Natoa Donation ya Electronics Programming Kit, PIC controllers, lot of sensors, Display Units, yani complete kit ya kufanya uwe na lab chumbani kwak

Natoa Donation ya Electronics Programming Kit, PIC controllers, lot of sensors, Display Units, yani complete kit ya kufanya uwe na lab chumbani kwak

Miaka 12 iliyopita nikiwa nakaribia maliza chuo nlinunua vifaa kadhaa vya kuniwezesha kufanya final graduate project, pia kuanzisha electronics lab nyumbani.

Mipango ilikuwa mingi na ndoto zilikuwa kubwa, nlitegemea ningeishi kwa lab baada ya kumaliza chuo, yani lab ingekuwa biashara kwangu, bahati mbaya yajayo yalifurahisha na hivi vitu kwa sasa vinajaza nafasi nyumbani sababu akili ishazeeka.

Kipindi hicho plan ilikuwa ku innovate multi energy meter ambayo ingewezesha mita moja ya LUKU ya Tanesco iwe ina uwezo wa kuhudumia connection/mteja zaidi ya mmoja, wazo ambalo nililipata 2008 nikiwa mwaka wa 2 chuo. Sikuweza kuendelea nalo baada ya kupata kazi iliyochukua muda wangu wote, the rest is history Kifupi, ndani ya hii kit kuna vitu vyote muhimu kwa mwanafunzi kujifunza na ku-plactice programming ya electronics.

Naenda vitoa hivi vitu kama donation kwa kijana/vijana watakaonihakikishia watavitumia na sio kuvitunza au kuviuza.

Hii ni offer kwa vijana mlio chuo tu na sio graduates.
View attachment 2193125






View attachment 2193123
Mkuu una moyo mzuri sana ila miaka 12 vifaa vitatoa matokeo yasio sahihi yani error zitakuwa kubwa . Life span ya hivyo vitu ipoje ? Wazungu wanatabia ya kutoa msaada ma vitu yaliopitwa na wkati huko kwao na kujifanya watu sana wema kwetu sasa naona hio tabia tumeanza kuiiga.
 
Mkuu una moyo mzuri sana ila miaka 12 vifaa vitatoa matokeo yasio sahihi yani error zitakuwa kubwa . Life span ya hivyo vitu ipoje ? Wazungu wanatabia ya kutoa msaada ma vitu yaliopitwa na wkati huko kwao na kujifanya watu sana wema kwetu sasa naona hio tabia tumeanza kuiiga.
Hii ni learning kit, vitu almost vyote nimevitumia mara ya mwisho 2019, baada ya hapo sijavigusa.

Kuna uwezekano kwa sasa zipo microchip bora zaidi ila hata hizo 18f series zina uwezo mkubwa sana.

Ushawahi ona calculator nzee ikadanganya?
Basi ndio hivi vifaa, vitafanya kazi jinsi ulivyoviprogram na sio tofauti. Maana vyote vinafanya kazi kwa programming ndio maana kuna microchip programmer adapter.
 
Hii ni learning kit, vitu almost vyote nimevitumia mara ya mwisho 2019, baada ya hapo sijavigusa.

Kuna uwezekano kwa sasa zipo microchip bora zaidi ila hata hizo 18f series zina uwezo mkubwa sana.

Ushawahi ona calculator nzee ikadanganya?
Basi ndio hivi vifaa, vitafanya kazi jinsi ulivyoviprogram na sio tofauti. Maana vyote vinafanya kazi kwa programming ndio maana kuna microchip programmer adapter.
Calculator zinazinguaga sana zikikaa muda mrefu. Kwa kujifinzia sio mbaya ila mi ningependa sana watoto wetu wapate vifaa vya kisasa.
 
Miaka 12 iliyopita nikiwa nakaribia maliza chuo nlinunua vifaa kadhaa vya kuniwezesha kufanya final graduate project, pia kuanzisha electronics lab nyumbani.

Mipango ilikuwa mingi na ndoto zilikuwa kubwa, nlitegemea ningeishi kwa lab baada ya kumaliza chuo, yani lab ingekuwa biashara kwangu, bahati mbaya yajayo yalifurahisha na hivi vitu kwa sasa vinajaza nafasi nyumbani sababu akili ishazeeka.

Kipindi hicho plan ilikuwa ku innovate multi energy meter ambayo ingewezesha mita moja ya LUKU ya Tanesco iwe ina uwezo wa kuhudumia connection/mteja zaidi ya mmoja, wazo ambalo nililipata 2008 nikiwa mwaka wa 2 chuo. Sikuweza kuendelea nalo baada ya kupata kazi iliyochukua muda wangu wote, the rest is history Kifupi, ndani ya hii kit kuna vitu vyote muhimu kwa mwanafunzi kujifunza na ku-plactice programming ya electronics.

Naenda vitoa hivi vitu kama donation kwa kijana/vijana watakaonihakikishia watavitumia na sio kuvitunza au kuviuza.

Hii ni offer kwa vijana mlio chuo tu na sio graduates.
View attachment 2193125

View attachment 2193123
Mkuu unaweza nisaidia namna ya kupata multipurpose eeprom programmer?

Nmetumia baadhi kama EZP2010 ila chenga tupu

Au hata kama kuna brand cheap kdg unaweza nipa jina niitafute
 
Mkuu unaweza nisaidia namna ya kupata multipurpose eeprom programmer?

Nmetumia baadhi kama EZP2010 ila chenga tupu

Au hata kama kuna brand cheap kdg unaweza nipa jina niitafute
Ningeweza kukuagizia ila sasa sijishughulishi na biashara ya kuagiza vitu. Ingia ebay, kama ukipata unachohitaji naweza kukupa njia ya kuweza kukufikia.
 
Ningeweza kukuagizia ila sasa sijishughulishi na biashara ya kuagiza vitu. Ingia ebay, kama ukipata unachohitaji naweza kukupa njia ya kuweza kukufikia.
Kuagiza sio shida mkuu, nataka unipe jina la programmer unayotumia kuprogram eeprom ambayo ni universal au inasupport chips nyingi coz hio kitu imeniangaisha sana, nishawai kununua aina zaidi ya tatu lakini zote hamna kitu. Ukinisaidia brand mie ntaingia mtandaoni kuagiza
 
Kuagiza sio shida mkuu, nataka unipe jina la programmer unayotumia kuprogram eeprom ambayo ni universal au inasupport chips nyingi coz hio kitu imeniangaisha sana, nishawai kununua aina zaidi ya tatu lakini zote hamna kitu. Ukinisaidia brand mie ntaingia mtandaoni kuagiza
Poa, ntakujuza.
 
Mkuu unoge ngusa ila nataka nikuletee cpu za slot machine kuna mishe nataka tujalibu kama itakupendeza...ingawa ilula najua ipo iringa kukaye if am wrong notify me ...
 
Mkuu.. naomba hizo motion sensor aisee.. na Diodes kama zipo.., niko tayari kukueleza project yangu na imefikia hatua gani, please please
 
16509731132652286541243432834837.jpg
mkuu umenikumbusha mbali Sana hizi chip nmezichungilia ndo naziona nmeziifazi muda sana
 
Watoto wa chuo wako kwenye uzi wa kula kimasihara
 
Back
Top Bottom