Natoa wito IGP Wambura ajiuzulu mara moja

Natoa wito IGP Wambura ajiuzulu mara moja

Komenti ya kuunga mokono hoja nimekutumia PM, maana mwanasheria wangu ndio kwanza yupo kidato cha kwanza
 

Natoa Wito kwa Inspecta Jenerali wa Polisi Bwana Carmillius Wambura , kuachia madaraka yake haraka kwa vile haaminiki tena na Watanzania, hii ni kwa sababu anatumika kubambikia watu kesi za uongo za Uhaini Huku akijua Wazi kwamba hana Ushahidi wowote, kudukua akaunti za Mwabukusi baada ya kumnyang'anya simu zake na computer na kutengeneza clip za kizushi kwamba ni matamshi yake, haikubaliki na inadhalilisha Jeshi la Polisi , ambalo kimsingi ni mali ya Wananchi .

Lingine ni hili , Baada ya Dkt Slaa kukataa kutoa Sample ya Sauti yake, Polisi wakashindwa kutengeneza sauti ya kuipeleka Mahakamani ili kumbambikia Uhaini kama walivyotumwa na Mawakala wa DP WORLD , hii maana yake ni kwamba Polisi chini ya Wambura wamegeuka Maadui wa Taifa , hatimaye Dkt Slaa ameachiwa kwa dhamana , ulisikia wapi nchi hii Mhaini anapewa dhamana ?

Nafahamu kwamba wengi mnatamani Wambura aondoke kutokana na Tuhuma nyingi tangu akiwa DCI ila mnaogopa kusema hadharani kujiepusha na kutekwa au kuuawa , Tundu Lissu amemtuhumu waziwazi Wambura kuhusika na kesi zote za uongo wakati wa awamu ya 5 , yaani huyu ndio aliyekuwa Mpishi Mkuu wa kesi walizobambikwa Wapinzani, Watanzania wenzetu wamesoteshwa selo kwa muda mrefu kwa kesi za uongo, Mtu wa namna hii awezaje kuaminika leo?

Ni kweli kwamba Wananchi wengi wanatamani CCM ing'olewe madarakani hata muda huu , lakini huwezi kuangusha Mti mkubwa bila kupunguza kwanza Matawi yake ili kutafuta uelekeo mzuri wa kuanguka ili usiangukie nyumba za watu.

Naomba kuwasilisha.
Tena anatakiwa kufanya hivyo usiku huu akiambatana na DCI na waziri wa mambo ya ndani kwa kudhihirishwa ukiukwaji wa sheria bayana
 
Nani kakudanganya kesi imeisha? Unafahamu sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai fungu la 148 kimewaruhusu polisi kutoa Dhamana pale ambapo wanashindwa kumfikisha mtuhumiwa mahakamani ndani ya masaa 24 na wataendelea na upelelezi wakati mtuhumiwa akiwa ana ripoti regularly hadi pale wstakapokamilisha upelelezi na kumfikisha mahakamani?
Kasome kifungu kidogo cha tano cha kifungu 148 cha sheria hiyo wewe paralegal !

Ila ngoja nikusaidie ni kuwa kama mtu katenda uhaini, mauaji, armed robbery nk hatopewa dhamana

Hivyo usitudanganye, siku nyingine usitetee upumbavu
 

Natoa Wito kwa Inspecta Jenerali wa Polisi Bwana Carmillius Wambura , kuachia madaraka yake haraka kwa vile haaminiki tena na Watanzania, hii ni kwa sababu anatumika kubambikia watu kesi za uongo za Uhaini Huku akijua Wazi kwamba hana Ushahidi wowote, kudukua akaunti za Mwabukusi baada ya kumnyang'anya simu zake na computer na kutengeneza clip za kizushi kwamba ni matamshi yake, haikubaliki na inadhalilisha Jeshi la Polisi , ambalo kimsingi ni mali ya Wananchi .

Lingine ni hili , Baada ya Dkt Slaa kukataa kutoa Sample ya Sauti yake, Polisi wakashindwa kutengeneza sauti ya kuipeleka Mahakamani ili kumbambikia Uhaini kama walivyotumwa na Mawakala wa DP WORLD , hii maana yake ni kwamba Polisi chini ya Wambura wamegeuka Maadui wa Taifa , hatimaye Dkt Slaa ameachiwa kwa dhamana , ulisikia wapi nchi hii Mhaini anapewa dhamana ?

Nafahamu kwamba wengi mnatamani Wambura aondoke kutokana na Tuhuma nyingi tangu akiwa DCI ila mnaogopa kusema hadharani kujiepusha na kutekwa au kuuawa , Tundu Lissu amemtuhumu waziwazi Wambura kuhusika na kesi zote za uongo wakati wa awamu ya 5 , yaani huyu ndio aliyekuwa Mpishi Mkuu wa kesi walizobambikwa Wapinzani, Watanzania wenzetu wamesoteshwa selo kwa muda mrefu kwa kesi za uongo, Mtu wa namna hii awezaje kuaminika leo?

