Natia nia ya kuolewa

[emoji3][emoji848] daah kwamba analeta za staki nataka
Wanawake wangapi,?? Komaa na hoyo huyo kichwa boga anaedai ana pesa harafu hapo hapo anadai katongozwa na mbunge msitaafu ameahidiwa kupewa nusu ya mafao, sasa sijui pamoja na kwamba ana pesa kazidiwa na mbunge
 
We ulitakiwa ujiite kichwa panzi sio kichwa boga.
 
KichwaBOGA wewe wa kunichinjia baharini kweli.embu rudisha moyowako nyumba nimejipanga kukuhudumia kichwaBOGA.
 
Habari ya kusikitisha ni kwamba unaweza kukuta hili ni dume linatusumbua hapa.
Anyway mwanamke wa kuagiza online ni mwanamke feki kama vitu feki vingine unavyovijua
 
[emoji855][emoji855] napata kikombe cha kahawa hapa... hivi kwel mwanaume siriaz anaejitambua anaweza fuata Bomu kama wewe akaweke ndani?
 
Dume limeamua kuja kucheza na akili za magreat thinker.
 
Ninyi endeleeni kurumbana hapa, mimi ngoja nielekee kwa pm, nikifaulu updates mtazipata kwenye uzi bora wa kimasihara.
Mtu mwenyewe kashasema hataki kuolewa tena kwa sasa, mabaharia mnafikiri sasa anachokihitaji ni nini?
 
Unasumbuliwa na stress.. Waone watalaam
 
Maisha yanaenda kasi sanaaah, stress n mbaya mnooooh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…