Natoa offer kwa mwanaume aliyetayari kwenda kwenye fiesta Leo

Hii ni kwa wavulana.
Mwanaumme halisi hategwi kwa tiketi.
 
Mimi nakupa ofa ya kula na kunywa chochote leo Fiesta Monika kama uko tayali nipm
 
mmmh.....ole wake atakaejitokeza, ataliwa0713.....
 
Fiesta enyewe pesa kidogo hivyo...ntashangaa kama kuna watu watajitokeza.
 
Unasema kweli?
 
Monicca me nna sifa zote hizo sasa lakin kwavle ushaweka tangazo hapa siwez kuja pm maana unaweza kuona me ni wale wale tuu
 
Nipo nina vigezo kupitiliza naipataje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…