Ni kweli kwamba Wananchi wengi wanatamani CCM ing'olewe madarakani hata muda huu , lakini huwezi kuangusha Mti mkubwa bila kupunguza kwanza Matawi yake ili kutafuta uelekeo mzuri wa kuanguka ili usiangukie nyumba za watu.

Naomba kuwasilisha.
Acha nimtag
 

Natoa Wito kwa Inspecta Jenerali wa Polisi Bwana Carmillius Wambura , kuachia madaraka yake haraka kwa vile haaminiki tena na Watanzania, hii ni kwa sababu anatumika kubambikia watu kesi za uongo za Uhaini Huku akijua Wazi kwamba hana Ushahidi wowote, kudukua akaunti za Mwabukusi baada ya kumnyang'anya simu zake na computer na kutengeneza clip za kizushi kwamba ni matamshi yake, haikubaliki na inadhalilisha Jeshi la Polisi , ambalo kimsingi ni mali ya Wananchi .

Lingine ni hili , Baada ya Dkt Slaa kukataa kutoa Sample ya Sauti yake, Polisi wakashindwa kutengeneza sauti ya kuipeleka Mahakamani ili kumbambikia Uhaini kama walivyotumwa na Mawakala wa DP WORLD , hii maana yake ni kwamba Polisi chini ya Wambura wamegeuka Maadui wa Taifa , hatimaye Dkt Slaa ameachiwa kwa dhamana , ulisikia wapi nchi hii Mhaini anapewa dhamana ?

Nafahamu kwamba wengi mnatamani Wambura aondoke kutokana na Tuhuma nyingi tangu akiwa DCI ila mnaogopa kusema hadharani kujiepusha na kutekwa au kuuawa , Tundu Lissu amemtuhumu waziwazi Wambura kuhusika na kesi zote za uongo wakati wa awamu ya 5 , yaani huyu ndio aliyekuwa Mpishi Mkuu wa kesi walizobambikwa Wapinzani, Watanzania wenzetu wamesoteshwa selo kwa muda mrefu kwa kesi za uongo, Mtu wa namna hii awezaje kuaminika leo?

Ni kweli kwamba Wananchi wengi wanatamani CCM ing'olewe madarakani hata muda huu , lakini huwezi kuangusha Mti mkubwa bila kupunguza kwanza Matawi yake ili kutafuta uelekeo mzuri wa kuanguka ili usiangukie nyumba za watu.

Naomba kuwasilisha.
Huyu hawezi kujiudhuru hata siku moja mkuu. Yupo hapo alipo kwa fadhila za CCM bado hajakamilisha agenda yake ya kuisaidia CCM kubakia madarakani milele.

Hata kama akipwaya kwenye utendaji wake kama IGP, ilmradi anaisaidia CCM, hakuna mtu atakayemtikisa kutoka kwenye nafasi yake labda wazalendo wenye uchungu na rasimali za nchi hii tuwakodi wachawi wamroge ajifie zake.
 

Natoa Wito kwa Inspecta Jenerali wa Polisi Bwana Carmillius Wambura , kuachia madaraka yake raka kwa vile haaminiki tena na Watanzania, hii ni kwa sababu anatumika kubambikia watu kesi za uongo za Uhaini Huku akijua Wazi kwamba hana Ushahidi wowote, kudukua akaunti za Mwabukusi baada ya kumnyang'anya simu zake na computer na kutengeneza clip za kizushi kwamba ni matamshi yake, haikubaliki na inadhalilisha Jeshi la Polisi , ambalo kimsingi ni mali ya Wananchi .

Lingine ni hili , Baada ya Dkt Slaa kukataa kutoa Sample ya Sauti yake, Polisi wakashindwa kutengeneza sauti ya kuipeleka Mahakamani ili kumbambikia Uhaini kama walivyotumwa na Mawakala wa DP WORLD , hii maana yake ni kwamba Polisi chini ya Wambura wamegeuka Maadui wa Taifa , hatimaye Dkt Slaa ameachiwa kwa dhamana , ulisikia wapi nchi hii Mhaini anapewa dhamana ?

Nafahamu kwamba wengi mnatamani Wambura aondoke kutokana na Tuhuma nyingi tangu akiwa DCI ila mnaogopa kusema hadharani kujiepusha na kutekwa au kuuawa , Tundu Lissu amemtuhumu waziwazi Wambura kuhusika na kesi zote za uongo wakati wa awamu ya 5 , yaani huyu ndio aliyekuwa Mpishi Mkuu wa kesi walizobambikwa Wapinzani, Watanzania wenzetu wamesoteshwa selo kwa muda mrefu kwa kesi za uongo, Mtu wa namna hii awezaje kuaminika leo?

Ni kweli kwamba Wananchi wengi wanatamani CCM ing'olewe madarakani hata muda huu , lakini huwezi kuangusha Mti mkubwa bila kupunguza kwanza Matawi yake ili kutafuta uelekeo mzuri wa kuanguka ili usiangukie nyumba za watu.

Naomba kuwasilisha.
Carmillius Wambura ni janga la Taifa!
 
