Huna haja ya kuja Dodoma kwa jambo lisilokulazimu wewe kuwepo eneo la kupatiwa huduma.Fanya mawasiliano kama wenzako,na utahudumiwa kwa weledi na hatimaye kuepuka gharama mbalimbali kama za safari,malazi na nyinginezo.Namba zinazotumika kwaajili ya mawasiliano ni 0765920855.Uaminifu ndo unafanya huduma imeendelea kuwepo hadi sasa.