Kifaru TANZANIAN
Member
- Aug 22, 2020
- 44
- 14
Naomba kujua namna ya kutoa pesa kwenye benk zilizofungiwa ikiwemo Meru Bank Community.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So nisubiri tangu2017Nadhani BOT huwa na utaratibu Wa kuwatangazia wateja wa Benki husika pindi wakishajiridhisha, kuwa wafungue Akaunti benki zingine kisha wanawawekea pesa zao. Ila inaweza kupita hata miaka kadhaa mpaka kuzipata.
My point exactly.So nisubiri tangu2017
Asante ngoja nijaribu kusubiriMy point exactly.
Huchukua kitambo, nadhani wanafanyaga uhakiki Wa vitu mbalimbali ili kujiridhisha kwanza.
Kuwa mpole tu mkuu. Na sumtym mnaweza mkapigwa kabisa kama walikua washachezea amana zao zilizopo benki kuu wakakuta wanaodai ni wengi kuliko hela iliyopo baada ya kuifilisi(Mali & Madeni havioani)So nisubiri tangu2017