Huyu hawezi kujiudhuru hata siku moja mkuu. Yupo hapo alipo kwa fadhila za CCM bado hajakamilisha agenda yake ya kuisaidia CCM kubakia madarakani milele.

Hata kama akipwaya kwenye utendaji wake kama IGP, ilmradi anaisaidia CCM, hakuna mtu atakayemtikisa kutoka kwenye nafasi yake labda wazalendo wenye uchungu na rasimali za nchi hii tuwakodi wachawi wamroge ajifie zake.
Aiseeee !
 

Natoa Wito kwa Inspecta Jenerali wa Polisi Bwana Carmillius Wambura , kuachia madaraka yake haraka kwa vile haaminiki tena na Watanzania, hii ni kwa sababu anatumika kubambikia watu kesi za uongo za Uhaini Huku akijua Wazi kwamba hana Ushahidi wowote, kudukua akaunti za Mwabukusi baada ya kumnyang'anya simu zake na computer na kutengeneza clip za kizushi kwamba ni matamshi yake, haikubaliki na inadhalilisha Jeshi la Polisi , ambalo kimsingi ni mali ya Wananchi .

Lingine ni hili , Baada ya Dkt Slaa kukataa kutoa Sample ya Sauti yake, Polisi wakashindwa kutengeneza sauti ya kuipeleka Mahakamani ili kumbambikia Uhaini kama walivyotumwa na Mawakala wa DP WORLD , hii maana yake ni kwamba Polisi chini ya Wambura wamegeuka Maadui wa Taifa , hatimaye Dkt Slaa ameachiwa kwa dhamana , ulisikia wapi nchi hii Mhaini anapewa dhamana ?

Nafahamu kwamba wengi mnatamani Wambura aondoke kutokana na Tuhuma nyingi tangu akiwa DCI ila mnaogopa kusema hadharani kujiepusha na kutekwa au kuuawa , Tundu Lissu amemtuhumu waziwazi Wambura kuhusika na kesi zote za uongo wakati wa awamu ya 5 , yaani huyu ndio aliyekuwa Mpishi Mkuu wa kesi walizobambikwa Wapinzani, Watanzania wenzetu wamesoteshwa selo kwa muda mrefu kwa kesi za uongo, Mtu wa namna hii awezaje kuaminika leo?

Ni kweli kwamba Wananchi wengi wanatamani CCM ing'olewe madarakani hata muda huu , lakini huwezi kuangusha Mti mkubwa bila kupunguza kwanza Matawi yake ili kutafuta uelekeo mzuri wa kuanguka ili usiangukie nyumba za watu.

Naomba kuwasilisha.
Wa kulaumiwa ni huyo aliyemteua kuwa IGP na Kingai kuwa DCI. Hawa wawili waliotumika na awamu ya tano kupika kesi za mchongo kwa wapinzani kupewa dhamana ya kuliongoza jeshi la police ni dhihaka kubwa kwa dhana ya utawala bora.
 
Umeniangusha mno Poti / Mwetu Mzanaki Mwenzangu IGP Wambura kwa kukubali Order ya #2 ( kwa kutaka Kwake Sifa kwa #1 ) kumshughulikia haraka Dk. Slaa huku Ukijichanganya Kimaelezo kuwa mara ni Mhaini na baadae ni Mchochezi hali iliyopelekea Watu kuanza kuhoji Umahiri wako.

IGP Wambura ulichotakiwa kufanya ni kumwambia huyo #2 Mshamba, Mnafkki na Mpenda Sifa kwa #1 kuwa akupe muda ili Ulichunguze na Ujiridhishe lakini Ukamuogopa na Kuhofia Cheo chako na Kukurupuka huku ukiwa Fixed na ukafanya Kosa ambalo tayari limeshaanza kuitia nchi Doa huku Wawekezaji nao sasa wakianza Kuogopa kuja.

Siombei litokee ila GENTAMYCINE kila nikimulika na kuangaza huku na kule napatwa na wasiwasi mkubwa kama Utavumiliwa na hicho Cheo cha IGP hivyo nikuombe tu kama Wewe ni Mtu wa Maombi basi Sali sana bila Kuchoka na kama nawe unapenda Kuroga kama Vilabu vya Simba na Yanga nakushauri Roga / Karoge mno ili muda wowote Dada Zuhura Yunus asije na Press Release yake juu ya Kubadilishwa Kwako kama IGP na akateuliwa Mwingine.
 
halafu ateuliwe nani asiyefuata amri za mamlaka ya juu kwa utashi wake? Tukiwaambia kazi zingine duniani ni kutumwa na kuagizwa tu hata kama hupemdi muwe mnatuelewa. Anyway, huyo poti alijichanganya, aondoke tu
 
halafu ateuliwe nani asiyefuata amri za mamlaka ya juu kwa utashi wake? Tukiwaambia kazi zingine duniani ni kutumwa na kuagizwa tu hata kama hupemdi muwe mnatuelewa. Anyway, huyo poti alijichanganya, aondoke tu
Kingai🤣
 
Back
Top Bottom