Natoa offer kwa mwanaume aliyetayari kwenda kwenye fiesta Leo

Natoa offer kwa mwanaume aliyetayari kwenda kwenye fiesta Leo

Wakuu poleni na majukumu. Nimeamua kutoa offer ya tiketi NNE za fiesta itakayofanyika leaders club. Offer hii ni kwa men tu.

Sifa za atayepata tiketi ni hizi; asiwe na mpenz aje alone, asiye na kazi, anayeweza kunywa angalau bia NNE, mchangamfu, na mwisho awe anajua kula nyama.

Anaye jiona ana vigezo aje pm nimpe maelekezo.

Asanteni.
Njoo na wenzako 3
 
Wakuu poleni na majukumu. Nimeamua kutoa offer ya tiketi NNE za fiesta itakayofanyika leaders club. Offer hii ni kwa men tu.

Sifa za atayepata tiketi ni hizi; asiwe na mpenz aje alone, asiye na kazi, anayeweza kunywa angalau bia NNE, mchangamfu, na mwisho awe anajua kula nyama.

Anaye jiona ana vigezo aje pm nimpe maelekezo.

Asanteni.
Fiesta ndio wapi??? Iko nchi gani???
 
Wakuu poleni na majukumu. Nimeamua kutoa offer ya tiketi NNE za fiesta itakayofanyika leaders club. Offer hii ni kwa men tu.

Sifa za atayepata tiketi ni hizi; asiwe na mpenz aje alone, asiye na kazi, anayeweza kunywa angalau bia NNE, mchangamfu, na mwisho awe anajua kula nyama.

Anaye jiona ana vigezo aje pm nimpe maelekezo.

Asanteni.
Sifa zote ninazo but tuonane baada hiyo fiesta coz kwa huo muda unaonihitaji nitakuwa kwenye show nyingine kali zaidi. I swear hutojutia subira yako...
 
Wakuu poleni na majukumu. Nimeamua kutoa offer ya tiketi NNE za fiesta itakayofanyika leaders club. Offer hii ni kwa men tu.

Sifa za atayepata tiketi ni hizi; asiwe na mpenz aje alone, asiye na kazi, anayeweza kunywa angalau bia NNE, mchangamfu, na mwisho awe anajua kula nyama.

Anaye jiona ana vigezo aje pm nimpe maelekezo.

Asanteni.

Mm nina vigezo vyote mpaka kupga pamba za maana ukiw na mm tayar ni kiki...... Njoo PM
 
Monicca me nna sifa zote hizo sasa lakin kwavle ushaweka tangazo hapa siwez kuja pm maana unaweza kuona me ni wale wale tuu
Utakuwa unasumbuliwa na ugonjwa wa kutojiamini mkuu, huo ugonjwa mbaya sana utakufanya uishi kinyonge sana
 
Back
Top Bottom