Mkuu ungekuwa serious katika kuomba kwako msaada Kuna wadau wangekusaidia bila hata kuhitaji Senti.
Mfano Mimi Nina rafiki yangu ana connection na baadhi ya member wa WCB,ungeelezea Kama mtu aliyekomaa akili na ana shida kweli ilikuwa simple kwa mtu Kama yeye akukutanishe nae huyo unayemuhitaji,ila umeingiza utoto.
Jf ni jukwaa kubwa na kuna watu wakubwa pia humu,wakati mwingine hata mwandiko unaweza kutukutanisha au kutukimbiza mbali na bahati/connections.
You are soy man.
Sent from my CPH1923 using
JamiiForums mobile app