National Intelligence and State Intelligence

Lissu nani alitaka muuwa?
Wafanya biashara aliodhulumiana nao ktk biashara yake ya kutafuta nyaraka za siri serikalini ili zitumike na wazungu kuhujumu nchi yetu. Watu waliofanikisha zoezi hilo walidhulumiwa ndipo wakaamua wamfanyie walichomfanyia. Na ingekuwa serikali ndio ilipanga kufanya vile asingekuwa hai yule. Wewe fikiria risasi zote zile halafu mtu hafi. Watu waliotekeleza zoezi si wataalamu wa mambo. Akirudi aambiwe aache dhuluma
 
Kwanini asitumie mifano ya nje? Unatumia karibia kila kitu toka nje halafu unasema nini hapa
 
Wakati wa opereshen vijiji vya ujamaa nilihadithiwa kuna watu walioaminiwa walitarget mali za wengine katika mgongo huo huo.Haoyumkin kidon ni waaminifu kwa taifa.
 
Tambua fika, wauaji wa serikali wangepewa kazi ya kumuua Lisu, asingelikuwa hai sasa hivi.
Kuna kumiss target.. Hakuna binadamu 100% accurate...alafu waende Congo tunataka kujuwa nani yuko nyuma ya shambulio la wanajeshi wetu..sio kuwaumiza wasema chochote
 
Lissu kinampoonza kujua kwingi, hajui kuchamba sana huondoka na mavi???? Serikali haikatazi kupokea maoni, ila maoni yafuate taratibu za nchi, wewe unapojidai au unapo nunua watu maeneo nyeti wakupe siri za nchi halafu wewe unaanza kuropoka kujidai ni fundi wa kusema unategemea nini? Lissu jitathmini kwanza, papara uleke mweyangu
 
Shukrani kwa kuwaondoa watu kwenye dhana potofu za yerricko.
 
Mkuu nakushukuru sana. Namimi nimesoma andiko la huyu bwana nikastaajabu sana kwa UONGO uliotukuka aliouleta hapa. Anastahili kuomba radhi. Nadhani alikua na lengo fulani la kufikisha mawazo yake binafsi kuhusu tukio la LISSU ili watu waamini kuna kitengo fulani ambacho siyo rasmi lakini kinatambulika na mamlaka za juu ndo kimehusika. Umeeleza vizuri sana no need kuongeza chochote.
 
Yeriko umetufungua sana macho kujua nini kinaendele 'duniani' na imejibu maswali mengi sana sana. Stay blessed mkuu.
Usikubali kudanganywa wewe.. jishughulishe upate uelewa wa mambo. Unalishwa sumu halafu unashukuru
 

Mungu akikataa jambo kwa wakati huo hata uwe jasusi toka mbinguni halifanikiwi. Osama kesha koswa na majasusi wabobezi Zaidi ya Mara 8! Mpaka walipomuotea
 
Shukrani kwa kuwaondoa watu kwenye dhana potofu za yerricko.
Ukweni lazima uwekwe wazi ili kuziba dhana na hisia zinazoweza kuleta taharuki na kuanza kuiangalia serikali ya JPM kama ina Kikosi kinachofanana na hicho katika kufanya mabaya.
Na hiyo si kweli.
 
Sioni tofauti kubwa ya alichoandika Yericko na ulichoandika wewe, hakuna uongo bali ulichofanya ni kuliboresha andiko la Yericko au tuseme umejazia nyama kwa sababu alimopita Yericko nawewe ndimo ulimopitia.
 
Yeriko anataka awauzie kitabu chake,yuko kwenye marketing tu hapa
 
Uongo gani ambao Yericko kausema au kusema kuna tofauti kati ya National na State Intelligence, na mbona unayemsifia kazunguka mlemle alimopita Yericko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…