Natoa Haja Kubwa Nyingi kupita kiasi, inanitia hofu

Natoa Haja Kubwa Nyingi kupita kiasi, inanitia hofu

Hodi chumba cha daktari JF!Shikamoo daktari.Nimekuja ninajiona nakunya mavi mengi kuliko kawaida.Je nina tatizo la afya?

Tatizo unakula sana.KAMA UNAKULA SANA LAZIMA UTA SHUSHA MZIGO WA MAANA .Lakini ukiwa unakula kidogo .UTakuwa husumbuliwi na KUNYA MAVI MENGI.PUNGUZA ULAFI MKUU.
 
Inaonekana na hicho kijambio chako kimeshapanuka kama kopo la kimbo! Ukijamba hakuna kutoa sauti kwa sababu jambio limepanuka mno, walioko karibu watasikilizia harufu kali!
dokta unaua [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom