Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
kazi ndio kwanza inaanzaMkifanya ujinga tena.Mtasekwa tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kazi ndio kwanza inaanzaMkifanya ujinga tena.Mtasekwa tena.
Tena anatakiwa kufanya hivyo usiku huu akiambatana na DCI na waziri wa mambo ya ndani kwa kudhihirishwa ukiukwaji wa sheria bayana
Natoa Wito kwa Inspecta Jenerali wa Polisi Bwana Carmillius Wambura , kuachia madaraka yake haraka kwa vile haaminiki tena na Watanzania, hii ni kwa sababu anatumika kubambikia watu kesi za uongo za Uhaini Huku akijua Wazi kwamba hana Ushahidi wowote, kudukua akaunti za Mwabukusi baada ya kumnyang'anya simu zake na computer na kutengeneza clip za kizushi kwamba ni matamshi yake, haikubaliki na inadhalilisha Jeshi la Polisi , ambalo kimsingi ni mali ya Wananchi .
Lingine ni hili , Baada ya Dkt Slaa kukataa kutoa Sample ya Sauti yake, Polisi wakashindwa kutengeneza sauti ya kuipeleka Mahakamani ili kumbambikia Uhaini kama walivyotumwa na Mawakala wa DP WORLD , hii maana yake ni kwamba Polisi chini ya Wambura wamegeuka Maadui wa Taifa , hatimaye Dkt Slaa ameachiwa kwa dhamana , ulisikia wapi nchi hii Mhaini anapewa dhamana ?
Nafahamu kwamba wengi mnatamani Wambura aondoke kutokana na Tuhuma nyingi tangu akiwa DCI ila mnaogopa kusema hadharani kujiepusha na kutekwa au kuuawa , Tundu Lissu amemtuhumu waziwazi Wambura kuhusika na kesi zote za uongo wakati wa awamu ya 5 , yaani huyu ndio aliyekuwa Mpishi Mkuu wa kesi walizobambikwa Wapinzani, Watanzania wenzetu wamesoteshwa selo kwa muda mrefu kwa kesi za uongo, Mtu wa namna hii awezaje kuaminika leo?
Ni kweli kwamba Wananchi wengi wanatamani CCM ing'olewe madarakani hata muda huu , lakini huwezi kuangusha Mti mkubwa bila kupunguza kwanza Matawi yake ili kutafuta uelekeo mzuri wa kuanguka ili usiangukie nyumba za watu.
Naomba kuwasilisha.
Kasome kifungu kidogo cha tano cha kifungu 148 cha sheria hiyo wewe paralegal !Nani kakudanganya kesi imeisha? Unafahamu sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai fungu la 148 kimewaruhusu polisi kutoa Dhamana pale ambapo wanashindwa kumfikisha mtuhumiwa mahakamani ndani ya masaa 24 na wataendelea na upelelezi wakati mtuhumiwa akiwa ana ripoti regularly hadi pale wstakapokamilisha upelelezi na kumfikisha mahakamani?
Acha nimtag
Natoa Wito kwa Inspecta Jenerali wa Polisi Bwana Carmillius Wambura , kuachia madaraka yake haraka kwa vile haaminiki tena na Watanzania, hii ni kwa sababu anatumika kubambikia watu kesi za uongo za Uhaini Huku akijua Wazi kwamba hana Ushahidi wowote, kudukua akaunti za Mwabukusi baada ya kumnyang'anya simu zake na computer na kutengeneza clip za kizushi kwamba ni matamshi yake, haikubaliki na inadhalilisha Jeshi la Polisi , ambalo kimsingi ni mali ya Wananchi .
Lingine ni hili , Baada ya Dkt Slaa kukataa kutoa Sample ya Sauti yake, Polisi wakashindwa kutengeneza sauti ya kuipeleka Mahakamani ili kumbambikia Uhaini kama walivyotumwa na Mawakala wa DP WORLD , hii maana yake ni kwamba Polisi chini ya Wambura wamegeuka Maadui wa Taifa , hatimaye Dkt Slaa ameachiwa kwa dhamana , ulisikia wapi nchi hii Mhaini anapewa dhamana ?
