Good Neighbour
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 942
- 897
Wasala-am,
Sometime ili ufanikiwe kwenye maisha unahitaji kupita kwenye njia tofauti kidogo,where it doesnt matter whether the road is rough or curved,remember "The grass is always greener on the other side of the fence"
Najua mtaani kuna vijana wengi wanaopambana na maisha na ni kweli wengi kati yetu hulalamika mtaji ni sababu inayotukwamisha kufanya vizuri
Naomba kutoa nafasi kwa kijana mmoja mwenye sifa hizi;
1.mkazi wa dodoma mjini
2.Anafanya biashara na anafikiri mtaji mdogo unamkwamisha kufika mbali zaidi
3.Mwenye wazo la biashara linalofanyika-na ana uzoefu na biashara kwa vitendo
KWANINI NATOA MILIONI 3?
Sio kwamba natoa bure,HAPANA?tutakaa tuzungumze na sina fixed conditons (ndio maana sijaandika humu) ila niko flexible kutokana na mazungumzo/makubaliano baina yetu ambapo tutayaweka kwenye maandishi na kweye mikataba ya kisheria(ikihitajika)
Maisha ni mazuri ukifanikiwa ila amini ni mazuri zaidi hasa ukifanikiwa na ukazungukwa na watu wenye mafanikio,
Lets keep up the good fight
0767833496/0622111186
Asanteni,
God bless you all
Sometime ili ufanikiwe kwenye maisha unahitaji kupita kwenye njia tofauti kidogo,where it doesnt matter whether the road is rough or curved,remember "The grass is always greener on the other side of the fence"
Najua mtaani kuna vijana wengi wanaopambana na maisha na ni kweli wengi kati yetu hulalamika mtaji ni sababu inayotukwamisha kufanya vizuri
Naomba kutoa nafasi kwa kijana mmoja mwenye sifa hizi;
1.mkazi wa dodoma mjini
2.Anafanya biashara na anafikiri mtaji mdogo unamkwamisha kufika mbali zaidi
3.Mwenye wazo la biashara linalofanyika-na ana uzoefu na biashara kwa vitendo
KWANINI NATOA MILIONI 3?
Sio kwamba natoa bure,HAPANA?tutakaa tuzungumze na sina fixed conditons (ndio maana sijaandika humu) ila niko flexible kutokana na mazungumzo/makubaliano baina yetu ambapo tutayaweka kwenye maandishi na kweye mikataba ya kisheria(ikihitajika)
Maisha ni mazuri ukifanikiwa ila amini ni mazuri zaidi hasa ukifanikiwa na ukazungukwa na watu wenye mafanikio,
Lets keep up the good fight
0767833496/0622111186
Asanteni,
God bless you all