Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Wachana na kufananisha Jeshi la Tanzania na wale mashoga, hao kuna dalili chungu nzima zipo pale Gaza, Jeshi la US na UK na Ufaransa wanawasaidia jeshi la Israel.Tulipotumia silaha za Kirusi kupigana na Iddi Amin haimaanishi USSR ndio ilipigana na Iddi Amini.
Ww kama unadhani Marekani na washirika wake wanatafuta fedha za silaha kwenye vita ya Ukraine basi tambua baba yako ali haribu pesa yake kwa kukupeleka shule.Kumbe Ukraine hawatalipia hizo silaha kama Pro-putin wengi ambavyo wamekuwa wakisema/kudanganya?!
Kumbe hiyo misaada ni mzigo na hasara tupu kwa Marekani!
Wewe hutakiwi kuchangia chochote humu ndani kichwani ni mweupee kama thelujiUsiwe poyoyo, vita sio silaha tu, ndio maana USSR ilipigwa na Chechnya katika First Chechen War, ndio maana Gaddafi aliweza kung'olewa na migambo tu pamoja na kuwa na shehena za mabilioni za silaha za Kirusi.
Pro-putin ndio husema silaha za Marekani kwa Ukraine sio msaada bali biashara itakayolipwa na rasilimali za Ukraine mbeleni!Ww kama unadhani Marekani na washirika wake wanatafuta fedha za silaha kwenye vita ya Ukraine basi tambua baba yako ali haribu pesa yake kwa kukupeleka shule.
Nchi za Magharibi hazipo Ukraine kutafuta faida za kuuza silaha kwa sababu Ukraine haina uwezo wa kulipa hizo pesa hata apewe miaka 100.
Nchi za Magharibi zipo ndani ya Ukraine kutafuta faida za kimkakati hasa kuhakikisha wanaidhalilisha Urusi na kuidhoofisha kijeshi na kiuchumi.
Uliyosema mengi ni kweli ila nuclear weapons hakuna Ukraine. Ziliondolewa kwa mapatano kati ya Russia na hizo nchi za magharibi. Hiyo ilikuwa wakati wakijitenga na USSR.Kama Russia walipewa technologies za silaha, na Elimu ile imewasaidia kuimalika maradufu basi Russia apewe maua yake Kwa kutumia vizuri alichopewa.
Mpaka sasa Ukraine kapewa mabilioni ya pesa, silaha za kila technology kutoka nchi 30 (akiwemo aliyempa Russia tech ya silaha). Vyote hivyo havijafua dafu mbele ya jeshi la mtu mmoja (Putin).
Kwa nini Marekani asimpe Ukraine latest tech ya kuweza kumuangamiza kabisa adui Russia?
Russia alipewa tech enzi hizo za Soviet union, kama lengo ni kuionyesha Russia si lolote mbele ya vita, wanashindwaje kumpa technology ya silaha za nuclear Kwa Sasa Ukraine? (Japokuwa nuclear zipo Ukraine).
Kama huwezi huwezi, unaweza kusaidiwa na bado ukatoka bila Bila. Mwingine akisaidiwa kidogo tu anakuja na maajabu makubwa zaidi ya kile alichosaidiwa.
By then, hata Marekani naye amesaidiwa sana kuimarishwa na watu kutoka mataifa ya nje.
Yap! Asante Kwa Marekebisho.Uliyosema mengi ni kweli ila nuclear weapons hakuna Ukraine. Ziliondolewa kwa mapatano kati ya Russia na hizo nchi za magharibi. Hiyo ilikuwa wakati wakijitenga na USSR.
Jeshi la Ukraine lilikwisha. tangia Nov,2022Wanajeshi wangapi wa NATO wamefariki??
Ukisoma vizuri habari hiyo Austin amesema kwamba endapo Ukraine itashindwa vita basi Russia itaendelea kuzivamia nchi za Baltic states ambazo zina uanachama wa nato. Rejea artical 5 ya nato.Mkuu wa Pentagon Lloyd Austin anaamini kwamba ikiwa Ukraine itapoteza vita kamili na Urusi, nchi hiyo ya pili italazimika kupigana na Muungano mzima wa Atlantiki ya Kaskazini maarufu kama (NATO).
