Tuttie
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 1,263
- 1,304
😅😅itakuwa Sonoma hiyooWanawake siku hizi mmepatwa na nini [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅itakuwa Sonoma hiyooWanawake siku hizi mmepatwa na nini [emoji23]
Wanawake wangapi,?? Komaa na hoyo huyo kichwa boga anaedai ana pesa harafu hapo hapo anadai katongozwa na mbunge msitaafu ameahidiwa kupewa nusu ya mafao, sasa sijui pamoja na kwamba ana pesa kazidiwa na mbunge
Itakuwa[emoji28][emoji28]itakuwa Sonoma hiyoo
Sure,Time will tell
Unasumbuliwa na stress.. Waone watalaamMuda wowote naolewa nikipata mchumba mwenye ela..sipend vibamia wenye navyo mkae kando
----------------
UPDATE
____________
Majuzi kati mie kichwaBOGA Mtoto mrembo toka familia ya kitajiri nilitangaza nia ya kuolewa nishapokea maombi ka miatano ya wanaume, nimewavet nkagundua wote amna kitu wanataman msambwanda wangu na ela zangu tu.
Wote nimewapiga block kwanza sitaki mume tena hadi nitakapotoa utaratibu mwingine nimetongozwa adi na mbunge mstaafu akaaid kunipa nusu ya kiinua mgongo nimekataa mie najiamini.
kuna watu humu wanatendea haki majina yao[emoji38][emoji38][emoji38]