Natoa offer kwa mwanaume aliyetayari kwenda kwenye fiesta Leo

Natoa offer kwa mwanaume aliyetayari kwenda kwenye fiesta Leo

Hii ni kwa wavulana.
Mwanaumme halisi hategwi kwa tiketi.
 
Mimi nakupa ofa ya kula na kunywa chochote leo Fiesta Monika kama uko tayali nipm
 
Wakuu poleni na majukumu. Nimeamua kutoa offer ya tiketi NNE za fiesta itakayofanyika leaders club. Offer hii ni kwa men tu.

Sifa za atayepata tiketi ni hizi; asiwe na mpenz aje alone, asiye na kazi, anayeweza kunywa angalau bia NNE, mchangamfu, na mwisho awe anajua kula nyama.

Anaye jiona ana vigezo aje pm nimpe maelekezo.

Asanteni.
mmmh.....ole wake atakaejitokeza, ataliwa0713.....
 
Fiesta enyewe pesa kidogo hivyo...ntashangaa kama kuna watu watajitokeza.
 
Wakuu poleni na majukumu. Nimeamua kutoa offer ya tiketi NNE za fiesta itakayofanyika leaders club. Offer hii ni kwa men tu.

Sifa za atayepata tiketi ni hizi; asiwe na mpenz aje alone, asiye na kazi, anayeweza kunywa angalau bia NNE, mchangamfu, na mwisho awe anajua kula nyama.

Anaye jiona ana vigezo aje pm nimpe maelekezo.

Asanteni.
Unasema kweli?
 
Monicca me nna sifa zote hizo sasa lakin kwavle ushaweka tangazo hapa siwez kuja pm maana unaweza kuona me ni wale wale tuu
 
Wakuu poleni na majukumu. Nimeamua kutoa offer ya tiketi NNE za fiesta itakayofanyika leaders club. Offer hii ni kwa men tu.

Sifa za atayepata tiketi ni hizi; asiwe na mpenz aje alone, asiye na kazi, anayeweza kunywa angalau bia NNE, mchangamfu, na mwisho awe anajua kula nyama.

Anaye jiona ana vigezo aje pm nimpe maelekezo.

Asanteni.
Nipo nina vigezo kupitiliza naipataje?
 
Back
Top Bottom