Natoa offer kwa mwanaume aliyetayari kwenda kwenye fiesta Leo

moniccca

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2015
Posts
2,383
Reaction score
3,285
Wakuu poleni na majukumu. Nimeamua kutoa offer ya tiketi NNE za fiesta itakayofanyika leaders club. Offer hii ni kwa men tu.

Sifa za atayepata tiketi ni hizi; asiwe na mpenz aje alone, asiye na kazi, anayeweza kunywa angalau bia NNE, mchangamfu, na mwisho awe anajua kula nyama.

Anaye jiona ana vigezo aje pm nimpe maelekezo.

Asanteni.
 
Moni, Nawewe utakuwa huna mtu usiku huu? Au??? Nijichukulie fursa[emoji39]
 
Mwanaume halisi hataki offer kama izo labda upewe weye offer monicca
 
Vigezo ninavyo,vip kuusu izo bia na hiyo nyama nitakula bure au utaishia kunipa ticket tyu?!
 
Hizo bia na nyama zako kula tu mama. Usalama wa marinda ni mdogo mno bibie kwa hali hii.
 

Attachments

  • 1478353189672.jpg
    27.3 KB · Views: 68
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…