Natoa pongezi nyingi kwa timu yetu ya Taifa kwa kazi kubwa waliyofanya

Natoa pongezi nyingi kwa timu yetu ya Taifa kwa kazi kubwa waliyofanya

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Natoa pongezi nyingi kwa timu yetu ya Taifa kwa kazi kubwa waliyofanya. Natoa pongezi kwa wale wote waliofika Ivory Cost kuwapa joto. Natoa pongezi kwa kila mmoja wetu ambaye ni mzalendo anayekubali kwamba kuna kufunga na kufungwa lakini pia kuna droo

Vijana wetu na watoto wetu wameupiga mwingi tuwape maua yao. Kama hutaki kuipongeza timu ya Mama Samia kwa kazi nzuri una lako jambo.

Mama Samia vijana wapewe nyumba moja moja hawa iwe motisha kwa wadogo zao.......kwani ukiwapa nyumba ya milioni mia hamsini kwa wachezaji ishirini nchi itafilisika? Kunjua nafsi hata ikiwezekana chukua kodi ya betting ya mwezi mmoja au miwili wape vijana funguo
 
Pongezi zipi sasa hapa ndio ujinga wetu kujipongeza pongeza vitu vya kikuda


24 years kweli tunashindwa kuvuka hatua

Hapo unakuta kuingia makundi tena mpaka 2030


Umri wangu huu mpaka nataka kuzeeka naona Afcon mbili tu mpaka sasa timu yangu ikiwepo

Ili tufanikiwe tuweke mpango mzuri sio kupunguza punguza miaka wachezaji

Tuwekeze kwenye academy

Mpira na siasa vitengane
 
Nasikia wakati wanakwenda uwanjani walifanya check out kabisa...dah
 
Natoa pongezi nyingi kwa timu yetu ya Taifa kwa kazi kubwa waliyofanya. Natoa pongezi kwa wale wote waliofika Ivory Cost kuwapa joto. Natoa pongezi kwa kila mmoja wetu ambaye ni mzalendo anayekubali kwamba kuna kufunga na kufungwa lakini pia kuna droo

Vijana wetu na watoto wetu wameupiga mwingi tuwape maua yao. Kama hutaki kuipongeza timu ya Mama Samia kwa kazi nzuri una lako jambo........

Mama Samia vijana wapewe nyumba moja moja hawa iwe motisha kwa wadogo zao.......kwani ukiwapa nyumba ya milioni mia hamsini kwa wachezaji ishirini nchi itafilisika? Kunjua nafsi hata ikiwezekana chukua kodi ya betting ya mwezi mmoja au miwili wape vijana funguo
Warudi tu kina mwijaku walikuwa wanatumia Kodi zetu vibaya
 
Vijana wamepambana kwa uwezo wao wote na kupata point 2 katika mechi 3 michuano ya AFCON ni jitihada kubwa.

Watu wengi wasicho elewa Kuna Gap kubwa kati ya timu za wenzetu na timu yetu.
Wenzetu Wana wachezaji wengi wanaocheza kwenye ligi kubwa zenye ushindani, mazingira mazuri, walimu wazuri n.k
Wachezji wa wenzetu physically wako fit, mentally wako fit ata confidence level inakua juu.
Tff, wadau na serikali wajitahidi kutengeneza na kuwatafutia Fursa vijana kucheza nje kwakua serikali haiko tayari kwa uraia pacha.
Kwakutegemea wachezaji wa ndani kwenye AFCON hatutoboi.
 
Natoa pongezi nyingi kwa timu yetu ya Taifa kwa kazi kubwa waliyofanya. Natoa pongezi kwa wale wote waliofika Ivory Cost kuwapa joto. Natoa pongezi kwa kila mmoja wetu ambaye ni mzalendo anayekubali kwamba kuna kufunga na kufungwa lakini pia kuna droo

Vijana wetu na watoto wetu wameupiga mwingi tuwape maua yao. Kama hutaki kuipongeza timu ya Mama Samia kwa kazi nzuri una lako jambo........

Mama Samia vijana wapewe nyumba moja moja hawa iwe motisha kwa wadogo zao.......kwani ukiwapa nyumba ya milioni mia hamsini kwa wachezaji ishirini nchi itafilisika? Kunjua nafsi hata ikiwezekana chukua kodi ya betting ya mwezi mmoja au miwili wape vijana funguo
Tukubali kuwa tumeshindwa kusonga mbele. Ndipo uwezo ulipokomea. Hatuna cha kujipongeza. Unataka tujipongeze kushindwa badala ya kutakiwa kufanya analysis ili kutambua udhaifu wa soka letu?

Nadhani mleta mada una matatizo ya kuzoea kushindwa. Aliyezoea kushindwa, akifungwa goli moja, anasema nimejitahidi sana kwa sababu nimefungwa goli moja tu, sijafungwa magoli matano.
 
Vijana wamepambana kwa uwezo wao wote na kupata point 2 katika mechi 3 michuano ya AFCON ni jitihada kubwa.

Watu wengi wasicho elewa Kuna Gap kubwa kati ya timu za wenzetu na timu yetu.
Wenzetu Wana wachezaji wengi wanaocheza kwenye ligi kubwa zenye ushindani, mazingira mazuri, walimu wazuri n.k
Wachezji wa wenzetu physically wako fit, mentally wako fit ata confidence level inakua juu.
Tff, wadau na serikali wajitahidi kutengeneza na kuwatafutia Fursa vijana kucheza nje kwakua serikali haiko tayari kwa uraia pacha.
Kwakutegemea wachezaji wa ndani kwenye AFCON hatutoboi.
Wachezaji wamepambana mpaka uwezo wao ulipofikia. Lakini kama Taifa tumefeli sana kwenye soka. Sijui, kama Taifa, tumefanikiwa zaidi katika nini! Maana kila mahali eneo tunachechemea.
 
Halafu mods mnaona kabisa mtu anaanzisha uzi wa kutafutiana ban na mnamwacha tu. ,,
 
Kufungwa hata Simba anafungwa tena tano bila

Hata Ivory Cost kapigwa nne

Tunachosema hapa tunatakiwa kuwa Taifa lakutoa shukrani.......


Kama mbunge anakaa bungeni miaka mitano bila kufanya chochote na tunamlipa posho, salary na pensheni kwanini tusiwanunulie nyumba wadogo zetu hawa za NHC hata kwa mkopo lakini wawe na kumbukumbu kwamba walipambana ila walizidiwa mbinu.

Tanzania imefungwa na Morocco, nenda kaangalie record za Dunia Moroco ni team ya aina gani?

Hawa vijana wamefanya kazi yao vizuri sana kulingana na kiwango chao na kiwango cha wapinzani.......wapewe nyumba


Naamini mama wa Kizimkazi amenisikia.....kuna uzi mwingine nimeomba wapewe nusu ya ile bilioni moja waliyoahidiwa.....so milioni mia 600 za ahadi na zawadi ya Mama nyumba wanapata waache kupanga


May be wamefeli kufuzu kutokana na mawazo
 
Back
Top Bottom