Nafahamu kwamba wengi mnatamani Wambura aondoke kutokana na Tuhuma nyingi tangu akiwa DCI ila mnaogopa kusema hadharani kujiepusha na kutekwa au kuuawa , Tundu Lissu amemtuhumu waziwazi Wambura kuhusika na kesi zote za uongo wakati wa awamu ya 5 , yaani huyu ndio aliyekuwa Mpishi Mkuu wa kesi walizobambikwa Wapinzani, Watanzania wenzetu wamesoteshwa selo kwa muda mrefu kwa kesi za uongo, Mtu wa namna hii awezaje kuaminika leo?
Ni kweli kwamba Wananchi wengi wanatamani CCM ing'olewe madarakani hata muda huu , lakini huwezi kuangusha Mti mkubwa bila kupunguza kwanza Matawi yake ili kutafuta uelekeo mzuri wa kuanguka ili usiangukie nyumba za watu.
Naomba kuwasilisha.
Huyu hawezi kujiudhuru hata siku moja mkuu. Yupo hapo alipo kwa fadhila za CCM bado hajakamilisha agenda yake ya kuisaidia CCM kubakia madarakani milele.
Natoa Wito kwa Inspecta Jenerali wa Polisi Bwana Carmillius Wambura , kuachia madaraka yake haraka kwa vile haaminiki tena na Watanzania, hii ni kwa sababu anatumika kubambikia watu kesi za uongo za Uhaini Huku akijua Wazi kwamba hana Ushahidi wowote, kudukua akaunti za Mwabukusi baada ya kumnyang'anya simu zake na computer na kutengeneza clip za kizushi kwamba ni matamshi yake, haikubaliki na inadhalilisha Jeshi la Polisi , ambalo kimsingi ni mali ya Wananchi .
Lingine ni hili , Baada ya Dkt Slaa kukataa kutoa Sample ya Sauti yake, Polisi wakashindwa kutengeneza sauti ya kuipeleka Mahakamani ili kumbambikia Uhaini kama walivyotumwa na Mawakala wa DP WORLD , hii maana yake ni kwamba Polisi chini ya Wambura wamegeuka Maadui wa Taifa , hatimaye Dkt Slaa ameachiwa kwa dhamana , ulisikia wapi nchi hii Mhaini anapewa dhamana ?
Nafahamu kwamba wengi mnatamani Wambura aondoke kutokana na Tuhuma nyingi tangu akiwa DCI ila mnaogopa kusema hadharani kujiepusha na kutekwa au kuuawa , Tundu Lissu amemtuhumu waziwazi Wambura kuhusika na kesi zote za uongo wakati wa awamu ya 5 , yaani huyu ndio aliyekuwa Mpishi Mkuu wa kesi walizobambikwa Wapinzani, Watanzania wenzetu wamesoteshwa selo kwa muda mrefu kwa kesi za uongo, Mtu wa namna hii awezaje kuaminika leo?
Ni kweli kwamba Wananchi wengi wanatamani CCM ing'olewe madarakani hata muda huu , lakini huwezi kuangusha Mti mkubwa bila kupunguza kwanza Matawi yake ili kutafuta uelekeo mzuri wa kuanguka ili usiangukie nyumba za watu.
Naomba kuwasilisha.
Carmillius Wambura ni janga la Taifa!
Natoa Wito kwa Inspecta Jenerali wa Polisi Bwana Carmillius Wambura , kuachia madaraka yake raka kwa vile haaminiki tena na Watanzania, hii ni kwa sababu anatumika kubambikia watu kesi za uongo za Uhaini Huku akijua Wazi kwamba hana Ushahidi wowote, kudukua akaunti za Mwabukusi baada ya kumnyang'anya simu zake na computer na kutengeneza clip za kizushi kwamba ni matamshi yake, haikubaliki na inadhalilisha Jeshi la Polisi , ambalo kimsingi ni mali ya Wananchi .
Lingine ni hili , Baada ya Dkt Slaa kukataa kutoa Sample ya Sauti yake, Polisi wakashindwa kutengeneza sauti ya kuipeleka Mahakamani ili kumbambikia Uhaini kama walivyotumwa na Mawakala wa DP WORLD , hii maana yake ni kwamba Polisi chini ya Wambura wamegeuka Maadui wa Taifa , hatimaye Dkt Slaa ameachiwa kwa dhamana , ulisikia wapi nchi hii Mhaini anapewa dhamana ?
