ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Ok. Historia yangu Kwa ufupi sana nimezaliwa sgd kukua sgd na shule halafu then dar miaka karibu Sita halafu kituo cha kazi kusini. Sasa kumekuwepo mada nyingi za kupapondea kusini.
Kipi hakipo kusini? Je, ni azam tv? Je ni hanson choice? Je ni safari lager au castle je ni chips je ni hali ya hewa je ni samaki au kitu gani maana kama ni k huku ndo ziko lwaa lwaa ndio maana nahoji kipi ambacho hakipo kusini kwenu kipo nambie ambacho kwenu kipo na huku maeneo yetu mazuri hakipo.
Kipi hakipo kusini? Je, ni azam tv? Je ni hanson choice? Je ni safari lager au castle je ni chips je ni hali ya hewa je ni samaki au kitu gani maana kama ni k huku ndo ziko lwaa lwaa ndio maana nahoji kipi ambacho hakipo kusini kwenu kipo nambie ambacho kwenu kipo na huku maeneo yetu mazuri hakipo.