda wangu na ela zangu tu,wote nimewapiga block kwanza sitaki mume tena adi ntakapotoa utaratibu mwingne...nimetongozwa adi na mbunge mstaafu akaaid kunipa nusu ya kiinua mgongo nimekataa mie najiamin
Wanawake wangapi,?? Komaa na hoyo huyo kichwa boga anaedai ana pesa harafu hapo hapo anadai katongozwa na mbunge msitaafu ameahidiwa kupewa nusu ya mafao, sasa sijui pamoja na kwamba ana pesa kazidiwa na mbungeWanawake siku hizi mmepatwa na nini [emoji23]
Mkuu samahani uzi wa Gilesi sikuupata kabisa. Ile mada ya nyuzi zilizowahi kubamba nilibahatisha wa CCNP Engineer. Unaweza nipa heading au link.Alikuwepo gILeSi mwenye msambwanda unaotingishika, kwa sasa amekuwa historia..
Zamu ipo njiani...
Sio mzima ww. Kichwa boga kitakuwaje na akili sasa??!!hahahahahhaMajuzi kati mie kichwaBOGA Mtoto mrembo toka familia ya kitajiri nilitangaza nia ya kuolewa..nshapokea maombi ka miatano ya wanaume,nimewavet nkagundua wote amna kitu wanataman msambwanda wangu na ela zangu tu.
Wote nimewapiga block kwanza sitaki mume tena adi ntakapotoa utaratibu mwingne...nimetongozwa adi na mbunge mstaafu akaaid kunipa nusu ya kiinua mgongo nimekataa mie najiamini.
Hahahahaaa, Gilesi alibadilika ghafla kwa nguvu ya mods. Ngoja nimtunzie heshima yake kwa kutoiweka hiyo link..Mkuu samahani uzi wa Gilesi sikuupata kabisa. Ile mada ya nyuzi zilizowahi kubamba nilibahatisha wa CCNP Engineer. Unaweza nipa heading au link.
Njoo pm tuyajenge mremboMajuzi kati mie kichwaBOGA Mtoto mrembo toka familia ya kitajiri nilitangaza nia ya kuolewa..nshapokea maombi ka miatano ya wanaume,nimewavet nkagundua wote amna kitu wanataman msambwanda wangu na ela zangu tu.
Wote nimewapiga block kwanza sitaki mume tena adi ntakapotoa utaratibu mwingne...nimetongozwa adi na mbunge mstaafu akaaid kunipa nusu ya kiinua mgongo nimekataa mie najiamini.