BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Njoo na wenzako 3Wakuu poleni na majukumu. Nimeamua kutoa offer ya tiketi NNE za fiesta itakayofanyika leaders club. Offer hii ni kwa men tu.
Sifa za atayepata tiketi ni hizi; asiwe na mpenz aje alone, asiye na kazi, anayeweza kunywa angalau bia NNE, mchangamfu, na mwisho awe anajua kula nyama.
Anaye jiona ana vigezo aje pm nimpe maelekezo.
Asanteni.
mmmmhNime ku-pm nasubiri jibu
Njoo basi pm nikuelekeze uje kwa rumMbona hukunialika kabla mkuu?
Fiesta ndio wapi??? Iko nchi gani???Wakuu poleni na majukumu. Nimeamua kutoa offer ya tiketi NNE za fiesta itakayofanyika leaders club. Offer hii ni kwa men tu.
Sifa za atayepata tiketi ni hizi; asiwe na mpenz aje alone, asiye na kazi, anayeweza kunywa angalau bia NNE, mchangamfu, na mwisho awe anajua kula nyama.
Anaye jiona ana vigezo aje pm nimpe maelekezo.
Asanteni.
Sifa zote ninazo but tuonane baada hiyo fiesta coz kwa huo muda unaonihitaji nitakuwa kwenye show nyingine kali zaidi. I swear hutojutia subira yako...Wakuu poleni na majukumu. Nimeamua kutoa offer ya tiketi NNE za fiesta itakayofanyika leaders club. Offer hii ni kwa men tu.
Sifa za atayepata tiketi ni hizi; asiwe na mpenz aje alone, asiye na kazi, anayeweza kunywa angalau bia NNE, mchangamfu, na mwisho awe anajua kula nyama.
Anaye jiona ana vigezo aje pm nimpe maelekezo.
Asanteni.
Wakuu poleni na majukumu. Nimeamua kutoa offer ya tiketi NNE za fiesta itakayofanyika leaders club. Offer hii ni kwa men tu.
Sifa za atayepata tiketi ni hizi; asiwe na mpenz aje alone, asiye na kazi, anayeweza kunywa angalau bia NNE, mchangamfu, na mwisho awe anajua kula nyama.
Anaye jiona ana vigezo aje pm nimpe maelekezo.
Asanteni.
Utakuwa unasumbuliwa na ugonjwa wa kutojiamini mkuu, huo ugonjwa mbaya sana utakufanya uishi kinyonge sanaMonicca me nna sifa zote hizo sasa lakin kwavle ushaweka tangazo hapa siwez kuja pm maana unaweza kuona me ni wale wale tuu
Asante.
Mtu mwenyewe unaonekana cha pombe
Kwa hiyo mkuu unataka hiyo offer apewe mzee wa magogoni [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kuna mtu jana alisema angeenda fiester ila hakupewa copon
Niambie kwanzaAcha maswali kama unakidhi vigezo kimbilia pm
Ndio mkuu, mimi ni mario nina uzoefu na kazi yangu, ni bora nikuulize mapema kama utatoa na pocket money hali ni ngumuDuuh! Mpaka pocket money nikupe mm mkuu?