Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Vijana wenzangu kinga ni muhimu, usipime kwa macho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu nijuqvyo kama n kale kaugonkwa ketu usingekaa toka juzi nakuhakikishja hili...kale.kamdudu hakataniii yaan kanakupa majibu mapemaWakuu,
Juzi nilicheza mechi ila nilisahau kununua kondomu aisee na leo nlikuwa na mpango baadae ila nimetoa wakati wa kukojoa nimeona kama kuna chembe za usaha kwenye njia ya mkojo.
Hii inaweza kuwa nini wakuu?
Very good and simple explanation 😊
sio tiba wakati wa kuvua tone moja kwa kichwa ya mboo kwishaaa kama dronedrake Poor BrainVijana wenzangu kinga ni muhimu, usipime kwa macho.
View attachment 3001223
Hapo n uzembe wakosio tiba wakati wa kuvua tone moja kwa kichwa ya mboo kwishaaa kama dronedrake Poor Brain
Sugaring pressure ndio ugonjwa gani nduguNdugu nijuqvyo kama n kale kaugonkwa ketu usingekaa toka juzi nakuhakikishja hili...kale.kamdudu hakataniii yaan kanakupa majibu mapema
We pima sugaring pressure ..haya mengine kwa.muda ulioandika najiridhisha umesalimika na....ka........
Baada ya kumuambukiza mwenzako gonorrhea umeamua kumletea dawa kabsaa
Baada ya kumuambukiza mwenzako gonorrhea umeamua kumletea dawa kabsaa
Acheni zinaa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Aisee nilijirisk sanaIvi kwa sasa unaanzaje kucheza peku one night stand wakuu mmh
Huyo demu ulimtoa wapi inaonekana ulichukua demu pale kilabuni manzese kwa wahaya ukaenda kupiga peku pole sana sindano tano za nguvu zinakuhusuWakuu,
Juzi nilicheza mechi ila nilisahau kununua kondomu aisee na leo nlikuwa na mpango baadae ila nimetoa wakati wa kukojoa nimeona kama kuna chembe za usaha kwenye njia ya mkojo.
Hii inaweza kuwa nini wakuu?
KisonomoooSugaring pressure ndio ugonjwa gani ndugu
Daah🥺🥺Huyo demu ulimtoa wapi inaonekana ulichukua demu pale kilabuni manzese kwa wahaya ukaenda kupiga peku pole sana sindano tano za nguvu zinakuhusu
Unaamini kuwa waliooa wameushinda uzinzi?!!Pole sana , nahisi umepata magonjwa ya zinaa.
Nenda hospital mapema na ukipona jiepushe na uzinzi ikiwezekana uoe Kama umeshindwa kuushinda uzinzi.
Unaamini kuwa waliooa wameushinda uzinzi?!!
Wewe ndio ume generalise!! Sasa kama 90% ya waliokwenye ndoa, bado wanaruka ruka nje, hiyo 10% ndio niwachukulie kama case study?Usijipime kwa walioshindwa jipime kwa walioweza na waliofanikiwa Ila walioshindwa wachukilie case study