Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

Kaka ofisi ya Rais Utumishi unafika pia?
 
Hata wewe mhitaji wa cheti cha kuzaliwa popote pale ulipo nchini,utasaidiwa kuombewa na kama uko Dodoma UTALETEWA hadi ulipo kwa gharama ndogo,kama uko mbali na Dodoma UTAENDA baada ya kujulishwa kwenda kuchuchukua ofisi ya RITA iliyopo karibu nawewe,jambo la muhimu uwe na viambatanisho husika.Fanya kama wenzako wanaohudumiwa kwa huduma hiyo na nyingine kama zilizoorodheshwa hapa:-
 

Attachments

  • messenger 1.jpg
    1.3 MB · Views: 0
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…