Taarifa ya Austin katika kikao cha Kamati ya Huduma za Silaha ya Bunge la Marekani, kama ilivyoripotiwa na European Pravda.
Ingawa kesi hiyo ililenga zaidi kuhusu kulazwa hospitalini kwa Lloyd Austin mwanzoni mwa mwaka, ambapo hakuijulisha White House au Congress mapema, wabunge pia waliuliza maswali kadhaa juu ya kiasi gani cha msaada wa kijeshi wa Marekani Ukraine ilikuwa inahitaji.
If Ukraine loses, NATO will fight Russia â Pentagon chief
Pentagon chief Lloyd Austin believes that if Ukraine loses the full-scale war with Russia, the latter will be forced to fight the entire North Atlantic Alliance.www.pravda.com.ua
Baltic States zinaiogopa Russia lakini Ukraine haiiogopi na ndio maana Russia bado amani hana hata ndani ya Russia kwenyewe.Ukisoma vizuri habari hiyo Austin amesema kwamba endapo Ukraine itashindwa vita basi Russia itaendelea kuzivamia nchi za Baltic states ambazo zina uanachama wa nato. Rejea artical 5 ya nato.
Kwa ufupi Baltic states zinaiogopa Russia na hawana uhakika wa usalama wao japo ya kuwa ni wanachama wa nato.
Usidhani Urusi ni dhaifu kama unavyofikiriWatatumia silaha zipi maana silaha zao walizo kuwa wanatamba nazo na kuzipaka kila aina ya ubora zimeshindwa kuonesha maajabu kwenye uwanja wa vita huko Ukraine?
Nonsense.Urusi imeingia vitani Ukraine kwa lengo la kuzuia shughuli wahalifu wa Urusi ndani ya Ukraine na sio kuipiga vita na kuiangamiza
Sasa Ukraine ashindwe vita mara ngapi NATO wanaiogopa Russia kama ukomqMkuu wa Pentagon Lloyd Austin anaamini kwamba ikiwa Ukraine itapoteza vita kamili na Urusi, nchi hiyo ya pili italazimika kupigana na Muungano mzima wa Atlantiki ya Kaskazini maarufu kama (NATO).
Taarifa ya Austin katika kikao cha Kamati ya Huduma za Silaha ya Bunge la Marekani, kama ilivyoripotiwa na European Pravda.
Ingawa kesi hiyo ililenga zaidi kuhusu kulazwa hospitalini kwa Lloyd Austin mwanzoni mwa mwaka, ambapo hakuijulisha White House au Congress mapema, wabunge pia waliuliza maswali kadhaa juu ya kiasi gani cha msaada wa kijeshi wa Marekani Ukraine ilikuwa inahitaji.
If Ukraine loses, NATO will fight Russia â Pentagon chief
Pentagon chief Lloyd Austin believes that if Ukraine loses the full-scale war with Russia, the latter will be forced to fight the entire North Atlantic Alliance.www.pravda.com.ua
Dikteta Putin alisema atakayeisaidia Ukraine atakiona cha mtema kuni hadi leo Nato inamsaidia Ukraine na hatujaona chochote. Russia ni nyuki wa mashineni.🤣🤣🤣Sasa Ukraine ashindwe vita mara ngapi NATO wanaiogopa Russia kama ukomq
Anguko la Urusi limewadia hatimayeMkuu wa Pentagon Lloyd Austin anaamini kwamba ikiwa Ukraine itapoteza vita kamili na Urusi, nchi hiyo ya pili italazimika kupigana na Muungano mzima wa Atlantiki ya Kaskazini maarufu kama (NATO).
Taarifa ya Austin katika kikao cha Kamati ya Huduma za Silaha ya Bunge la Marekani, kama ilivyoripotiwa na European Pravda.
Ingawa kesi hiyo ililenga zaidi kuhusu kulazwa hospitalini kwa Lloyd Austin mwanzoni mwa mwaka, ambapo hakuijulisha White House au Congress mapema, wabunge pia waliuliza maswali kadhaa juu ya kiasi gani cha msaada wa kijeshi wa Marekani Ukraine ilikuwa inahitaji.
If Ukraine loses, NATO will fight Russia â Pentagon chief
Pentagon chief Lloyd Austin believes that if Ukraine loses the full-scale war with Russia, the latter will be forced to fight the entire North Atlantic Alliance.www.pravda.com.ua