Nafahamu kwamba wengi mnatamani Wambura aondoke kutokana na Tuhuma nyingi tangu akiwa DCI ila mnaogopa kusema hadharani kujiepusha na kutekwa au kuuawa , Tundu Lissu amemtuhumu waziwazi Wambura kuhusika na kesi zote za uongo wakati wa awamu ya 5 , yaani huyu ndio aliyekuwa Mpishi Mkuu wa kesi walizobambikwa Wapinzani, Watanzania wenzetu wamesoteshwa selo kwa muda mrefu kwa kesi za uongo, Mtu wa namna hii awezaje kuaminika leo?
Ni kweli kwamba Wananchi wengi wanatamani CCM ing'olewe madarakani hata muda huu , lakini huwezi kuangusha Mti mkubwa bila kupunguza kwanza Matawi yake ili kutafuta uelekeo mzuri wa kuanguka ili usiangukie nyumba za watu.
Naomba kuwasilisha.
Aiseeee !Huyu hawezi kujiudhuru hata siku moja mkuu. Yupo hapo alipo kwa fadhila za CCM bado hajakamilisha agenda yake ya kuisaidia CCM kubakia madarakani milele.
Hata kama akipwaya kwenye utendaji wake kama IGP, ilmradi anaisaidia CCM, hakuna mtu atakayemtikisa kutoka kwenye nafasi yake labda wazalendo wenye uchungu na rasimali za nchi hii tuwakodi wachawi wamroge ajifie zake.
Wa kulaumiwa ni huyo aliyemteua kuwa IGP na Kingai kuwa DCI. Hawa wawili waliotumika na awamu ya tano kupika kesi za mchongo kwa wapinzani kupewa dhamana ya kuliongoza jeshi la police ni dhihaka kubwa kwa dhana ya utawala bora.
Natoa Wito kwa Inspecta Jenerali wa Polisi Bwana Carmillius Wambura , kuachia madaraka yake haraka kwa vile haaminiki tena na Watanzania, hii ni kwa sababu anatumika kubambikia watu kesi za uongo za Uhaini Huku akijua Wazi kwamba hana Ushahidi wowote, kudukua akaunti za Mwabukusi baada ya kumnyang'anya simu zake na computer na kutengeneza clip za kizushi kwamba ni matamshi yake, haikubaliki na inadhalilisha Jeshi la Polisi , ambalo kimsingi ni mali ya Wananchi .
Lingine ni hili , Baada ya Dkt Slaa kukataa kutoa Sample ya Sauti yake, Polisi wakashindwa kutengeneza sauti ya kuipeleka Mahakamani ili kumbambikia Uhaini kama walivyotumwa na Mawakala wa DP WORLD , hii maana yake ni kwamba Polisi chini ya Wambura wamegeuka Maadui wa Taifa , hatimaye Dkt Slaa ameachiwa kwa dhamana , ulisikia wapi nchi hii Mhaini anapewa dhamana ?
Nafahamu kwamba wengi mnatamani Wambura aondoke kutokana na Tuhuma nyingi tangu akiwa DCI ila mnaogopa kusema hadharani kujiepusha na kutekwa au kuuawa , Tundu Lissu amemtuhumu waziwazi Wambura kuhusika na kesi zote za uongo wakati wa awamu ya 5 , yaani huyu ndio aliyekuwa Mpishi Mkuu wa kesi walizobambikwa Wapinzani, Watanzania wenzetu wamesoteshwa selo kwa muda mrefu kwa kesi za uongo, Mtu wa namna hii awezaje kuaminika leo?
Ni kweli kwamba Wananchi wengi wanatamani CCM ing'olewe madarakani hata muda huu , lakini huwezi kuangusha Mti mkubwa bila kupunguza kwanza Matawi yake ili kutafuta uelekeo mzuri wa kuanguka ili usiangukie nyumba za watu.
Naomba kuwasilisha.
Mbona hilo liko wazi wakuu wote wa vyombo vya dola ni makada waandamizi wa CCM.Huyu IGP Atakua na kadi YA CCM.
Uko sahihi Mkuu hana Siku nyingi hapo.Huyo lazima aondoke!
Kingai🤣halafu ateuliwe nani asiyefuata amri za mamlaka ya juu kwa utashi wake? Tukiwaambia kazi zingine duniani ni kutumwa na kuagizwa tu hata kama hupemdi muwe mnatuelewa. Anyway, huyo poti alijichanganya, aondoke tu