Natoa milioni 3 kwa kijana aliyeko Dodoma

Natoa milioni 3 kwa kijana aliyeko Dodoma

Good Neighbour

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2017
Posts
942
Reaction score
897
Wasala-am,

Sometime ili ufanikiwe kwenye maisha unahitaji kupita kwenye njia tofauti kidogo,where it doesnt matter whether the road is rough or curved,remember "The grass is always greener on the other side of the fence"

Najua mtaani kuna vijana wengi wanaopambana na maisha na ni kweli wengi kati yetu hulalamika mtaji ni sababu inayotukwamisha kufanya vizuri

Naomba kutoa nafasi kwa kijana mmoja mwenye sifa hizi;

1.mkazi wa dodoma mjini

2.Anafanya biashara na anafikiri mtaji mdogo unamkwamisha kufika mbali zaidi

3.Mwenye wazo la biashara linalofanyika-na ana uzoefu na biashara kwa vitendo

KWANINI NATOA MILIONI 3?
Sio kwamba natoa bure,HAPANA?tutakaa tuzungumze na sina fixed conditons (ndio maana sijaandika humu) ila niko flexible kutokana na mazungumzo/makubaliano baina yetu ambapo tutayaweka kwenye maandishi na kweye mikataba ya kisheria(ikihitajika)

Maisha ni mazuri ukifanikiwa ila amini ni mazuri zaidi hasa ukifanikiwa na ukazungukwa na watu wenye mafanikio,

Lets keep up the good fight

0767833496/0622111186

Asanteni,
God bless you all
 
Wasala-am,

Sometime ili ufanikiwe kwenye maisha unahitaji kupita kwenye njia tofauti kidogo,where it doesnt matter whether the road is rough or curved,remember "The grass is always greener on the other side of the fence"

Najua mtaani kuna vijana wengi wanaopambana na maisha na ni kweli wengi kati yetu hulalamika mtaji ni sababu inayotukwamisha kufanya vizuri

Naomba kutoa nafasi kwa kijana mmoja mwenye sifa hizi;

1.mkazi wa dodoma mjini

2.Anafanya biashara na anafikiri mtaji mdogo unamkwamisha kufika mbali zaidi

3.Mwenye wazo la biashara linalofanyika-na ana uzoefu na biashara kwa vitendo

KWANINI NATOA MILIONI 3?
Sio kwamba natoa bure,HAPANA?tutakaa tuzungumze na sina fixed conditons (ndio maana sijaandika humu) ila niko flexible kutokana na mazungumzo/makubaliano baina yetu ambapo tutayaweka kwenye maandishi na kweye mikataba ya kisheria(ikihitajika)

Maisha ni mazuri ukifanikiwa ila amini ni mazuri zaidi hasa ukifanikiwa na ukazungukwa na watu wenye mafanikio,

Lets keep up the good fight

0767833496/0622111186

Asanteni,
God bless you all
duuu ngoja niombe uraia wa dodoma
 
Back
Top Bottom